NAFAKA SAMAKI PESA. Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA

Similar documents
Annual Report and Financial Statements

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT

Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe Januari, 2015

Contents Page. 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement CEO s Statement

THE OIL AND GAS REVENUES MANAGEMENT ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS PART II ADMINISTRATIVE PROVISIONS

Contents. CORE VALUES Integrity Professionalism Team Spirit Safety Culture. Company Information 2 Message from the Chairman 4

Annual Report Report and and Financial Statements

TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI

CUF. Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi

Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14

Lesson 56: Business: [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] Business: Shopping, Buying and Selling. A). Business Vocabulary.

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled

CONTENTS. Financial Section. Sehemu ya Kiswahili. Statutory Information

TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT

TUNGO ZA KUJIBIZANA: "KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANA"t

HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA

OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region

ANNUAL REPORT 2015 THE TASKS OF TBL INTRODUCING

Mheshimiwa Mwenyekiti na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba,

country profiles WHO regions

Yaliyomo. II. Dodoso la Kilimo... 62

MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS*

DEFINITION OF THE CHILD: THE INTERNATIONAL/REGIONAL LEGAL FRAMEWORK. The African Charter on the Rights and Welfare of the Child, 1990

Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Financing Education for All in Sub Saharan Africa: Progress and Prospects

THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006

LEARNING HOW TO TEACH

TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA

DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION. A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY

KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII

Creation of a Speech to Text System for Kiswahili

Lesson 14a: Numbers and Counting

Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua

Proforma Cost for international UN Volunteers for UN Partner Agencies for International UN Volunteers (12 months)

Countries Ranked by Per Capita Income A. IBRD Only 1 Category iv (over $7,185)

AIO Life Seminar Abidjan - Côte d Ivoire

Eligibility List 2015

Manufacturing & Reproducing Magnetic & Optical Media Africa Report

UNFCCC initiatives: CDM and DNA Help Desks, the CDM Loan Scheme, Regional Collaboration Centres

Global Fuel Economy Initiative Africa Auto Club Event Discussion and Background Paper Venue TBA. Draft not for circulation

What Are the Best Ways of Promoting Financial Integration in Sub-Saharan Africa? Amadou Sy Senior Fellow, Africa Growth Initiative Paris, May 2014

The Africa Infrastructure

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL

THE STATE OF MOBILE ADVERTISING

Quote Reference. Underwriting Terms. Premium Currency USD. Payment Frequency. Quotation Validity BUPA AFRICA PROPOSAL.

Promoting Regional Trade to Enhance Food Security

The Effective Vaccine Management Initiative Past, Present and Future

THE ROLE OF BIG DATA/ MOBILE PHONE DATA IN DESIGNING PRODUCTS TO PROMOTE FINANCIAL INCLUSION

Corporate Overview Creating Business Advantage

Africa Business Forum December 2014

A Snapshot of Drinking Water and Sanitation in Africa 2012 Update

815 SWA. Health undertaking Kuwajibika Kiafya. Tafadhali weka kurasa hii ya maelezo kama kumbukumbu yako

WHO Global Health Expenditure Atlas

EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI

Pensions Core Course Mark Dorfman The World Bank. March 7, 2014

People and Demography

In 2003, African heads of state made a commitment to

ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85

BADEA EXPORT FINANCING SCHEME (BEFS) GUIDELINES

Doing Business 2015 Fact Sheet: Sub-Saharan Africa

UNHCR, United Nations High Commissioner for Refugees

A TEACHER FOR EVERY CHILD: Projecting Global Teacher Needs from 2015 to 2030

States Parties to the 1951 Convention relating to the Status of Refugees and the 1967 Protocol

Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates

United Nations Development Programme United Nations Institute for Training and Research

Presentation to 38th General Assembly of FANAF Ouagadougou, February Thierry Tanoh- Group CEO

Assessing Progress in Africa toward the Millennium Development Goals, 2011

Expression of Interest in Research Grant Applications

MEETING THE INVESTMENT CHALLENGE TIPPING THE DEPENDENCY BALANCE

Libreville Declaration on Health and Environment in Africa

Bangladesh Visa fees for foreign nationals

EXPLORER HEALTH PLAN. Product Summary From 1 September bupa-intl.com. Insured by Working with Brokered by

Appendix A. Crisis Indicators and Infrastructure Lending

How To Calculate The Cost Of A Road Accident In Africa

International Fuel Prices 2012/2013

MDRI HIPC. heavily indebted poor countries initiative. To provide additional support to HIPCs to reach the MDGs.

A HISTORY OF THE HIV/AIDS EPIDEMIC WITH EMPHASIS ON AFRICA *

Migration and Development in Africa: Implications for Data Collection and Research

FAO E-learning Center

G4S Africa. Andy Baker Regional President. G4S Africa

מדינת ישראל. Tourist Visa Table

OFFICIAL NAMES OF THE UNITED NATIONS MEMBERSHIP

PRIORITY AREAS FOR SOCIAL DEVELOPMENT PERSPECTIVES FROM AFRICA EUNICE G. KAMWENDO UNDP REGIONAL BUREAU FOR AFRICA

Ensuring access: health insurance schemes and HIV

Regional Profile: Sub-Saharan Africa (SSA)

TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA. Kitabu Namba 5

Japan s Initiative on Infrastructure Development in Africa and TICAD Process Fifth Ministerial Meeting NEPAD-OECD Africa Investment Initiative

MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

UNAIDS 2013 AIDS by the numbers

Re/insurance in sub- Saharan Africa. Gearing up for strong growth Dr. Kurt Karl, Head of Economic Research & Consulting, Swiss Re

PLEASE READ CAREFULLY!!!

Africa and the infrastructure sector: SACE new business solutions. AFDB Tunisi, 8-9 march 2010

Market size and market opportunity for agricultural value-added-services (Agri VAS)

LIST OF PAYMENT FOR VISA AND SECURITY BOND PAYMENT FOR VISA ( RM )

Population below the poverty line Rural % Population below $1 a day % Urban % Urban % Survey year. National %

Watermarks: Indicators of Irrigation Sector Performance in Africa

CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION

KANISA LINAHITAJI KUJUA

Action required The Committee is requested to take note of the position of income and expenditure as of 30 September 2010.

Transcription:

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati NAFAKA SAMAKI PESA Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA Muhtasari wa Ripoti ya Maendeleo ya Afrika ya 2014 1

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA Kuhusu Ripoti ya Jopo La Maendeleo ya Africa Ripoti ya kila mwaka ya Jopo la Maendeleo ya Afrika, ni chapisho kuu la Jopo la Maendeleo ya Afrika. Ripoti hii ambayo huchapishwa kila mwaka mwezi Mei, hujumuisha utafiti na uchangunuzi bora unaopatikana Afrika na huukusanya kwa namna nzuri iliyovutia. Kupitia ripoti hii, na vile ikiwa sehemu ya lengo lake kuu la kukuza mabadiliko Afrika, Jopo hupendekeza sera mbalimbali kwa wanaotunga sera wenye wajibu juu ya maendeleo ya Afrika, na kwa wabia wa kimataifa na mashirika ya kutetea haki za kijamii. Ripoti hii inaweza kunakiliwa, ikiwa nzima au katika vijisehemu, ili mradi tu chanzo chake asili kitajwe. 2

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Kuhusu Jopo la Maendeleo ya Afrika KOFI ANNAN MICHEL CAMDESSUS PETER EIGEN BOB GELDOF GRAÇA MACHEL STRIVE MASIYIWA OLUSEGUN OBASANJO LINAH MOHOHLO ROBERT RUBIN TIDJANE THIAM Jopo la Maendeleo ya Afrika (The Africa Progress Panel) linajumuisha waheshimiwa kumi ambao hutetea maendeleo endelevu na yenye usawa kwa Afrika. Mwenye kiti wa Jopo ni Kofi Annan, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa na mshindi wa tuzo la Nobel, naye hushughulika kwa karibu kazi za kila siku za Jopo. Uzoefu unaoheshimiwa na umashuhuri wa wanachama wa jopo, katika sekta za umma na za kibinafsi, huwawezesha wawashiriki wa Jopo kufikia sehemu pana ya jamii ikiwa ni pamoja na wale wenye tabaka la juu barani Afrika na kila sehemu ya ulimwengu. Matokeo yake, ni kwamba Jopo linafanyakazi katika nafasi ya kipekee ya uundaji sera, likiwa na uwezo wa kuwalenga wafanya maamuzi, ikiwemo viongozi wa Afrika na viongozi wengine wa dunia, wakuu wa nchi, viongozi wa viwanda, pamoja na idadi pana ya washikadau katika nyanja za kilimwengu, kikanda, na kitaifa. Jopo hurahisisha ujenzi wa ushirikiano ili kukuza na kujadiliana ujuzi, na Jopo huwakutanisha wafanyamaaumuzi ili kushawishi sera na kuleta mabadiliko kwa ajili ya Afrika. Jopo lina mitandao kubwa wa wachanganuzi kote Afrika. Kwa kuwaleta pamoja wataalam wanaozingatiaafrika, Jopo huchangia kuuzalisha sera zenye msingi wa ushahidi. 3

