Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe Januari, 2015

Size: px
Start display at page:

Download "Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari, 2015"

Transcription

1 HABARI Habari ZA za NISHATI nishati &MADINI &madini Bulletin Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe Januari, 2015 Toleo No. 78 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Julai 31 - Agosti 5, 2015 WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2 REA yataka ushirikiano taasisi Wabunge za Kifedha, Sekta Binafsi Soma habari Uk. 2 Umeme ni eneo linalohitaji kuendelezwa kwa ushirikiano na Sekta Binafsi, Taasisi za Kifedha na Washirika wa Maendeleo ili kuongeza kasi ya kuviunganishi vijiji na nishati hiyo Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA Mhandisi Ngosi Mwihava Soma habari Uk. 2 Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, (katikati) katika picha ya pamoja na Washirika wa Maendeleo. Dkt. Lutengano Mwakahesya Serikali peke yake haiwezi kufanya kazi hiyo tunahitaji kushirikiana na Sekta Binafsi, Taasisi za Kifedha na Washirika wa Maendeleo. Uhakika wa umeme utawezesha wananchi wengi zaidi kujiingiza katika shughuli za kiuchumi. Washiriki wa kikao kazi baina ya REA Taasisi za Kifedha, Washirika wa Maendeleo, Taasisi Binafsi, Wizara na Taasisi za Serikali. Edmund Mkwawa Endapo wadau hao watashirikiana na REA, mradi huo utaleta matokeo makubwa zaidi ya yaliyopatikana sasa na hivyo kuweza kuyafikia maeneo ambayo hayajafikiwa na nishati hiyo. Waziri wa Nishati Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, REA, Naibu Waziri wa Nishati na Naibu Waziri wa Nishati na Mkurugenzi Mkuu wa na Madini, Profesa TPDC Madini, anayeshughulikia yaeleza Madini anayeshughulikia mafanikio yake Dk. Lutengano Sospeter Muhongo Mhandisi Felchesmi Madini Stephen Masele Nishati, Charles Kitwanga Mwakahesya Mramba JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4 Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba Fax Mob: kwa ajili ya au Fika Ofisi Bullettin ya Mawasiliano hii Ghorofa na Jarida ya Tano la (MEM) Wizara Barua ya pepe: Nishati badra77@yahoo.com na Madini Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba Fax Mob: au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com Soma habari Uk. 10

2 Habari za nishati/madini 2 Bulletin REA yataka ushirikiano taasisi za Kifedha, Sekta Binafsi Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, (katikati) katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, (katikati) katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Taasisi za Kifedha. vingi vya fedha. Mwihava aliongeza kuwa, serikali imefanikiwa kuimarisha miundombinu ya uzalishaji umeme jambo ambalo limewezesha kiwango cha uzalishaji kuongezaka kutoka megawati 891 mwaka 2005 hadi 1,226.3, Machi Ikiwa vijiji vyetu vitaunganishwa na nishati hiyo, hali hiyo itachochea shughuli za kiuchumi kufanyika ikiwemo kuanzishwa kwa viwanda vidogo katika maeneo ya vijijini, na kuongeza huduma za kisasa za kiuchumi zinazotumia nishati hiyo. Umeme ni maendeleo na ili tuendelee tunahitaji umeme, alisema Mwihava. Naye Mwenyekiti wa Bodi ya REA, Edmund Mkwawa, alieleza kuwa, endapo wadau hao watashirikiana na REA, mradi huo utaleta matokeo makubwa zaidi ya yaliyopatikana sasa na hivyo kuweza kuyafikia maeneo ambayo hayajafikiwa na nishati hiyo. Aliongeza kuwa, zipo fursa nyingi ambazo taasisi hizo zinaweza kuzitumia kupitia miradi mbalimbali ambayo itawezesha kupata faida na hivyo, kikao hicho kitawawezesha wadau hao kutambua fursa hizo. Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa REA, Dkt. Lutengano Mwakahesya alitumia fursa hiyo kuwashukuru wadau wote ambao wamewezesha Wakala huo kuunganisha miji, vijiji na nishati hiyo Sehemu ya washiriki wakifuatilia kikao kazi baina ya REA, taasisi za Kifedha, Washirika wa Maendeleo, Taasisi Binafsi, Wizara na Taasisi za Serikali, kilicholenga kujadili na kuangalia namna sekta hizo zinavyoweza kushirikiana pamoja ili kuongeza kasi ya kuviunganisha vijiji na umeme. Afisa Mwandamizi anayeshughulikia nishati kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Stella Mandago, akisisitiza jambo katika kikao hicho. Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam Taasisi za Kifedha, Sekta Binafsi na Washirika wa Maendeleo nchini, wameshauriwa kutumia fursa zilizopo katika sekta ya nishati hususani umeme kushirikiana na serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ili kuongeza kasi ya kuviunganisha vijiji vingi zaidi na umeme, ikiwemo kuwezesha mapinduzi ya maendeleo kupitia nishati hiyo. Hayo yamebainishwa kwa nyakati tofauti kwenye kikao kazi kilichoandaliwa na REA, kikijumuisha Taasisi za Kifedha, Sekta Binafsi, Washirika wa Maendeleo, Washirika katika tasnia ya nishati, na wawakilishi kutoka Wizara na Taasisi za Serikali, kwa lengo la kujadili na kuangalia namna sekta hizo zinavyoweza kushirikiana pamoja ili kuongeza nguvu ya kuhakikisha Tanzania hususan vijiji vinaunganishwa na nishati ya umeme ili kuchochea shughuli za kiuchumi vijijini. Akifungua kikao hicho, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava, alisema, miradi ya kuviunganisha vijiji na nishati ya umeme ni eneo linalohitaji kuendelezwa kwa ushirikiano na wadau hao ili kuongeza kasi ya uunganishaji umeme. Alisema kuwa, tangu Wakala huo kuanzishwa mwaka 2007 kasi ya kuviunganisha vijiji na umeme imeongezeka, na kuongeza kuwa, jitihada kubwa imekwishafanywa na Serikali na endapo wadau hao wataunganisha nguvu, azma ya serikali kuhakikisha kuwa ifikapo mwaka 2030 taifa zima liwe limeunganishwa na nishati hiyo litafikiwa haraka kwa kuwa REA itakuwa na vyanzo kufikia asilimia 40 na kueleza kuwa, Wakala huo utaendelea kutafuta wafadhili ili kuweza kufanikisha malengo yake ya kuhakikisha kwamba taifa linaunganishwa na umeme. Aliongeza kuwa, serikali peke yake haiwezi kufanya kazi hiyo na kueleza kuwa, uhakika wa uwepo wa umeme utawezesha wananchi wengi zaidi kujiingiza katika shughuli za kiuchumi. Kwa upande wake Afisa Mwandamizi anayeshughulikia nishati kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Stella Mandago, alizitaka taasisi hizo kufanya kazi na Wakala huo kwani zipo fursa nyingi na hivyo itawezesha taasisi hizo kupanua wigo wa shughuli zao kiuchumi kupitia nishati ya umeme.