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA Utangulizi na Kofi Annan 4

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Samaki na mavuno mengine ya Afrika yanaweza kusaidia katika ulishaji wa watu ulimwenguni. Sote tunanufaika kutokana na Afrika yenye ustawi, uthabiti na usawa. Idadi ya watu ulimwenguni inayozidi kukua inahitaji kulishwa na Afrika, bara letu, iko katika hali bora ya kufanya hivyo. Tuna rasilimali za kutosha za kulisha sit u sisi wenyewe bali maeneo mengine pia. Ni lazima tushike nafasi hii sasa hivi. Viwango vya uzalishaji vya Afrika tayari vimeanza kupanuka, na huenda vikawa maradufu kwa urahisi katika miaka mitano ijayo. Kwa kweli, wakulima wetu wadogo, wengi wao wakiwa wanawake, wamethibitisha tena na tena jinsi wanavyoweza kuwa wabunifu na wenye uwezo wa kukabiliana na hali ngumu. Hatahivyo, mbona bado hawafanikiwi? Ukweli haukubaliki ni kwamba, wakulima wengi wa Afrika bado hutumia mbinu za jadi za kilimo au ufugajiwa wanyama kama walivyotumiwa na mababu zao kwa maelfu ya miaka. 5

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA Hata ingawa kwa ujumla Afrika inaonyesha ukuaji wa kimbele unaovutia, watu wetu wengi bado wamekwama katika umasikini. Ripoti ya mwaka huu ya Jopo la Maendeleo ya Afrika inaonesha kwamba, ikiwa tunataka kuharakisha mbadiliko wa Afrika, basi tunapaswa kuimarisha sekta za kilimo na uvuvi kwa kiwango kikubwa, ambazo kwa pamoja hukimu mahitaji ya takriban theluthi mbili za Waafrika wote. Ikiwa tunataka kueneza ufanisi wa kiuchumi wa bara wa hivi karibuni kwa wakazi waliowengi, basi ni lazima tukomeshe upuuzaji wa jamii za kilimo na uvuvi. Wakati umefika kwa kuanzisha mapinduzi ya kijani kibichi na samawati. Mapinduzi haya yatabadilisha sura ya bara letu na kuifanya bora. Mbali na ajira na nafasinyinginezo ambazo zitatokezwa, mageuzi haya yataboresha usalama wachakula na lishe Afrika. Zaidi ya yote, utapiamlo barani letu umesababishwa na kushindwa kwa uongozi wa kisiasa. Lazimatushughulikiehalihiiyenyekulemazamaramoja. Wakulima na wavuvi wa Afrika wanaweza kumudu changamoto hii lakini wanahitaji fursa ya kufanya hivyo. Wanahitaji serikali zao kuonyesha jitihada zaidi kwa niaba yao. Serikali za Afrika lazima sasa ziboreshe miundombinu un aofaa,na kuhakikisha kwamba mifumo ya kifedha inafikiwa na wote. Wakulima wanapokuwa na kupatikana msaada wa kifedha - mikopo, akiba, bima - wanaweza kujilinda dhidi ya hatari kama vile ukame, na kuwekeza kwa njia inayofaa katika mbegu bora, mbolea na udhibiti wa wanyama waharibifu. Wakulima wakiwa na barabara na maghala bora, wataweza kufikisha mazao yao sokoni kabla hayajaharibika. Vikwazo vya kibiashara na miundombinu duni vinawazuia wakulima wetu wasiweze kushindana na wakulima wengine ifaavyo. Ni kama wanaambiwa wapigane ngumi huku mikono yao ikiwa imefungwa. Haistaajabishi kwamba gharama ya uingizaji kutoka nchi za nje wa vyakula barani Afrikani unathamani ya dola za Kimarekani bilioni 34 kila mwaka. Kuwekeza katika miundombinu bila shaka kutakuwa ghali. Lakini angalau sehemu ya gharama hii inaweza kushughulikiwa kwa kukomesha uporaji wa kupindukia wa rasilimali za Afrika. Barani kote, uporaji huu unaendeleza umasikini licha ya utajiri wa kiasili. Lazima ukome, mara moja. Ripoti ya mwaka uliopita ya Maendeleo ya Afrika, ilionyesha jinsi mtiririko usio halali wakifedha, ambao aghalabu huhusiana na ukwepaji wa kodi hasa katika sekta za uziduaji, uligharimu bara letu zaidi ya kiwango kilichopokewa katika msaada wa kimataifa, au uwekezaji wa kigeni. Ripoti ya mwaka huu inaonyesha jinsi Afrika hupoteza mabilioni ya pesa kupitia vitendo visivyo halali na ya kichinichini katika sekta za uvuvi na misitu. Tunasababisha matatizo yatakayotuathiri wakati ujao. Huku utajiri mkubwa ukikusanywa na wachache, wengi kati ya vizazi vya sasa na vya wakati ujao wananyimwa manufaa ya rasilimali za pamoja ambazo zingeweza kuwazalishia mapato, uwezo wa kujikimu na lishe bora. Matatizo haya yasiposhughulikiwa sasa, tutajuta. Utendaji wa muungano wa kiulimwengu inahitajika ili kukuza uwazi na uwajibikaji. Mnamo mwako tangu ripoti yetu ya mwisho iliyochapishwa, kumekuwa na kitendo kambabe kilichochukuliwa dhidi ya matumizi ya kibinafsi ya rasilimali za umma, ukwepaji wa kodi, na wizi wa mapato kutoka kwa rasilimali. Kutoa msaada zaidi wa kiteknolojia na kifedha kwa serikali za Afrika kutasaidia kupunguza mtiririko haramu wa mbao, samaki na pesa. 6

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Tukiwa na malengo hayohayo, hatua hizo lazima zipanuliwe na kujumuisha wachuuzi wa bidhaa wa kimataifa ambao huathiri soko za Afrika kwa njia kubwa, kuanzia soko za kahawa hadi za mafuta ya petroli. Mara nyingi wafanyabiashara hawa wenye nguvu sana za ushawishi ulimwenguni pote, hupuuzwa na sheria za kitaifa na kimataifa. Sote tutafaidika harakati hizi zikifanikiwa. Misitu ya Afrika huusaidia ulimwengu kupumua. Pamoja na maji ya Africa, misitu hii hulinda utofauti wa viumbe vyenye thamani mno wa sayari ya Ardhi. Samaki wa Afrika na mazao mengine husaidia kulisha idadi ya watu inayoongezeka duniani. Sote tutanufaika kutokana na Afrika yenye ufanisi, uthabiti na usawa. Wawekezaji wa kigeni wanazidi kuchagua Afrika kuwa eneo lenye fursa muruwa za kupata faida, na kumwaga pesa katika biashara ya kilimo. Uwekezaji huu mara nyingine huleta nafasi za ajira, fedha na ujuzi muhimu. Kwa nia mbaya, wakati mwingine uwekezaji huu huwanyima watu wa Afrika ardhi na maji. Ni lazima serikali za Afrika zidhibiti uwekezaji huu na kuutumia kwa manufaa ya Afrika. Makubaliano kati ya serikali za Afrika na wawekezaji hawa lazima wanufaishe wote. Waafrika walio katika nchi za ng ambo pia hutuma viwango vikubwa vya pesa Afrika lakini ada wanazotozwa kwa huduma hii ni za juu kupindukia. Ada hizi zisizofaa huathiri maeneo ya mashamba ni hata zaidi. Kutuma dola za Kimarekani 1,000 Afrika hugharimu dola za Kimarekani 124 ikilinganishwa na wastani wa ulimwengu wa dola za Kimarekani 78 na 65 kwa Asia Kusini. Kuzindua mapinduzi ya kijani kibichi na samawati barani Afrika inaweza kuonekana kuwa changamoto kubwa, lakini tayari nchi kadhaa zimeanza safari hii. Katika nchi hizi, wakulima wanapanda mbegu mpya, wanatumia mbolea na kupata wanunuzi wa mazao yao. Ubunifu wa kustaajabisha pamoja na sera bora za serikali zinabadili njia za zamani za kilimo. Teknolojia ya simu za mkononi inawawezesha wakulima kufikia kiwango cha juu cha uzalishaji. Wajasiriamali vijana huchanganya kilimo na masoko ya kiulimwengu ya karne ya 21. Uwezo wa Afrika wa kukabaliana na hali ngumu, ubunifu, na nguvu, unaendelea kustaajabisha. Sifa hizi ni muhimu kwa mapinduzi yetu ya kijani kibichi na samawati, ambayo wakati ujao wa Afrika utaitegemea nayo. KOFI A. ANNAN Mwenyekiti wa Jopo la Maendeleo ya Afrika 7

MAENDELEO RIPOTI YA 2014 YA YA AFRIKA YETU AFRIKA BADO NI MOJAWAPO YA MAENEO YENYE UKUZI WA HARAKA ZAIDI VIENDESHA UKUZI VINAZIDI SEKTA ZA UZIDUAJI 12 1. Unaoendeshwa na Uziduaji 2. Usioendeshwa na Uziduaji 8 Sierra Leone 15.2% Côte d Ivoire 9.8% 4 14% 8% 0 Ghana 7.9% Rwanda 8% -4 6.1% 7.5% -8 2005 2009 2014 Musumbiji 7.4% Ethiopia 8.5% Sehemu za Asia zinazoendelea Nchi Huru Afrika Kusini mwa Sahara 8.5% 7.5% Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Ulaya ya Kati na Mashariki Chanzo: imf (2013)World Economic Outlook: Tensions and transitions. Eneo linalotumia Euro Ukuzi wa 2012 Ukuzi wa 2014 (unaotarajiwa) Chanzo: Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF) (Okt 2013) Regional Economic Outlook for Sub-Saharan Africa: Keeping the pace. SEKTA ZA SANAA BARANI AFRIKA ZINANAWIRI KWA UJUMLA, UTAWALA UNAIMARIKA MATOKEO YA KIENEO 2012 Nollywood, sekta ya filamu nchini Nigeria, ni yenye kutokeza Jinsi Maeneo yalivyofanya katika ya vitengo mbalimbali : 2012 $ 200-300 2 nd Milioni 2 nd katika mapato kila Mwajiri mkubwa Sekta ya filamu mwaka zaidi baada ya kubwa zaidi kilimo ulimwenguni 51.6 40.1 47.9 54.0 59.2 52.5 52.7 39.7 47.8 50.0 63.0 54.9 48.4 35.0 43.4 41.5 57.6 53.4 C E Wastani N S Kwa ujumla W C E N S W Usalama & Utawala wa sheria N S W Kushiriki na Haki za Kibinadamu C = Afrika ya Kati E = Afrika MasharikI N = Afrika Kaskazini S = Afrika Kusini W = Afrika Magharibi C E Chanzo: Africa Renewal (May 2013) na Financial Times (2013). Chanzo: Ibrahim Index of African Governance (2013). KUFANYA BIASHARA AFRIKA KUMEKUWA RAHISI NA KWA GHARAMA NDONGO 1. Gharama ya kuanzisha biashara (%Mapato ya Jumla ya Taifa ikilinganishwa na Idadi) 2. Muda unaohitajika kuanzisha biashara (siku) 300 60 200 40 100 20 0 2003 2013 0 2003 2013 Chanzo: The World Bank Group (2014), World Development Indicators. 8

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati WATOTO ZAIDI WANAWEZA KUPATA ELIMU KULIKO AWALI, HATA INGAWA UBORA CHA ELIMU BADO NI TATIZO BAADHI YA NCHI ZINAONYESHA UKUZI MKUBWA KATIKA KILIMO 58 77 49 66 70 Zambia Uganda Tanzania Kiwango halisi cha ukuzi katika Pato la Jumla la Taifa cha kilimo 29 Musumbiji Malawi Liberia 1999 2011 1999 2011 1999 2011 Uwiano wa ujiandikishaji katika shule za msingi (%) Uwiano wa chini katika ujiandikishaji katika shule za sekondari Kiwango cha kutojua kusoma miongoni mwa vijana (%) Kenya Ethiopia 0 10 20 30 Chanzo: UNESCO (2013/14), Ripoti ya Usimamizi wa Mradi wa Elimu kwa Wote. Chanzo: AGRA (2013), Ripoti ya hali ya Kilimo barani Afrika VIWANGO VYA AFYA VINAIMARIKA 1. dadi ya vifo vya mama na watoto vinapungua lakini bado idadi hii inapaswa kupungua hata zaidi 2. Urefu wa Maisha unazidi kuongezeka Idadi ya vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa hai 0 173 590 118 103 430 90 95 400 57 52 50 40 48 32 16 15 12 1990 2001 2012 Idadi ya vifo vya mama kwa kila watoto 100,000 wanaozaliwa hai 0 820 140 100 44 250 210 200 63 49 20 1990 2000 2010 480 58 0 58 55 48 46 2003 2011 Afrika Kusini-Mashariki ya Asia Mashariki ya Mediterania Ulaya Ulimwenguni Amerika Magharibi ya eneo la Pasifiki Kike Kiume Chanzo: WHO (2014), Atlasi ya Takwimu za Afya NI NANI AJUAYE? HUENDA 2014 NDIO UTAKUWA MWAKA AMBAO TIMU YA AFRIKA ITASHINDA KOMBE LA DUNIA 1970 1990 1991 2010 *Ilifika robo fainali Uwakilishaji wa Afrika katika fainali Uwakilishaji mkubwa katika Fainali Algeria Misri Zaire Tunisia Cameroon* Morocco Angola Côte d Ivoire Morocco Nigeria South Africa Togo Senegal* Ghana* Tunisia Cameroon Chanzo: Kombe la Dunia la FIFA 9

RIPOTI LICHA YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA MAENDELEO 29 LA NCHI BARANI AFRIKA ZILIKUWA NA WASTANI WA UKUZI WA PATO JUMLA LA TAIFA WA CHINI YA KATI YA MWAKA 3 % 2000-20012 13 % FUNGU LA AFRIKA KATIKA IDADI YA WATU ULIMWENGUNI 1.6 % FUNGU LA AFRIKA KATIKA PATO LA JUMLA LA TAIFA ULIMWENGUNI 22 % 33 % 173 milioni 223 milioni 1990 2010 1990-2 2010-3 FUNGU LA AFRIKA YA UMASIKINI ULIMWENGUNI IDADI YA WASIO NA LISHE BORA 40 % 30 % 50 % 1990 2012 YA WATOTO WALIO CHINI YA MIAKA 5 HAWAKUI FUNGU LA AFRIKA KATIKA IDADI YA VIFO VYA WATOTO ULIMWENGUNI Kumbuka: Twakimu zote zinarejelea Afrika kusini mwa Sahara. 39 % 50 % 1999 2010 FUNGU LA AFRIKA KATIKA IDADI YA WATOTO WASIOHUDHURIA SHULE ULIMWENGUNI Amerika kusini na maeneo ya Karibea 42 % Afrika kusini mwa Sahara 8 % 18 % 30 % Asia Kusini na Magharibi UJIANDIKISHAJI KATIKA ELIMU YA JUU Asia Mashariki na maeneo ya Pasifiki Cyanzo: AfDB (2014), Statistical Data Portal. FAO, IFAD, na WFP (2013), Hali ya ukosefu wa Usalama wa Chakula Ulimwenguni. GME (2013) habari ya CME. The World Bank Group (2014), PovcaNet. UNESCO (2013/14), Ripoti ya Usimamizi wa Mradi wa Elimu kwa Wote. 10