3 Bulletin MEM Tahariri Habari za nishati/madini 3 Wachimbaji Madini watakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia Na Badra Masoud Taasisi za Kifedha, Sekta Binafsi tuunganishe nguvu kuongeza kasi ya kuviunganisha vijiji na umeme Wiki hii tumeshuhudia Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ikiingia katika hatua nyingine ya kuzitaka Sekta Binafsi, Taasisi za Kifedha na Washirika wa Maendeleo kuunganisha nguvu ili kuongeza kasi ya kuviunganisha vijiji zaidi na nishati ya umeme. Tumeshuhudia jitihada kadhaa ambazo zimefanywa na Serikali kuhakikisha kwamba taifa letu linazalisha umeme wa uhakika na wa kutosha na inapiga hatua kubwa ya kiuchumi na kimaendeleo kupitia nishati ya umeme. Katika kikao kazi na wadau hao, Serikali kupitia REA, halikadhalika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) walijaribu kueleza kwa undani namna sekta hizo zinavyoweza kushirikina katika tasnia hiyo na bado wakaendelea kunufaika kutokana na fursa nyingi za kiuchumi na kibiashara. Kutokana na takwimu kadhaa, tangu kuanzishwa kwa Wakala huo mwaka 2007, umesaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza kasi ya kuviunganisha vijiji na umeme. Aidha, imeelezwa kuwa, jitihada za Serikali za kuimarisha miundombinu ya umeme, zimewezesha uzalishaji kuongezeka kutoka megawati 891 mwaka 2005 hadi 1,226.3 mwezi Machi, Ni wazi kuwa endapo jitihada hizo ambazo zimefanywa na Serikali na baadhi ya Washirika wa Maendeleo, zitaongezewa nguvu zaidi kwa ushirikiano na sekta binafsi, Taasisi za Kifedha na Washirika wa Maendeleo ambao bado hawako katika muungano huo, watawezesha azma ya Serikali ya kuviunganisha vijiji na nishati hiyo kufikiwa kwa haraka zaidi. Shime Sekta Binafsi, Taasisi za Kifedha na Washirika wa Maendeleo wakati wa kuiwezesha Tanzania kujenga uchumi imara na kuwezesha mapinduzi ya kimaendeleo ni kupitia Nishati hiyo ni sasa. Ushirikiano wenu ni muhimu ili kuhakikisha Taifa linazalisha umeme mwingi, wa uhakika na wa gharama nafuu kwa wananchi wake. Afisa Madini Mkazi- Ofisi ya Madini Handeni, Frank Makyao (kulia) akifungua mafunzo kuhusu huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini kanda ya mashariki mjini Handeni. Kutoka kushoto ni wawezeshaji wa mafunzo hayo kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Pendo Elisha na Charles Gombe. Na Greyson Mwase, Handeni-Tanga Wachimbaji wa Madini nchini wametakiwa kuendana na teknolojia inayokua kila kukicha ili kuwezesha sekta ya madini kuwa na mchango zaidi katika pato la taifa. Rai hiyo ilitolewa na Afisa Madini Mkazi kutoka Ofisi ya Madini- Handeni mkoani Tanga, Frank Makyao wakati wa ufunguzi wa mafunzo juu ya matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini Kanda ya Mashariki yaliyofanyika hivi karibuni mjini Handeni Lengo la mafunzo hayo KWA HABARI PIGA SIMU kitengo cha mawasiliano TEL FAX MOB Bodi ya uhariri lilikuwa ni kuwapa uelewa wa matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao ijulikanayo kama Online Mining Cadastre Transactional Portal. Makyao alisema kuwa ni vyema wamiliki wa leseni za madini wakaachana na mfumo wa zamani wa kutumia makaratasi katika huduma za leseni kwani mfumo wa kisasa wa huduma za leseni kwa njia ya mtandao utawawezesha kupata leseni kwa wakati na uwazi zaidi. Kwa mfano kuanzia sasa mtaweza kufanya malipo ya leseni zenu kwa njia ya M-Pesa, Airtel Money na Tigo Pesa hali itakayowezesha ofisi za madini kupata mapato zaidi, alisisitiza Makyao. Makyao aliendelea kusema kuwa wachimbaji wa madini wanatakiwa kuchangamkia mafunzo yanayotolewa na Mhariri Mkuu: Badra Masoud Msanifu: Essy Ogunde Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James na Nuru Mwasampeta wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini na kuanza kutumia huduma hiyo mara moja ili kurahisisha utendaji wao wa kazi. Alisema biashara katika nchi nyingi duniani imekuwa ikifanyika kwa njia ya mtandao na kuwataka wachimbaji wa madini kuchangamkia fursa hiyo ili waweze kuendana na ushindani wa biashara ya madini duniani. Aidha aliwataka wachimbaji wa madini kufuata sheria za madini katika uombaji na umiliki wa leseni za madini pamoja na kushirikiana na serikali kwa kulipa kodi na tozo mbalimbali kama Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 inavyowataka ili sekta hiyo iwe na mchango zaidi katika ukuaji wa uchumi wa Taifa. Five Pillars of Reforms increase efficiency Quality delivery of goods/service satisfaction of the client satisfaction of business partners satisfaction of shareholders