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Muhtasari Afrika ni bara lenye nafasi nafasi za kibiashara zipo, ukuzi upo na idadi ya watu ipo. Familia zimetegemea samaki kwa vizazi vingi lakini hifadhi za samaki zimepungua. Mapato yetu yameshuka. Tulikuwa tunaweza kuhifadhi kiasi kidogo kwa ajili ya elimu ya watoto wetu au kukarabati boti zetu lakini sasa imekuwa vigumu zaidi kukimu mahitaji yetu. RAIS MACKY SALL Senegal, Januari 2014 ISSA FALL, KAMATI YA WAVUZI Soumbedioune, Senegal, Januari 2014 Maoni haya mawili kutoka nchi moja Afrika yanaelezea hali tofauti sana. Raisi MackySall alikuwa akizungumza kuhusu mpango wa uwekezaji wa serikali yake wa Senegal Inayoibuka mkakati wa mabilioni ya dola kuzibadilisha miundomsingi ya nchi. Miaka kumi iliyopita Senegal ilikuwa bado imesongwa na madeni. Sasa inaweza kuuza madeni yake katika masoko ya dhamana ya Ulaya. Uchumi unapata nguvu, usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi unakua na Senegal inaibuka kama mhimili wa kanda nzima kwa usafirishaji, mipangilio na utalii. Lakini kuna Senegal nyingine Senegal ya Issa Fall. Pamoja na maelfu ya makumi ya wavuvi wadogowadogo wanaofanya biashara zao katika pirogues, mitumbwi iliyotengenezwa kwa mikono kwa kutumia mbao za asili za kienyeji, maisha yake ni magumu. Bahari ya Afrika ya Magharibi ni miongoni mwa maeneo tajiri ya uvuvi. Lakini bado upatikanaji wa samaki unapungua, sambamba na kipato kipatikanacho. Sababu: uvuvi haramu, Usioripotiwa na Usiodhibitiwa unaofanywa na meli za kibiashara kutoka mataifa mengine. Senegal haina uwezo wa kuchunguza kazi za meli hizi. Hadi hivi karibuni, pia haikuwa na nia dhabiti ya kisiasa kushughulikia tatizo. Viongozi na wafanyabiashara wote walijihusisha na kunufaika kutokana na mauzo haramu ya vibali kwa meli za kigeni. Tajriba ya Senegal ni sehemu ndogo ya historia pana. Kwa zaidi ya muongo mmoja, uchumi wa Afrika umekuwa ukiendelea vizuri, kwa mujibu wa magrafu ambayo yanaonesha ukuzi wa Pato la Jumla la Taifa (GDP), usafirishaji wa bidhaa kwenda nje ya nchi na uwekezaji wa kigeni. Tajriba za watu wa Afrika zimekuwa tofauti tofauti sana. Ikitazamwa kutoka vijijini na makaazi yasio rasmi ambayo ndio majumba ya Waafrika wengi, kuimarika kwa uchumi hakutokezi sana. Baadhi ya watu kama wale wavuvi wadogowadogo wa Afrika ya Magharibi wamesukumwa hadi kukaribia kwa mafukara. Kwa wengine, ukuzi umeleta utajiri usio wa kawaida. Afrika sasa ni mojawapo ya soko kubwa duniani kwa bidhaa za anasa na dalili za mafanikio mapya yanazidi kuonekana sambamba na kumbukumbu ya matatizo ya zamani ya umasikini. 11

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA HASARA YA AFRIA: GHARAMA YA MITIRIRIKO HARAMU Asili mia ya Pato la Jumla la Taifa ambayo maeneo yanapoteza kupitia mtiririko haramu wa kifedha 3.5% Ulimwengu wa Magharibi 4.5% Sehemu za Ulaya zinazoendelea 3.5% MENA 4.1% Asia 4% Mataifa yote yanayoendelea 5.7% Afrika Kusini mwa Sahara Jumla ya mtiririko haramu wa fedha kutoka Afrika *MENA: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini US$50 BILLIONI KILA MWAKA Kiwango hiki ni sawa na asili mia 5.7 ya Jumla ya Pato la Taifa na kinazidi matumizi ya umma kwa afya Ukataji miti haramu UPORAJI WA RASILIMALI Uvuvi HUU (Haramu,Usioripotiwa na Usiodhibitiwa) ULMWENGUNI US$100 BILLIONI KILA MWAKA AFRIKA US$17 BILLIONI KILA MWAKA ULMWENGUNI US$23 BILLIONI KILA MWAKA AFRIKA MAGHARIBI US$1.3 BILLIONI KILA MWAKA Vyanzo: Canby K., na Oliver, R. (2013)Trade flows, illegality hot-spots and data monitoring. GFI (2013), Illicit Financial Flows from Developing Countries: 2002-2011 INTERPOL na UNEP (2012), Green Carbon, Black Trade: Illegal logging, tax fraud and laundering in the world s tropical forests. Jopo la Kiwango cha juu kuhusu Mtiririko haramu wa Kifedha kutoka Afrika (2014) OECD (2012), biashara haramu ya bidhaa zinazotegemea mazingira hususa 12

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Afrika ipo katika njia panda. Ukuzi wa uchumi umekita katika sehemu kubwa ya bara. Usafirishaji wa bidhaa nje ya nchi unanawiri, uwekezaji wa kigeni unaongezeka na utegemezi wa msaada unapungua. Marekebisho ya uongozi wa serikali unabadilisha mfumo wa kisiasa. Demokrasia, uwazi na uwajibikaji umewapa raia wa Afrika sauti kubwa katika maamuzi yanayoathiri maisha yao. CHATI 1 MWONGO MMOJA WA UKUZI WA AFRIKA (BEI ZISIZOBADILIKA, MAENEO YALIYOCHAGULIWA) 12 Mwendo wa Haraka: Maeneo 20 ya Afrika yenye uchumi wenye kukua haraka zaidi (Wastani wa ukuzi 2008-2013) Sierra Leone 9.45 China 9.07 Rwanda 8.4 Ethiopia 8.37 Mabadiliko katika Pato la Jumla la Taifa kwa Mwaka. 8 4 0-4 2000 2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 Ghana 8.11 Musumbiji 7.25 Nigeria 6.96 Zambia 6.95 Liberia 6.88 Tanzania 6.8 India 6.64 Niger 6.47 DRC 6.41 Angola 6.36 Burkina Faso 5.98 Malawi 5.94 Jamhuri ya Congo 5.91 Uganda 5.74 São Tomé and Príncipe 5.18 Lesotho 4.91 Gambia 4.54 Chad 4.51 Brazil 3.17 Sehemu za Asia zinazoendela Maeneo yenye uchumi ulioendelea Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Amerika Kusini na maeneo ya Karibea Ulaya ya Kati na Mashariki Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara Chanzo: IMF (2014) World Economic Outlook database. Haya ni maendeleo ya kutia moyo. Hata hivyo maendeleo katika harakati za kupunguza umasikini, kuboresha maisha ya watu na kuweka misingi kwa ajili ya ukuzi mwendelevu, kwa wote haujakuwa wa kutokeza hata kidogo. Serikali imeshindwa kuubadilisha utajiri uliotengenezwa na ukuzi wa uchumi kuwa fursa ambazo Waafrika wote wangeweza kunufaika nazo kwa ajili ya kujenga maisha bora ya baadae. Wakati umewadia kuweka mwenendo wa ukuzi unaojumuisha wote zaidi na jamii zenye usawa. 13