4 Habari za nishati/madini 4 Bulletin Mpango Kazi wa Ushiriki wa Watanzania katika Tasnia ya Mafuta na Gesi Asilia Katika ni Kamishna wa Nishati na Petroli wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Hosea Mbise pamoja na watumishi wa sekta hiyo wakijadili Mpango Kazi wa Ushiriki wa Watanzania katika Tasnia ya Mafuta na Gesi Asilia. Na Rhoda James Wizara ya Nishati na Madini nchini imejipanga kuimarisha Ushiriki wa Watanzania katika Tasnia ya Mafuta na Gesi Asilia. Katika kufanikisha azma hiyo, Mpango Kazi ambao unaainisha maeneo ya kimkakati ambayo Wizara itaanza kuyafanyia kazi umeandaliwa. Vile vile, Wizara itaunda Kitengo Maalumu cha Kusimamia Masuala ya Ushiriki wa Watanzania (Local Content Unit). Kamishna wa Nishati na Petroli wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Hosea Mbise alisema hayo hivi karibuni katika kikao chake na watumishi wa sekta hiyo jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kinafuatia ushauri uliotolewa na uongozi wa juu wa Wizara kujadili mikakati ya utekelezaji wa masuala yaliyoainishwa katika Sera ya Ushiriki wa Watanzania (Local Content Policy, 2015) na Sheria (Petroleum Act, 2015 and TEITI Act, 2015) kwa lengo la kuimarisha Ushiriki wa Watanzania katika Tasnia ya Mafuta na Gesi Asilia. Mwasilisha mada kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Neema Lugangira alisema kikao hicho pia kilijadili na kuboresha Mpango Kazi husika pamoja na mambo mengine ili kuweka mikakati ya utekelezaji. Lugangira pia alisema kuwa ipo haja ya Wizara kuunda jukwaa tofauti zikiwemo jukuwaa la Kushauriana katika Masuala ya Ushiriki wa Watanzania (Local Content ipo haja ya Wizara kuunda jukwaa tofauti zikiwemo jukuwaa la Kushauriana katika Masuala ya Ushiriki wa Watanzania (Local Content Consultative Forum) na kauandaa warsha (Local Content Workshop) Consultative Forum) na kauandaa warsha (Local Content Workshop) yenye lengo la kujenga na kuimarisha uelewa wa Ushiriki wa Watanzania katika tasnia hiyo ya Mafuta na Gesi Asilia. Aidha, maazimio mbalimbali yalifikiwa katika kikao hicho yakiwemo kuboresha taarifa za mitandao pale Sera zinapoboreshwa, kuandaa kitabu Wa pili kutoka kulia ni Mwasilishaji mada kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Neema Lugangira akifafanua jambo katika kikao hicho. cha Ushiriki wa Watanzania katika Tasnia ya Mafuta na Gesi Asilia katika lugha ya Kiswahili na Kiingereza na uandaaji wa barua kwenda kwa wadau wote kwa ajili ya kuwataarifu juu ya masuala ya Ushiriki wa Watanzania katika tasnia ya Mafuta na Gesi Asilia. Akifunga kikao hicho Mhandisi Mbise aliwaasa watumishi wote wa Wizara kushirikiana kikamilifu katika kufanikisha mikakati hiyo ili kutekeleza Mpango Kazi huo.

5 Bulletin Habari za nishati/madini 5 Mradi wa umeme Vijijini kuboreshwa Na Mohamed Saif Serikali inaendelea na mkakati wake wa kuhakikisha miradi ya umeme nchini inakamilika kwa wakati uliopangwa ili kuleta matokeo yaliyokusudiwa. Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava alisema hayo hivi karibuni jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wake na Ujumbe wa Benki ya Dunia uliolenga kujadili programu ya upanuzi wa Mradi wa Umeme Vijijini ujulikanao kama Tanzania Rural Electrification Expansion Program (TREEP). Mhandisi Mwihava alisema kuwa nishati ya umeme ina umuhimu wa kipekee katika kuleta maendeleo ya kiuchumi ikiwa ni pamoja na kupunguza umaskini. Serikali inatambua umuhimu wa nishati ya umeme kwa maendeleo ya taifa, alisema Mhandisi Mwihava. Akizungumzia mapendekezo yaliyotolewa na ujumbe huo kuhusu programu hiyo ya TREEP, aliagiza Maafisa waliohudhuria mkutano huo kupitia mapendekezo husika ili kwenda sawa na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kwa sekta ya nishati umeainisha vyema namna miradi ya umeme nchini inavyotakiwa kukamilika, alisema Mhandisi Mwihava. Akizungumza katika mkutano huo, Mtaalamu Mwandamizi wa masuala ya Nishati wa Benki ya Dunia, Natalia Kulichenko alisema matarajio ya programu ya TREEP ni kuongeza na kuboresha upatikanaji wa umeme vijijini, kuongeza usambazaji wa umeme mbadala vijijini na kuimarisha uwezo wa sekta ya nishati ili kukidhi mahitaji ya umeme vijijini. Alisema kupitia ushirikiano mzuri baina ya Benki ya Dunia, Wizara ya Fedha, Wizara ya Nishati na Madini na taasisi zilizo chini yake, malengo na matarajio ya programu hiyo yatafikiwa kama inavyokusudiwa. Naye Kamishna Msaidizi wa Umeme, Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Innocent Luoga alisema ni vyema mpango huo wa TREEP ukazingatia unafuu wa gharama za uunganishwaji wa umeme kwa wateja. Alisema gharama za kuunganishiwa umeme zinapaswa kuwa nafuu ili kuwawezesha wananchi wengi zaidi kupata huduma husika. Wachimbaji Kaskazini wafurahia huduma za leseni kwa mtandao Na Greyson Mwase, Arusha Wachimbaji wa madini kutoka Kanda ya Kaskazini wamefurahishwa na mafunzo yanayoendeshwa na Wizara ya Nishati na Madini huhusu huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao. Wakizungumza kwa nyakati tofauti mkoani Kilimanjaro na Arusha wachimbaji hao walisema kuwa wamefurahishwa na juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za leseni ikiwa ni pamoja na kuwapatia mafunzo. Mmoja wa wachimbaji kutoka Same, Kilimanjaro Richard Mbwambo akizungumza kwa niaba ya wachimbaji wenzake alisema kuwa, mafunzo hayo yatawawezesha kutumia mtandao katika kutuma maombi ya leseni za madini Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava (kulia) katika picha ya pamoja na wataalamu waandamizi wa masuala ya Nishati wa Benki ya Dunia, Natalia Kulichenko (katikati) na Richard Hosier (kulia) wakimsikiliza Kamishna Msaidizi wa Umeme, Mhandisi Innocent Luoga (hayupo pichani) akizungumza wakati wa mkutano wa kujadili Mpango wa Upanuzi Mradi wa Umeme Vijijini (TREEP). na hivyo kupunguza gharama ambazo walikuwa wakizipata awali. Akizungumzia huduma mpya ya leseni za madini kwa njia ya mtandao alisema kuwa huduma hiyo ni nzuri kwa kuwa itaongeza kasi ya upatikanaji wa leseni za madini na kuongeza mapato kwa Serikali. Mbwambo alisema, awali wachimbaji wa madini walishindwa kuomba leseni za uchimbaji wa madini kutokana na upatikanaji wake kuwa mgumu, kutokana na kusafiri umbali mrefu hadi ofisi za madini zilizo mbali na hivyo kuingia gharama kubwa wakati wa ufuatiliaji wa leseni hizo, hali iliyowakatisha tamaa wachimbaji wengi ya kuomba leseni. Naye Naamin Samuel ambaye ni mchimbaji wa madini ya Gypsum kutoka Same, Kilimanjaro aliongeza kuwa baada ya kupata elimu na kuanza kutumia huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao wataweza kulipa fedha kwa wakati kupitia Huduma ya leseni za madini kwa njia ya mtandao itapelekea Serikali kuwa na kumbukumbu sahihi ikiwa ni pamoja na kukusanya fedha zaidi itokanayo na kodi. mitandao ya simu ikiwemo Airtel Money, M-Pesa na Tigo Pesa. Kwa upande wake Jumaa Ally ambaye ni mchimbaji wa madini ya Tanzanite kutoka Mirerani aliishauri Serikali kuendelea kutoa mafunzo zaidi kwa wachimbaji wa madini nchini kote ili waanze kutumia huduma hiyo. Alisema huduma ya leseni za madini kwa njia ya mtandao itapelekea Serikali kuwa na kumbukumbu sahihi ikiwa ni pamoja na kukusanya fedha zaidi itokanayo na kodi kwani wachimbaji wengi sasa Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini pamoja na taasisi zilizo chini yake wakifuatilia mada kuhusu mpango wa Upanuzi Mradi wa Umeme Vijijini (TREEP) iliyowasilishwa na wataalamu waandamizi wa masuala ya Nishati wa Benki ya Dunia, Natalia Kulichenko na Richard Hosier (hawapo pichani). Wa kwanza kushoto ni Kamishna Msaidizi wa Umeme, Mhandisi Innocent Luoga akifuatiwa na Mhandisi Victor Labaa. wataweza kulipa kwa wakati. Wakati huohuo, akielezea manufaa ya huduma ya leseni za madini kwa njia ya mtandao mtaalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Kitengo cha Leseni Charles Gombe alisema mfumo huo utaongeza uwazi na kasi ya utoaji wa leseni za madini ambapo wateja wataingiza maombi ya leseni wenyewe, hivyo kupunguza tatizo la mlundikano wa maombi kwenye ofisi za madini. Aliongeza kuwa wateja na Serikali watakuwa na uhakika na maombi yatakayowasilishwa yakiwemo maombi ya kuhuisha na kuhamisha leseni pamoja na kuwa na uhakika wa malipo yatakayofanyika kupitia mfumo huo. Aliendelea kusema kuwa wateja watapata taarifa za leseni zao kila wakati na kujua wanapotakiwa kufanya malipo ya leseni au watakapotakiwa kutuma taarifa za utendaji kazi.

6 Habari za nishati/madini 6 Bulletin Ufaransa kuendelea kufadhili miradi ya umeme Na Zuena Msuya, Dar es Salaam Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini wakiwa katika kikao cha pamoja na Ujumbe wa Shirika la Maendeleo la Ufaransa waliopo upande wa kushoto waliofika Wizarani kufahamu maendeleo ya miradi walioifadhili pamoja na kutaka miradi mipya ya kuifadhili. Wajumbe kutoka Shirika la Maendeleo la Ufaransa (afd), mwenye nguo ya njano ni Meneja wa miradi endelevu ya umeme kutoka afd, Maitane Concellon na kulia kwake ni Dennis Munuve. Wizara ya Nishati na Madini imelikaribisha Shirika la Maendeleo la Ufaransa (afd) kuwekeza nchini katika miradi mbalimbali ya maendeleo hususani umeme. Hayo yamebainishwa na Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia umeme Mhandisi Innocent Luoga wakati wa kikao cha pamoja na ujumbe wa afd waliofika Wizarani ili kufahamu maeneo mapya wanayoweza kuwekeza pamoja na kufahamu maendeleo ya miradi waliyoifadhili. Luoga alisema wataalamu watafanya utafiti katika maeneo ambayo wanaona yanahitaji ufadhili na baada kujadiliana na wafadhili ili kufahamu kama miradi hiyo ni ya muda mrefu ama mfupi katika utekelezaji wake. Tanzania bado ina maeneo mengi ya kuwekeza ili kuwapatia watanzania umeme kutokana na kuwepo kwa vyanzo mbalimbali vya nishati hiyo. alisema Mhandisi Luoga. Mhandisi Luoga alisema miradi inayofadhiliwa na afd iko katika hatua nzuri ya utekelezaji ambapo baadhi ya miradi hiyo inatarajiwa kukamilika mwanzoni mwa mwezi Septemba mwaka huu ikiwemo ile ya kuimarisha upatikanaji wa huduma ya umeme kwa jiji la Dar es Salaam. Alisema mbali na miradi hiyo kwa jiji la Dar es salaam, pia miradi mikubwa ya umeme ambayo ipo katika mpango wa Matokeo Makubwa Sasa inayotarajiwa kuboresha upatikanaji wa huduma ya umeme wa uhakika nchi nzima na kwa kipindi cha muda mfupi. Kwa upande wake Meneja wa miradi endelevu ya umeme kutoka afd, Maitane Concellon ameshauri kuwa miradi inayofadhiliwa na Wahisani imalizwe kwa wakati ili kutoa imani kwa wafadhili na kwamba wako tayari kuendelea kutoa ufadhili kwa Serikali ya Tanzania. Aidha wametaka kuharakishwa kwa maeneo ya ufadhili pindi maeneo yatakapopatikana ili kuweza kuwekeana mikataba ya namna ya kuitekeleza. Vilevile, Concellon amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania Tanesco kwa kazi wanayofanya na kuishauri kuweka wazi mipango kazi yao ikiwemo masuala ya mikataba, na pia washirikiane na kampuni za mawasilino kama TTCL. Tayari afd imefadhili miradi mbalimbali ukiwemo ule wa Geita - Nyakanazi ambapo pia inatarajia kufadhili miradi mingi zaidi ukiwemo wa Tanzania - Zambia.