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA Ripoti ya Maendeleo ya Afrika ya mwaka huu inaonesha baadhi ya changamoto kuu zinazozikabili serikali za Kiafrika. Tuna mtazamo wa kwamba kuna mengi mazuri ya kutarajia. Idadi ya watu, utandawazi, teknolojia mpya na mabadiliko katika mazingira ya biashara zinaungana kuibua fursa za maendeleo ambazo hazikuwepo kabla ya kuimarika kwa uchumi. Licha ya hayo, matarajio mazuri hayapaswi kuruhusu maonyesho ya utajiri ya kupindukia kama ilivyodhahiri katika sehemu fulani Serikali inapaswa kusisitiza na kuhakikisha ukuzi wa uchumi hauleti utajiri tu kwa wachache, bali kuboresha hali ya maisha kwa wengi. Juu ya yote hayo, hili linamaanisha kuimarisha ukaziaji fikira rasilimali bora za Kiafrika, mashamba na uvuvi wa eneo. Ripoti hii inatoa wito wa kuboresha ulinzi, usimamizi na uhamasishaji wa rasilimali za bahari na misitu mikubwa ya bara. Ulinzi huu unahitajika ili kutegemeza ukuzi wenye kuleta mabadiliko. Ni muhimu kuelezea vizuri mafanikio ya muongo mmoja na nusu uliopita. Ukuzi wa kiuchumi umeongeza theluthi ya mapato kwa wastani. Katika mwenendo huu wa ukuzi, mapato yataongezeka mara mbili katika miaka 22 ijayo. Ingawa hapo zamani Afrika ilijulikana kwa usimamizi mbaya wa uchumi kwa jumla na uchumi uliodorora, sasa Afrika ni baadhi ya uchumi wa dunia unaokua kwa haraka zaidi. Tukizungumzia ukuzi, Ethiopia inashindana na China, na Zambia inaishinda India. Kinyume cha maoni yaliyopotoka, kuna mengi zaidi katika rekodi ya ukuzi kuliko mafuta na madini na zaidi kuliko usafirishaji wa bidhaa nje ya bara na uwekezaji wa kigeni. Makundi ya kibiashara ya Kiafrika yameibuka na kuwa yenye nguvu shupavu kwa ajili ya mabadiliko, katika sekta za mabenki, uzalishaji wa wa bidhaa za kilimo, mawasiliano na ujenzi. Kwa mara ya kwanza katika kizazi, umasikini unapungua lakini unapungua kwa taratibu sana. Mafanikio ya ukuzi yanatiririka kidogokidogo sana kwa masikini wa Kiafrika. Mwaka ujao, serikali za Kiafrika zitaungana na jumuiya ya kimataifa katika kuratibu malengo ya kimaendeleo ya kimataifa ya baada ya 2015. Mojawapo ya malengo hayo ni kutokomeza umasikini ifikapo mwaka 2030. Hata hivyo tukiendelea na mwenendo huu huu wa ukuzi Afrika italikosa lengo hilo kwa kiwango kikubwa. Kwa nini ukuzi unapunguza umasikini pole pole hivi? Sababu moja ni kwamba masikini wa Afrika ni masikini sana: wale ambao wako chini ya kiwango wa umasikini wa dola za Kimarekani 1.25 kwa siku, wanaishi kwa kutumia wastani wa dola za Kimarekani 0.70 kwa siku. Sababu nyingine ni kwamba kiwango kikubwa cha awali cha ukosefu wa usawa kinamaanisha kwamba kutahitajika inatakiwa ukuzi mkubwa zaidi ili kupunguza umaskini kwa kiasi kidogo. Kuongezeka kwa mwenendo wa ukuzi kwa asilimia 2 kwa kila mtu na usambazaji wa kiasi wa mali ili kuelekea masikini kutaiwezesha Afrika kufikia lengo lake la kumaliza umasikini ifikapo mwaka 2030. Mipango ya ulinzi wa kijamii iliyoundwa vizuri itaweza kuchangia vizuri ili kuwalinda watu wenye kuweza kudhuriwa dhidi ya hatari inayoendana na hali ya ukame, magonjwa na majanga mengine. Kupitia uhamishaji wa pesa, pia wataweza kuinua viwango vya mapato. Tajriba za maeneo mengine haswa Amerika ya Kusini huonyesha kwamba ulinzi wa kijamii wakati huo huo unaweza kusaidia kupunguza umasikini na ukosefu wa usawa, na kuinua ukuzi katika kilimo. Hata hivyo Afrika ina uwekezaji duni katika sekta hii muhimu na ni serikali chache pekee ambazo zimeunda mipango inayofaa. Kinyume chake, wanatumia asilimia 3 ya GDP kusaidia sekta ya nishati, ambazo nyingi zao huenda kwa matajiri mara tatu ya kiwango cha msaada unaotolewa kwa ulinzi wa kijamii. Ni vigumu kuwazia mpangilio wa vipaumbele uliopotoka zaidi. 14

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati CHATI 2 MAPATO YA WASTANI YANAONGEZEKA-LAKINI BAADHI YA MAPATO YANAONGEZEKA KWA HARAKA KULIKO MENGINE. UKUZI WA PATO LA JUMLA LA TAIFA (WASTANI WA KILA MWAKA % 2000-2012) 396 WATU MILIONI 493 WATU MILIONI 162 MN 146 MN 88 MN 152 MN 43 MN 273 MN 25 MN 6 ZAIDI YA MIAKA 76 KUKUZA MAPATO MARA DUFU CHINI YA MIAKA 22 KUKUZA MAPATO MARADUFU 4 2 0-2 -4 Zimbabwe Eritrea Côte d Ivoire Comoros Togo Guinea-Bissau Madagascar Burundi Gabon Malawi The Gambia Swaziland Guinea Niger Benin Cameroon Senegal Kenya Jamhuri ya Congo São Tomé and Príncipe Mali Mauritania Congo, Rep. Afrika Kusini Ushelisheli Jamhuri ya Afrika ya Kati Botswana Burkina Faso Zambia Namibia Wastani wa SSA Uganda Lesotho Sudan Mauritius Tanzania Ghana Sierra Leone Mozambique Rwanda Ethiopia Chad Cabo Verde Nigeria Angola Liberia % ya ukuzi Miaka kufikia mapato maradufu, katika mwelekeo ya sasa 76-190 36-67 25-33 18-23 14-17 12-13 11 Wastani: Miaka 22 Chanzo: The World Bank Group (2014), World Development Indicators. 15

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA UVUMBUZI WA TEKNOLOJIA YENYE KUTUMIKA AFRIKA ILIYOTENGENEZWA NA WAAFRIKA, KWA AJLI YA AFRIKA NA ULIMWENGU Teknolojia ya simu za mkononi inaweza kuendeleza uzalishaji wa Afrika katika sekta za Kilimo na uvuvi. Vituo vya ubunifu vinaibuka kote barani Afrika, vikitayarisha kizazi kijacho cha wanateknolojia MRADI WA KULINDA JAMII Huzisaidia jamii kupambana na uvuvi haramu, usioripotiwa na usiodhibitiwa kupitia simu na kamera zilizo na uwezo wa GPS ESOKO Huwawezesha wakulima kukusanya na kutuma habari za kilimo kupitia ujumbe mfupi sahili. COCOALINK Huunganisha wakulima wa kakao na habari kuhusu mazoea bora ya kilimo SIERRA LEONE MLOUMA Huwaunganisha wakulima na wanunuzi wa chakula kwa kuonyesha bei za chakula sokoni wakati huo na katika maeneo yake SENEGAL GHANA BURKINA FASO MOBILE AGRIBIZ Hutumia teknolojia ya mtandao na simu za mkononi kuimarisha uwezo wa wakulima wa kupata habari za kilimo na masoko TEXT TO CHANGE MAGRI Hutoa habari kwa wakulima kuhusu mazoea bora ya upandaji, uvunaji na udhibiti wa wanyama waharibifu na magonjwa. E-WALLET Huwarusu wakulima kupokea vocha za mbegu na mbolea zilizopunguzwa bei kwa simu NIGERIA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO ZIMBABWE M-PESA Uhamishaji wa Pesa kupitia simu za mkononi UGANDA MALAWI KENYA TANZANIA ICOW APP Hutumia simu za mkononi ili kuendeleza mazoea bora ya ufugaji ng ombe wa maziwa na kuongeza uzalishaji wa maziwa M-FARM Huunganisha wakulima kupitia mtandao wa Intaneti. Huwasaidia wakulima kununua bidhaa za kilimo kwa pamoja kutoka kwa watengenezaji na kuuza mazao yao sokoni EFMIS-KE Huwapa wavuvi nafasi ya kupata habari kuhusu soko INTELLECT TECH Huwasaidia Wakulima na Kampuni za bima kufuatilia madai ya malipo mara moja. FARMERLINE Hutumia simu na ujumbe mfupi (SMS) kukusanya habari, kusambaza mbinu mpya za kilimo, na kuunganisha wakulima wadogo na wahusika wengine katika mfululizo wa thamani wa kilimo. E-VOUCHER MWONGOZO WA UFUGAJI KUKU Huwasaidia wakulima wasio na pesa za kutosha kupata vifaa vya kilimo. Huwapa wafugaji wa kuku habari na maunganisho ya soko ili kuimarika uzalishaji na faida. M-MALAWI MWALIMU WA KILIMO Huwapa wakulima na jamii zao habari za kilimo kupitia mtandao wa intaneti na njia zingine Hutegemeza na kuendeleza ukuzi wa ubadilishanaji wa pesa kupitia simu za mkononi nchini Malawi kupitia msururu wa hatua zilizoratibiwa 16