7 Bulletin Habari za nishati/madini 7 MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO - MIRERANI Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Kitengo cha Leseni, Charles Gombe akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Kilimanjaro kabla ya kuanza kwa uendeshaji wa mafunzo ya huduma za leseni kwa njia ya mtandao. Mafunzo hayo yanahusisha wachimbaji wa madini lengo likiwa ni kuwapa uelewa wa matumizi ya huduma za leseni kwa njia ya mtandao Afisa Madini Mkazi -Mkoa wa Kilimanjaro, Fatuma Kyando akielezea sheria na kanuni za uchimbaji wa madini nchini katika mafunzo hayo Baadhi ya wachimbaji wa madini kutoka wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa na wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mmoja wa wachimbaji wa madini kutoka wilayani Same, mkoani Kilimanjaro Richard Mbwambo akiuliza swali katika mafunzo hayo Wataalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini (waliokaa mbele) wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo hayo (waliosimama nyuma). Mmoja wa wachimbaji wadogo, Naamin Samuel kutoka kampuni ya Kivoroi na Ndarauoi akiuliza swali katika mafunzo hayo.

8 Habari za nishati/madini 8 Bulletin MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO - MIRERANI Afisa Madini Mkazi, Mkoa wa Kilimanjaro, Fatuma Kyando akielezea sheria na kanuni za uchimbaji wa madini nchini katika mafunzo ya siku mbili yaliyoshirikisha wachimbaji wa madini Mirerani. Lengo la mafunzo hayo lilikuwa ni kuwapa uelewa juu ya huduma za Leseni kwa njia ya mtandao. u Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Kitengo cha Leseni Charles Gombe (kulia) akihakiki Leseni ya mmoja wa wachimbaji (katikati) Kushoto ni Afisa Madini katika Ofisi ya Madini, Mirerani, Denis Mrengo Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kaskazini Alex Magayane (kushoto) akifungua mafunzo hayo. Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zinawasilishwa kwa nyakati tofauti. Mjiolojia katika Ofisi ya Afisa Madini Mkazi -Mirerani, Amir Chande Ramadhani (kushoto) na Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Kitengo cha Leseni Charles Gombe (kulia) wakifuatilia tovuti ya huduma za leseni kwa njia ya mtandao (online mining cadastre transactional portal) kwenye mafunzo hayo. Mtaalam kutoka Idara ya Madini, Wizara ya Nishati na Madini (kushoto) Pendo Elisha akitoa mada kwa wachimbaji madini (hawapo pichani) kuhusu namna ya kujiunga na huduma ya leseni kwa njia ya mtandao. Wa kwanza kulia ni Mhandisi Migodi katika Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mirerani, Fedrick Phinius.

9 Bulletin FUATILIA Kipindi Maalum- Ewura na Uchumi Tarehe 3 Agosti, saa 3:00 4:00 usiku, Star TV Tarehe 5 Jumatano saa 4:00 usiku 5:00 usiku, TBC1 Vilevile usikose Mahojiano kuhusu Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) tarehe 3 Agosti, 2015 katika kipindi cha Jambo Tanzania TBC1 Habari za nishati/madini OMCTP- Huduma za leseni Kiganjani Mwako Wizara ya Nishati na Madini ilizindua mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya mtandao tarehe 8 Juni, Uzinduzi huo ulifanyika baada ya kipindi cha mwaka mzima wa maandalizi ya mfumo huo wa kielektroniki ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Licha ya kuwawezesha wateja kufanya malipo ya leseni na mrabaha kwa njia ya kielektroniki, mfumo huo wa kielektroniki wa OMCTP utawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki, kutuma taarifa za utendaji kazi na kadhalika. Aidha, Mfumo wa OMCTP utawawezesha wateja kupata taarifa mbalimbali za sekta ya Madini zikiwamo ramani za kijiolojia na taariza za migodi mikubwa UTARATIBU WA KUJISAJILI KATIKA MFUMO WA OMCTP Ili kujisajili kwenye mfumo huo wa OMCTP, hatua zifuatazo zinahusika Kujaza na Kuwasilisha Fomu ya Usajili a. Fomu ya kuomba usajili wa OTMCP zinapatikana kwenye tovuti ya Wizara au kwenye Ofisi ya Madini iliyo karibu na wewe. Jaza Fomu hizo kadiri ya maelekezo yaliyomo kwenye Fomu husika; b. Wamiliki wa leseni za madaraja A na B wawasilishe maombi yao katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara (MEM HQ) wakiambatisha leseni halisi pamoja na stakabadhi za malipo ya leseni husika kutokea leseni husika ilipohuishwa kwa mara ya mwisho hadi wakati wa kuomba usajili. Leseni zilizopatikana kwa njia ya sihia ziambatishwe na hati halisi ya sihia (transfer certificate); c. Wamiliki wa leseni za madaraja C na D watahudumiwa kupitia ofisi za madini za mikoani (ZMO/RMO) zinazohusika na usimamizi wa leseni husika. Maombi ya usajili yaambatane na leseni halisi pamoja na stakabadhi za malipo ya ada kutokea leseni husika ilipohuishwa kwa mara ya mwisho hadi wakati wa kuomba usajili. Leseni zilizopatikana kwa njia ya sihia ziambatishwe na hati halisi ya sihia; na d. Wamiliki wa leseni watakaotuma mawakala kwa ajili ya kujisajili na mfumo wa OTMCP, ni lazima wawape mawakala husika nguvu za uwakili (Power of Attorney) za kuwaruhusu mawakala husika kushughulikia leseni. Hati halisi ya Nguvu za Uwakili ziwasilishwe pamoja na fomu ya kuomba kujisajili kwenye mfumo wa OMCTP. e. Wadau wengine ambao hawamiliki leseni, na wangependa kusajiliwa, wawasilishe fomu a usajili pamoja na hati za utambulisho katika Ofisi ya Wizara au Katika ofisi za Madini za Kanda au Ofisi za Madini za Wakazi Uhakiki wa Taarifa Katika Ofisi ya Madini Mwombaji anapaswa kushiriki katika uhakiki wa taarifa za leseni zilizowasilishwa pamoja na maombi ya usajili kama ifuatayo:- a. Afisa wa leseni atakuwa na muhtasari wa taarifa za leseni husika kutoka kwenye masjala ya leseni (MCIMS) utakaoonesha wamiliki wa leseni, malipo ya ada, taarifa zilizopokelewa, nk ili kuoanisha na taarifa zilizowasilishwa na mwombaji; b. Afisa wa leseni atahakiki taarifa za leseni husika na kuhuisha taarifa ambazo zinahitajika ikiwa ni pamoja na taarifa za malipo ya ada; c. Pindi taarifa za leseni zote za mwombaji zitakapohuishwa kwenye masjala ya mfumo wa MCIMS, ombi husika la usajili litashughulikiwa. Aidha, mwombaji husika atajulishwa kama kuna mapungufu katika taarifa alizowasilisha na kutakiwa awasilishe upya; Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, akiongea na baadhi ya washiriki wa kikao kazi kilichojadili namna Sekta Binafsi, Taasisi za Kifedha na Washirika wa Maendeleo wanavyoweza kushirikiana na REA ili kuongeza kasi ya kuviunganisha vijiji na umeme Kusajiliwa kwenye Mfumo wa OMCTP a. Afisa wa Leseni atamsajili mmiliki wa leseni kuwa mtumiaji wa OTMCP baada ya kupokea ombi la usajili na kufanya uhakiki wa taarifa za leseni za mmiliki Mwombaji; b. Mwombaji aliyekamilisha usajili kwenye mfumo wa OMCTP atapokea ujumbe wa barua pepe au ujumbe mfupi wa simu (SMS) kuthibitisha usajili wake; na c. Kabla ya kuanza kutumia huduma ya leseni kupitia mfumo wa OMCTP, msajiliwa atatakiwa kubadilisha namba yake ya siri (password). Huduma ya Usajili wa OMCTP inatolewa katika ofisi ya makao makuu ya wizara na kwenye ofisi 21 za mikoani (RMO na ZMO). Aidha, ofisi mpya nne zitaanza kutoa huduma hiyo katika kipindi cha miaka miwili ijayo.

10 Habari za nishati/madini 10 Bulletin Utafutaji na Uendelezaji wa Sekta Ndogo ya Mafuta na Gesi Asilia Nchini Mikataba ya Utafutaji Mafuta na Gesi Asilia:Katika kipindi cha 2005 Juni 2015, Serikali ilielekeza juhudi za utafutaji mafuta na gesi asilia kwa kuvutia wawekezaji katika kina kirefu baharini na mabonde ya ufa. Kwa mara ya kwanza Serikali ilitoa leseni za utafutaji mafuta na gesi katika mabonde ya Ziwa Tanganyika kusini, Malagarasi, Kilosa- Kilombero, Pangani, Ruhuhu, Kyela na Tanga. Katika kipindi hicho, Serikali ilisaini mikataba 26 ya uzalishaji na ugawanaji wa mapato (Production Sharing Agreements - PSAs). Idadi hiyo ni kubwa ikilinganishwa na mikataba 13 iliyosainiwa kati ya Mwaka 1952 hadi Idadi hiyo ni asilimia 65 ya mikataba yote 37 iliyosainiwa tangu kuanza shughuli za utafutaji wa mafuta nchini Mwaka (i) Ukusanyaji wa Takwimu za Miamba Mitetemo (Seismic):Katika kipindi cha Mwaka 2005 hadi 2015 TPDC ikishirikiana na kampuni za utafutaji mafuta ilifanikiwa kukusanya takwimu za mitetemo (2D seismic) za jumla ya kilomita 54,978 na kilomita za mraba 34,486 za 3D seismic. Takwimu hizo zimeweza kuvutia wawekezaji kwa wingi na kuongeza kasi ya utafutaji wa mafuta nchini. (ii) Uchorongaji Visima vya Utafutaji Mafuta:Katika kipindi cha Mwaka 2005 hadi Juni, 2015 idadi ya visima vilivyochorongwa vilikuwa 45 ambavyo ni sawa asilimia 56 ya visima vyote 90 vilivyochorongwa nchini hadi sasa. Kati ya hivyo, visima 35 viligundulika kuwa na gesi. Idadi hii ni kubwa kwa kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya utafutaji wa mafuta na gesi hapa nchini. Wastani wa uchimbaji visima kati ya Mwaka 1952 na Taarifa ya Mafanikio Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Mwaka 2004 ulikuwa chini ya kisima kimoja (1) kwa mwaka. Wastani huo kwa kipindi cha Mwaka 2005 na Mwaka 2014 ulifikia visima 5 kwa mwaka. (iii) Ugunduzi wa Gesi Asilia:Katika kipindi cha Mwaka 2005 hadi 2015, Serikali imepata mafanikio makubwa ambapo gesi asilia iligunduliwa nchi kavu katika maeneo ya Mkuranga Mwaka 2007, Nyuni Mwaka 2008 na Ntorya Mwaka Aidha, ugunduzi wa kwanza wa gesi katika kina kirefu baharini ulifanyika Mwaka 2010 katika kitalu namba 4 (Kisima cha Pweza -1). Kisima hicho kilichochea juhudi za Serikali ya Awamu ya Nne katika utafutaji wa mafuta na gesi baharini ambapo hadi June, 2015 visima 34 vilichorongwa. Hadi kufikia Septemba, 2005 gesi asilia iliyogunduliwa nchini ilikuwa ni futi za ujazo trilioni (TCF) 8. Katika kipindi cha Mwaka 2005 hadi 2015, hazina ya gesi asilia iliongezeka hadi kufikia futi za ujazo trilioni Ongezeko hili ni sawa na asilimia ya hazina iliyokuwepo Mwaka (iv) Uboreshaji wa Mikataba Kifani (Model Production Sharing Agreements - MPSAs): Serikali iliboresha Mikataba Kifani (MPSAs) ili kuhakikisha kuwa mikataba hiyo inawiana na vivutio vya utafutaji mafuta na gesi nchini, mwenendo wa upatikanaji mitaji ya utafutaji mafuta na gesi duniani na pia inawezesha Taifa kupata pato stahiki. MPSA ya Mwaka 2004 iliboreshwa na kupata MPSA ya Mwaka 2008 ambayo pia iliboreshwa na kupata MPSA ya Mwaka MPSA hiyo ndiyo inatumika kuingia mikataba ya utafutaji, uzalishaji na ugawanaji mapato. (v) Kufanyika kwa Duru ya Nne ya Kunadi Vitalu vya Utafutaji wa Mafuta na Gesi katika Kina Kirefu cha Maji Nchini:Uzinduzi wa Duru ya Nne ya kuitisha zabuni za utafutaji mafuta (Fourth Petroleum Licensing Round) kwenye vitalu saba (7) katika Bahari Kuu na kimoja (1) kwenye Ziwa Tanganyika Kaskazini ulifanyika hapa nchini Mwezi Oktoba, Katika uzinduzi huo Mkataba Kifani 2013 ulitumika. Uzinduzi ulifanywa rasmi na Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Duru hii ya nne ilikuwa ni duru ya kwanza kufanyika nchini baada ya duru nyingine tatu kufanyika nje ya nchi. Kufanyika kwa duru hii hapa nchini kumetoa fursa kwa Watanzania kuongeza uelewa na kubainisha maeneo mbalimbali wanayoweza kushiriki katika Sekta Ndogo ya Mafuta na Gesi Asilia. (vi) Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Gesi Asilia: Mwezi Septemba, 2011 Serikali kupitia TPDC ilisaini Mkataba wa Usanifu, Ununuzi na Ujenzi yaani Engineering, Procurement and Construction (EPC) na China Petroleum Technology and Development Corporation (CPTDC) kwa ajili ya ujenzi wa bomba na mitambo ya kusafisha na kusafirisha gesi asilia. Mwezi Juni, 2012 Serikali ilisaini makubaliano ya mkopo nafuu na Benki ya Exim ya China kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa mitambo ya kusafisha gesi asilia na bomba la kusafirisha gesi asilia kutoka Mnazi Bay - Mtwara na Songo Songo Kisiwani (Lindi) hadi Dar es Salaam lenye urefu wa kilomita 542. Gharama za mradi huo ni Dola za Marekani milioni 1,225.3, sawa na Shilingi trilioni Ujenzi wa Bomba hilo umekamilika kwa asilimia 100. Hadi sasa ujenzi wa nyumba za wafanyakazi katika eneo la Songo Songo Mkoani Lindi na MadimbaMkoani Mtwara umekamilika kwa asilimia 100; Mitambo ya kuchakata gesi iliyoko Madimba na SongoSongo hadi July, 2015 imekamilika kwa asilimia 98. (vii) Ukamilishaji wa Visima vya Uzalishaji na Ujenzi wa Miundombinu na Matumizi ya Gesi Mnazi Bay:visima vinne vya uzalishaji gesi asilia vilivyopo Mnazi Bay Mtwara vilikamilishwa kati ya Mwaka 2006 na Pia, ujenzi wa mitambo ya kusafisha gesi asilia yenye uwezo wa kusafisha hadi futi za ujazo milioni 10 kwa siku (10 mmscfd) ulikamilishwa. Bomba lenye urefu wa kilometa 27 na uwezo wa kusafirisha gesi hadi futi za ujazo milioni 70 kwa siku (70 mmscfd) kutoka Mnazi Bay hadi Mtwara Mjini lilikamilika. Mtambo wa kufua umeme ulisimikwa Mtwara Mjini na ufuaji umeme kwa kutumia gesi ya Mnazi Bay ulianza Mwaka Vilevile, miundombinu ya kusafirishia umeme kutoka Mtwara kwenda miji ya Lindi na Masasi ilikamilika. Kupitia Mradi huo Miji ya Mtwara, Lindi na Masasi inapata umeme wa uhakika tangu Mwaka 2006 mradi huo ulipoanza, ambapo matumizi ya gesi kwa siku ni futi za ujazo milioni mbili (2 mmscfd). (viii) Matumizi ya Gesi Asilia Viwandani, Majumbani na kwenye Magari: Miradi mbalimbali ilitekelezwa ili kuhakikisha kuwa gesi asilia inawafikia watumiaji wadogo wa viwandani, majumbani, kwenye taasisi na watumiaji wa magari katika Jiji la Dar es Salaam. Kabla ya Mwaka 2005 kulikua na viwanda viwili (2) tu vilivyokuwa vinavyotumia gesi asilia. Kati ya Mwaka 2005 na Juni, 2015 viwanda 38, nyumba 70, Gereza la Keko, hoteli kubwa moja (Serena) viliunganishwa kutumia gesi na magari 60 yaliwekewa mifumo ya kutumia gesi asilia. Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 6 20 th February, 2015 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No.8 Vol.96 dated 20 th February, 2015 Printed by the Government