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Ikiwa Afrika inataka kukuza mfumo wa ukuzi unaojumuisha wote na wenye kusonga, haina budi kukazia fikira kilimo. Afrika kusini mwa jangwa la Sahara ni eneo la wakulima wadogowadogo. Baadhi ya watu hudhania kimakosa kwamba huu ni chanzo cha udhaifu na utendaji usiofaa. Sisi tunaona hali hii kama chanzo cha nguvu na uwezekano wa ukuzi. Wakulima wa Afrika wana uwezo wa kushiinda wote juu ya unyumbukaji na uvumbuzi. Utendaji kazi bila mbolea, viuadudu au umwagiliaji katika udongo dhaifu yenye kutegemea maji ya mvua, mara nyingi wakiwa tu na jembe la mkono, wamesumbuliwa na mchanganyiko wa kusahaulika na mikakati ya kimaendeleo iliyopangwa vibaya sana. Wakulima wa Kiafrika ni wa kipekee kupokea ushauri mbaya kwa kiasi hicho kutoka kwa wabia wa maendeleo na serikali. Na ni miongoni mwa wakulima duniani waliohudumiwa vibaya katika miundombinu, mifumo ya kifedha, uvumbuzi wa kisayansi au ufikiaji masokoni. Matokeo yanaonekana kwa viwango vya chini vya uzalishaji: mavuno ya nafaka ni chini ya nusu ya wastani wa dunia. Kilimo kimebakia kuuwa sekta yenye udhaifu katika rekodi ya maendeleo ya Afrika. Viwango vya chini vya uzalishaji vinawakwamisha mamilioni ya wakulima katika umasikini, husimamisha ukuzi, na kudhoofisha mahusiano kati ya uchumi wa kilimo na usio wa kilimo mahusiano ambayo yamekuwa ni muhimu sana katika mafanikio ya maendeleo huko Bangladeshi, India na Vietnamu. Uzalishaji wa chini una matokeo mengine ambayo yamepuuzwa. Wakulima wa Kiafrika wanaweza kulisha ongezeko la ghafla la idadi ya watu mijini na kuzalisha bidhaa za kusafirisha nje ya nchi ili kufikisha mahitaji katika soko la dunia. Hata hivyo, eneo linaongezeka na, kwa mtazamo wetu, ni hatari jinsi inayotegemea bidhaa zinazoingia kutoka nchi za nje. Nchi za Kiafrika zimetumia dola za Kimarekani bilioni 35 kwa uingizaji wa chakula kutoka nchi za nje (isipokuwa samaki) mwaka 2012. Mgawanyo uliohesabiwa kwa biashara ya ndani ya Afrika ni chini ya asilimia 5. Ikiwa wakulima wa Kiafrika wataongeza uzalishaji wao na kuzibadilisha bidhaa zilizoingizwa kutoka nchi za nje na mazao yao, kungekuwa na sababu nzuri ya kupunguza umasikini, kuongeza usalama wa chakula na wa lishe na kusaidia mtindo wa ukuzi uwe kwa ajili ya wote zaidi. Ni wakati kwa serikali za Afrika na jumuiya pana za kimataifa kuanzisha mapinduzi ya kijani ya kipekee ya Kiafrika. Tunasisitiza neno upekee. Kuiga uzoefu wa Kusini mwa Asia na kurudia hatua za maeneo mengine sio mkakati sahihi. Hali za kilimo Afrika ni tofauti. Lakini bado Afrika inahitaji uvumbuzi wa kisayansi katika mbegu zenye kustahamili ukame, katika anuwai wa mavuno-ya-juu na matumizi ya maji, mbolea na viuadudu ambavyo vingesaidia kubadilisha kilimo katika maeneo mengine. Mapato kutoka kwa uwekezaji katika sehemu hizi kuu itapungua, kama tunashindwa kukabiliana na sera zinazotumika sanana kushindikana. Hizi zinajumuisha gharama za juu za usafirishaji wa mazao na uwekezaji duni katika kuhifadhi na miundombinu ya soko na vikwazo kwenye biashara za kikanda. Wakulima wa Afrika pia wanahitaji msaada ili kumudu athari za mabadiliko ya hali ya hewa, ambayo huenda yakaongeza joto Afrika katika kipindi cha karne ya 21, na kupunguza mavuno ya mazao makuu ya nafaka. Zao la mahindi, ambalo ni zao kuu la chakula katika eneo husika, linatarajiwa kushuka kwa takribani asilimia 22. Ripoti ya tano ya tathmini ya Timu ya Kimataifa ya Serikali kuhusu Mabadiliko ya Hali ya Hewa imetambua Afrika ya Kusini, Afrika ya Magharibi na kanda ya Sahel kuwa ni maeneo yanayokabiliwa na hatari kali zinazojulikana. Hata hivyo, hakuna eneo litaepuka athari hizi. Hata mabadiliko ya madogo katika kipindi na uzito wa mvua, ukali na idadi ya marudio ya ukame, na halijoto vyote vinaweza kusababisha matokeo mabaya katika uzalishaji, umaskini na lishe. 17

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA UBADILISHANAJI WA VYAKULA BARANI AFRIKA Kabla ya mwaka wa 2000 Afika kusini mwa sahara ilikuwa ikiuza vyakula nje. lakini sasa, eneo hili hutumia US$35 BILIONI KWA MWAKA NA GHARAMA YA UAGIZAJI INASHINDA MAPATO YA MAUZO KATIKA NCHI ZA NJE. 30% Msukosuko katika soko la ulimwengu la chakula hufanya Afrika isiwe na usalama. IKIWA NA ZAIDI YA ASILI MIA 13% YA IDADI YA WATU ULIMWENGUNI, AFRIKA KUSINI MWA SAHARA HUTOA CHINI YA 2% YA BIASHARANJE YA KILIMO. AFRIKA HUUZA NJE KIWANGO KIDOGO KUSHINDA THAILAND. 9% % ya biasharanje za kilimo Afrika kusini mwa Sahara Thailand 0% 1970 2009 KUGEUZA MTINDO atika mwaka wa 2012, msaada uliotolewa kwa kilimo cha OECD ulifikia US$ 258 bilioniikichangia zaidi kupungua kwa uwepo wa Afrika katika masoko ya ulimwengu Kiwango cha Afrika cha uzalishaji kinaweza kuongeza maradufu kwa urahisi katika miaka 5 ijayo IN HEKARI 3.5 MILIONI PEKEE KATI YA HEKARI 240 milioni zinazofaa kwa kilimo cha mpunga wa maeneo ya majimaji zinatumika Nigeria hutumia US$ 11 bilioni katika kuagiza ngano, mchele, sukari na samaki Lakini NCHI HII ILIPUNGUZA GHARAMA ZA UAGIZAJI BIDHAA KWA ZAIDI YA US$5 billioni Chanzo: Adesine, A. (2013),Transforming Nigeria s agriculture. Uhuishaji wa Afrika (2014), Kilimo Mpaka Mpya wa Afrika Ernst & Young (2013), Getting Down to business: Ernst & Young s Attractiveness Survey. FAOSTAT imenukuliwa katika The World Bank Group (2013), Growing Africa: Unlocking the potential of agribusiness. FAO (2013), FAOSTAT Ona: Gharama ya uingizaji bidhaa Afrika kusini mwa Sahara haijumuishi samaki 18

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Yote hayo yanasababisha kushindwa kwa jumuiya ya kimataifa kufadhili vizuri mipango ya marekebisho kuwa jambo lisiloweza kutetewa. Licha ya kuwa yaliahidi mengi, mataifa tajiri yamefadhili kwa njia ndogo sana mipango mapya na ya ziada ya marekebisho ya hali ya hewa. Ahadi za msaada wa kifedha kwa ajili ya hali hewa ni ni chini ya dola za Kimaekani milioni 700 na matumizi halisi ya pesa hizo ni ya chini zaidi. Hili ni jambo lisilo la haki na linadhihirisha mtazamo finyu. Hayastahili kwa sababu wakulima wa Kiafrika wameachwa kumudu hali ya hatari ya hali ya hewa ambayo hawajaileta. Matumizi ya pesa za marekebisho Afrika ni kidogo sana ikilinganishwa na uwekezaji wa mabilioni ya dola unaofanyika kwenye nchi matajiri. Na uwekezaji duni katika marekebisho ni kutoona mbali kwa sababu uwekezaji mapema ungeweza kusaidia ukuzi, kuimarisha usalama wa chakula na kupunguza hatari ya hali ya hewa. Kutumia rasilimali za Afrika kwa ajili ya maendeleo ya Afrika ni kipaumbele kingine. Katika ripoti ya mwaka uliopita, Usawa katika Uziduaji tumebainisha matokeo ya uharibifu wa ukwepaji wa kulipa kodi na kupotea kwa mapato kutokana na kuzishusha thamani ya rasilimali za madini. Mwaka huu tumerejesha mwamko wetu kwa rasilimali zinazoweza kuzalishwa upwa, tukizingatia uvuvi na ukataji miti. Kuna milinganisho ya kushangaza juu ya ukwepaji wa kodi. Katika kila hali, Afrika inaingizwa katika masoko yenye shughuli haramu na zisizodhibitiwa, kupitia biashara. Katika kila hali rasilimali zinazotakiwa kutumiwa kwa ajili ya uwekezaji Afrika zimekuwa zikiporwa kupitia shughuli za wenyeji wenye tabaka la juu na wawekezaji wa kigeni. Na katika kila hali serikali za Kiafrika na jumuiya pana ya kimataifa inashindwa kutunga sheria kwa ajili ya wahusika wengi zinazohitajika ili kupambana na tatizo lililojuimisha ulimwengu mzima. Matokeo ya kijamii, kiuchumi na kibinadamu ni yenye uharibifu mkubwa. Katika makadirio ya kihafidhina, uvuvi haramu na usio na utawala unaigharimu Afrika ya Magharibi pekee dola za Kimarekani bilioni 1.3 kwa mwaka. Njia za kujikimu za wavuvi wadogowadogo zimeangamizwa, Afrika inapoteza chanzo muhimu cha protini na lishe, na fursa za kuingia katika maeneo ya biashara ya dunia ya hali ya juu zaidi zinapotezwa. Meli za uvuvi za viwanda zisizosajiliwa na upakuaji wa uvunaji haramu bandarinini uchumi sawa na makampuni ya uchimbaji madini kukwepa kulipa kodi na kuficha hela za kodi kwenye benki zilizo mbali. Matatizo ya msingi yanatambulika vizuri. Lakini bado utendaji wa kimataifa ili kutatua matatizo hayo umetegemea kanuni hiari za maadili ambazo mara nyingi zimekuwa zikipuuzwa. Ni sawasawa na ukataji miti, pamoja na misitu ya Afrika ya Kati na ya Magharibi iliyoanzishwa kuwa ni sehemu ya moto wa kupora rasilimali za mbao. CHATI 7 KIWANGO CHA UMASIKINI BARANI AFRIKA KINAPUNGUKA-LAKINI KWA MWENDO WA POLE IKILINGANISHWA NA MAENEO MENGINE % 0.9 Uwiano wa idadi ya walio wanaoishi katika umasikini 0.6 0.3 0 1981 1990 1999 2010 Afrika kusini mwa Sahara Asia kusini Asia Mashariki na maeneo ya Pasifiki Amerika Kusini na maeneo ya Karibea Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Ulaya na Asia ya Kati Chanzo: The World Bank Group (2014), PovcalNet. 19

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA Kuiweka Afrika kwenye njia ya mabadiliko kutapaswa kuwekeza katika ukuzi kwa wote. Muundombinu ni kipaumbele kimoja. Hakuna eneo lenye mitandao ya barabara na mifumo ya nishati kutokuendelezwa kama Afrika. Kuibadilisha picha hii kutahitaji matumizi mahsusi ya mapato iliyotolewa kwanza, yaliyotangulizwa na maendeleo ya mapendekezo ya kuingiza fedha na kuibua mitindo mapya ya biashara. Pengo la ufadhili lililopo hivi sasa limekadiriwa kuwa kiasi cha dola za Kimarekani bilioni 48. Uzingatiaji mkubwa umewekwa kwenye maendeleo ya ufadhili mpya na bunifu ili kuziba pengo hilo, ikiwemo matumizi ya msaada ili kuvutia uwekezaji binafsi. Kwa bahati mbaya, upelekaji wa fedha halisi haukuvutiwa kama kelele zinazozunguka kutapakaa bila huruma kwa maendeleo mapya. Sehemu ya tatizo ni kushindwa kuwekeza ipasavyo katika kujenga uwezo wa serikali za Kiafrika ili kuendeleza mipango ya miundombinu. Mifumo ya kifedha ya Afrika ni kikwazo kingine juu ya ukuzi. Hakuna eneo lenye kiwango cha chini cha ufikiaji wa huduma za fedha. Ni moja tu kati ya Waafrika watano wenye akaunti ya aina yoyote katika taasisi rasmi ya fedha, huku masikini, wanavijiji na wanawake wakikabiliana na hali ngumu zaidi. Utengaji wa kifedha wa namna hiyo unadhoofisha fursa za kupunguza umasikini na kusaidia ukuzi zinazonufaishwa na wote. Ukosefu wa upatikanaji wa bima, wakulima wa Kiafrika wanalazimishwa kuweka akiba yao chache kwenye mfuko wa matumizi ya dharura ili kushughulika hali za dharura, kuliko kuiwekeza katika kusukuma uzalishaji. Vile vile, ukosefu wa upatikanaji wa mikopo na taasisi za kuweka akiba, mara nyingi hawawezi kuitikia fursa za soko. Udhaifu mwingine ni katika ufadhili wa ndani ambao unapaswa kushughulikiwa kwa dharura. Kwa kiwango kimoja, mazingira ya ufadhili wa kieneo yamebadilishwa. Miaka kumi iliyopita, nchi barani Afrika zilikuwa bado zinaibuka kutoka kwenye mradi wenye deni kubwa nchi masikini. Leo, nchi nyingi hizo hizo zimeingia katika masoko ya dhamana. Lakini Afrika haiwezi kuyakimu mahitaji yake ya kifedha katika miundombinu na maendeleo ya ujuzi kupitia msaada na ufadhili wa mkopo wa soko la kibiashara pekee. Hii ni kwa sababu hakuna mbadala kwa ajili ya ufadhili wa ndani. Kwa bahati mbaya, ukuzi wa kiuchumi haukufanyikiwa kuongeza kiasi cha uwekaji wa akiba ama uwiano wa GDP ambao unakusanywa kwa kutumia mapato ya kodi za ndani matokeo ambayo yamelenga mahitaji ya marekebisho ya taasisi. 20