More information

THE OIL AND GAS REVENUES MANAGEMENT ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS PART II ADMINISTRATIVE PROVISIONS

THE OIL AND GAS REVENUES MANAGEMENT ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS PART II ADMINISTRATIVE PROVISIONS ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 10 29 th May, 2015 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No. 22 Vol. 96 dated 29 th May, 2015 Printed by the Government Printer,

More information

Contents Page. 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement

Contents Page. 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement Contents Page 01 HIGHLIGHTS 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement 02 BUSINESS REVIEW 14. The Value We Have Created 15-16. What We Do 17. How We Are Managed 20-21. Who

More information

Annual Report and Financial Statements

Annual Report and Financial Statements 2013 Annual Report and Financial Statements 2 2013 Annual Report and Financial Statements Our Vision To be a dynamic company committed to exceeding customer expectation and increasing our market share

More information

Contents. CORE VALUES Integrity Professionalism Team Spirit Safety Culture. Company Information 2 Message from the Chairman 4

Contents. CORE VALUES Integrity Professionalism Team Spirit Safety Culture. Company Information 2 Message from the Chairman 4 A N N U A L R E P O RT & F I N A N C I A L S TAT E M E N T S Financial year ended 30 June 2010 Contents Company Information 2 Message from the Chairman 4 VISION To be the market leader in the provision