Nafaka Samaki Pesa Kugharamia mageuzi ya Kijani kibichi na Samawati Mapendekezo Katika repoti hii tunatoa maelezo ya baadhi ya changamoto kubwa za maendeleo zinazozikabili Afrika. Kukabiliana na changamoto hizi sio rahisi. Bado viongozi wa kisiasa wa Kiafrika, wajasiriamali, wakulima na jamii za kimataifa, wana nafasi isiyo na kifani ya kubadilisha nchi zao. Ikiwa fursa hiyo itakamatwa, kizazi hiki kitasifika katika historia kwa kutokomeza umasikini. Katika ripoti hii tulielezea ajenda yenye mtazamo mpana ili kuleta mabadiliko. Kiini cha ajenda hii ni kanuni tano za msingi, na tumebainisha njia ya kutekeleza kila moja yazo. Kugawanya utajiri Kujumuisha ukuzi na kutanua fursa ni mambo makuu ya kutokomeza umasikini. Serikali za Kiafrika zinatakiwa kupanga malengo ya usawa yanayohusiana na malengo ya maendeleo ya baada mwaka 2015. Malengo haya yatazingatia kupunguza mapengo katika fursa. Kwa mfano, katika miaka mitano ijayo, serikali hizi zinaweza kupunguza kwa nusu ukosefu wa kuhudhuria shule, vigo vya watoto, na upatikanaji wa huduma muhimu zinazohusiana na mgawanyo kati ya maeneo ya miji na vijiji, na mapengo ya utajiri na matabaka ya kijinsia. Kuimarisha uzingatiaji juu ya ukuzi kwa wote unahitaji upanuaji wa ulinzi wa kijamii, ikiwemo uhamishaji wa fedha kwa maskini. Serikali zinatakiwa zichepue asilimia 3 za GDP ya kikanda wanazojitahidi katika msaada wa nishati na kuzipeleka katika mipango ya ulinzi wa kijamii iliyoundwa vizuri. Kuwekeza katika mapinduzi ya kijani ya kipekee ya Kiafrika Serikali za Kiafrika, sekta binafsi na jumuiya ya kimataifa lazima zifanye kazi kwa pamoja ili kuwekeza katika mapinduzi ya kijani ya kipekee ya Kiafrika. Inawezekana kuongeza mara mbili uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha miaka mitano. Kama ilivyoorodheshwa na Umoja wa Afrika, nchi za Kiafrika zinaweza kutokomeza njaa na utapiamlo na kuwa ni wachangiaji wakubwa katika masoko ya vyakula ulimwenguni. Pia ni muhimu kuibua uwezo wa kilimo na uleaji mwendelevu wa samaki ili kutoa chakula, ajira na mapato ya uuzaji bidhaa katika nchi za nje. Baadhi ya mahitaji kwa ajili ya kufikia mafanikio katika kilimo ni ya kifedha. Sasa ni wakati wa serikali kutimiza ahadi zao na kutumia angalau asilimia 10 ya bajeti katika kilimo. Lakini pia serikali zinahitaji kuboresha hali za soko. Kipaumbele cha haraka ni uendelezaji wa mradi wa kutafuta mbinu zingine za kupata chakula badala ya kuagiza kutoka nchi za nje ili kupunguza gharama uingizaji ya dola za Kimarekani bilioni 35. Hii itahitaji hatua za kuondoa vizuizi vya forodha na visivyokuwa vya forodha kwa biashara ya kikanda, kutokomeza udhibiti binafsi katika usafirishaji, na kuendeleza miundombinu ya masoko. Ondoa faida katika uporaji Rasilimali za Kiafrika zinapaswa kusimamiwa kwa njia inayoweza kuendelezwa ili kunufaisha watu wa Afrika. Utendaji wa kitaifa na wa kikanda pekee hautoshi. Jumuiya ya kimataifa lazima iunde mifumo ya wahusika wengi ambayo itazuia waporaji wa rasilimali za Kiafrika. Uvuvi: Jumuiya ya kimataifa lazima zichukue hatua ya pamoja kuibua mapinduzi ya buluu kwa ajili ya usimamizi wa bahari. Kusitisha uporaji wa rasilimali za uvuvi wa Kiafrika, serikali zote zitahitajika kuweka kiwango na kutekeleza Makubaliano ya Vipimo vya Bandari ya Kitaifa ya 2009 ili kushughulikia uvuvi haramu, Usiodhibitiwa na usioripotiwa (IUU), na kuanzisha usajili wa kimataifa wa vyombo vya uvuvi. Serikali za Kiafrika zinatakiwa ziongeze faini kwa vyombo vya IUU, kusaidia wavuvi wadogowadogo, kuongeza uwazi, na kutoa uwazi kamili wa vipengele ambavyo vibali vya uvuvi wa kibiashara vinavyotolewa. 21

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA Misitu: Mikataba yote ya makubaliano ya ukataji miti ya kibiashara yanapaswa kuwa yenye uwazi kikamilifu, pamoja na miundo ya umiliki wenye manufaa kwa mashirika yanayohusika. Mikataba hii inapaswa kutolewa tu ikiwa imeidhinishwa na jamii husika zenye uelewevu wa masharti ya mkataba huu. Jamii hizi zinapaswa kuelezwa kwa uwazi na usahihi gharama za msingi na manufaa ya mkataba huo. Kufunga nakisi pacha katika miundombinu na mjumuiko wa fedha Serikali za Kiafrika lazima zifunge nakisi pacha katika miundombinu na mjumuiko wa fedha. Ukosefu wa miundombinu ndio kikwazo kwenye ukuzi na fursa. Ukosefu wa fedha una matokeo haya haya. Ushirikiano wa kikanda katika sekta za nishati na usafirishaji ni muhimu ili kupunguza gharama za utengenezaji wa miundomsingi. Serikali za Kiafrika pia zinaweza kusaidia maendeleo ya benki kupitia simu za mkononi na biashara ya mitandaoni ili kuushinda upungufu wa kifedha, tukiiga mafanikio ya M-PESA nchini Kenya. Taasisi za kifedha zinazotegemeza maendeleo zinahitaji kufanya kazi na sekta binafsi ili kuimarisha ufahamu mzuri wa hatari. Kuzifanya kodi na fedha kuwa za haki na wazi Kuimarisha uhamasishaji wa rasilimali za ndani, pamoja na uwekezaji wa serikali katika ukusanyaji kodi sawa na unaofaa ndio ufunguo wa ufadhili kwa ajili ya ukuzi wa kiujumla. Serikali zinatakiwa kuchapisha kwa uwazi ya msamaha wote wa kodi ambao umetolewa kwa vyombo vya makampuni, vyote vya ndani na vya kigeni. Gharama zilizokadiriwa za msamaha wa kodi zinatakiwa ziwekwe hadharani, pamoja na sababu za msamaha huo pamoja na watakaofaidika kwa kiwango kikubwa kwa msamaha huo. Jumuiya ya kimataifa lazima ichukue hatua zaidi na juhudi ili kupambana na ukwepaji wa kulipa kodi. Mashirika ya mataifa mbalimbali yanayofanya kazi Afrika yanahitajika kuweka wazi kikamilifu utendaji na malipo ya kodi. Tukijenga juu ya hatua na taratibu zilizopo, serikali zitaweza kuharakisha mabadilisho ya moja kwa moja ya maelezo ya kodi na kuongeza uwezo wa Afrika wa kunufaika na maelezo haya. Serikali zote, zikiwemo zile zilizo na usiri wa kifedha, zinahitajika kuanzisha usajili wa umma wa wote wanaonufaika na rasilimali za kampuni na amana. Mashirika ya Kimataifa yanaweza kuongoza katika uchapishaji wa orodha kamili ya matawi madogo ya mashirika yao, kama pia kutoa maelezo kuhusu faida za mapato za kimataifa na kodi zinazolipwa katika maeneo mbali mbali Jumuiya ya kimataifa inapaswa kutimiza ahadi zake za msaada na hata kuzidisha msaada huo kwa kukata gharama za malipo. Mataifa ya G8 yanatakiwa kufanya kazi pamoja na serikali za Kiafrika kukata gharama za kuhamisha malipo hadi kiwango cha juu cha asilimia 5. Hii inamaanisha kupunguza vizuizi vya biashara katika sekta ya uhamishaji wa fedha, kuupa nguvu ushindani, na kutengeneza hali bora zitakazosaidi ukuzi wa sekta ya uhamishaji wa pesa kupitia simu za mkononi kwa gharama ya chini. 22

Jopo la Maendeleo Afrika linaendeleza maendeleo ya Afrika kwa kufuatilia maendeleo, na kuvuta uangalifu katika nafasi au fursa za maendeleo na kuchochea hatua. PANEL MEMBERS Kofi Annan Mwenyekiti wa Jopo la Maendeleo ya Afrika, Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa na Mshindi wa tuzo la Nobel. Michel Camdessus Meneja Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Kimataifa la Fedha (International Monetary Fund) Peter Eigen Mwanzilishi wa shirika la Kimataifa la Uwazi (Transperency International) na Mwakilishi maalum wa Mpango wa Uwazi katika Sekta za Uziduaji (Extractive Industries Transperency Initiative) Bob Geldof KBE Mwanamuziki, Mfanyabiashara, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Band Aid, Live Aid na Live8, Mwanzilishi-mwenzi wa DATA na Mshauri na Mtetezi wa ONE. Graça Machel Rais wa Mradi wa Maendeleo ya Jamii na Mwanzilishi wa Nyuso Mpya, Sauti Mpya (New Faces, New Voices) Strive Masiyiwa Mwanzilishi wa kampuni ya kusambaza Intaneti ya Econet Linah Kelebogile Mohohlo Mkuu wa Benki ya Botswana Olusegun Obasanjo Rais wa zamani wa Nigeria Robert E. Rubin Mwenyekiti-mwenzi wa Halmashauri ya Mahusiano ya kigeni na katibu wa zamani wa idara ya hazina ya Marekani Tidjane Thiam Afisa Mtendaji Mkuu wa Prudential Plc Africa Progress Panel P.O. Box 157 1211 Geneva 20 Switzerland info@africaprogresspanel.org www.africaprogresspanel.org Jopo la Maendeleo Afrika huchapisha katika karatasi zilizochakatwa.

RIPOTI YA 2014 YA MAENDELEO YA AFRIKA www.africaprogresspanel.org 24