More information

TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT

TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT Tanzania Coffee Board is a government body established by the Tanzania Coffee Industry Act No. 23 of 2001. Its main function is to regulate the coffee industry

More information

OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region

OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region 1 OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region A MANUAL FOR PRACTITIONERS Second edition January 2006 Contacts The Regional CHF Competence Center (RCCC),

More information

Annual Report Report and and Financial Statements

Annual Report Report and and Financial Statements Annual Report Report and and Financial Statements For For the the Year Year ended ended 31 31 March March 2014 2014 Dreams into into reality KQ Annual Report & Financial Statements 2014 1 Performance Highlights

More information

Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14

Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14 Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14 Africa s Foremost Investment Channel At Centum, we focus on sustainable wealth creation, leveraging on teamwork and the expertise

More information

THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006

THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006 THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006 ARRANGEMENT OF SECTIONS Section Title PART I PRELIMINARY PROVISIONS 1. Short title and Commencement 2. Application. 3. Interpretation. PART II THE FINANCIAL INTELLIGENCE

More information

Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled

Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled Mohamed Salum Msoroka Faculty of Education School of Educational Leadership & Policy The University of Waikato Contact Address:

More information

TUNGO ZA KUJIBIZANA: "KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANA"t

TUNGO ZA KUJIBIZANA: KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANAt AAP 47 (1996) 1-10 TUNGO ZA KUJIBIZANA: "KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANA"t RIDDER SAMSOM Different labels have been used for marking the reciprocity in Swahili dialogue poetry, varying between the more

More information

DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION. A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY

DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION. A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY JANUARY 2015 TABLE OF CONTENTS 1 BACKGROUND... 1 2 THE ROLE OF THE EMPLOYER...

More information

Lesson 56: Business: [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] Business: Shopping, Buying and Selling. A). Business Vocabulary.

Lesson 56: Business: [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] Business: Shopping, Buying and Selling. A). Business Vocabulary. Lesson 56: Business: Shopping, Buying and Selling Business: Shopping, Buying and Selling [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] A). Business Vocabulary akaunti akiba bei ghali rahisi bei ghali bei

More information

TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI

TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI This booklet, which summarizes key findings on HIV/AIDS, is based on surveys and other studies conducted over the past decade in Tanzania. Major data sources include

More information

ANNUAL REPORT 2015 THE TASKS OF TBL INTRODUCING

ANNUAL REPORT 2015 THE TASKS OF TBL INTRODUCING THE HOME OF FINE BEERS ANNUAL REPORT 2015 INTRODUCING THE TASKS OF TBL PROUDLY TANZANIAN SINCE 1933 A subsidiary of SABMiller plc To Be a Good Corporate Citizen To Invest in Our Country To Invest in Our

More information

CONTENTS. Financial Section. Sehemu ya Kiswahili. Statutory Information

CONTENTS. Financial Section. Sehemu ya Kiswahili. Statutory Information CONTENTS Financial Highlights 3 Chairman s Statement 4-5 Production 6-8 Brands 10-12 Human Resource 13 Enriching Communities 14-15 Sehemu ya Kiswahili Taarifa ya Mwenyekiti 16-17 Utaoji 18-20 Aina za Bidhaa

More information

ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85

ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85 AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85 ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER Summary This study elaborates how Kezilahabi depicts elements of Roman Catholic faith in his

More information

HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA

HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA Kimetayarishwa kwa Ushirikiano Kati ya: TUME YA MIPANGO DAR ES SALAAM na OFISI YA MKUU WA MKOA DODOMA YALIYOMO Ukurasa

More information

LEARNING HOW TO TEACH

LEARNING HOW TO TEACH Education International Internationale de l Education Internacional de la Educación Bildungsinternationale LEARNING HOW TO TEACH The upgrading of unqualified primary teachers in sub-saharan Africa Lessons

More information

CUF. Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi

CUF. Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi CUF Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) Yaliyomo 1. Utangulizi wa Prof Ibrahim Lipumba... 7 2. Misingi mikuu ya uongozi wa nchi...

More information

Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(3): 333 344 (2007) Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT The promotion of terminology

More information

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI

More information

Mheshimiwa Mwenyekiti na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba,

Mheshimiwa Mwenyekiti na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, MHE. JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA, AKIWASILISHA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA, MACHI 2014 UTANGULIZI

More information

MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS*

MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS* AAP 47 (1996). 139-148 MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS* ELENA BER TONCINI-ZUBKOV A La seule piece theiitrale de Kezilahabi, "Les shorts de Marx",

More information

Creation of a Speech to Text System for Kiswahili

Creation of a Speech to Text System for Kiswahili Creation of a Speech to Text System for Kiswahili Dr. Katherine Getao and Evans Miriti University of Nairobi Abstract The creation of a speech to text system for any language is an onerous task. This is

More information

Promoting Regional Trade to Enhance Food Security

Promoting Regional Trade to Enhance Food Security SLE Publication Series S239 Centre for Advanced Training in Rural Development (SLE) International Institute of Tropical Agriculture (IITA) on behalf of Deutsche Gesellschaft für Technische Zusammenarbeit

More information

EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI

EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI SWAHILI FORUM 15 (2008): 51-61 EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI TIINA SAKKOS Makala hii inachambua riwaya ya pili ya mwandishi maarufu wa Kiswahili, Euphrase Kezilahabi (*1944)

More information

KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII

KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII SWAHILI FORUM 18 (2011): 198-210 KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII ALDIN MUTEMBEI Utangulizi Mojawapo ya matokeo ya utandawazi ni kuwapo kwa simu za kiganjani

More information

Yaliyomo. II. Dodoso la Kilimo... 62

Yaliyomo. II. Dodoso la Kilimo... 62 OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU Mwongozo wa Mdadisi Utafiti wa Kufuatilia Kaya Tanzania (NPS 2010-11) 2010-2011 0 [JAMHURI YA MUUNGA N O W A TANZA N I A] Yaliyomo Comment [SP1]: Be sure to update the table of

More information

TRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI

TRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI TANZANIA COUNTRY OFFICE TRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI August 2009 University of Dar es Salaam Entrepreneurship Centre (UDEC) P. O. Box 110099,

More information

TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA

TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA (TACAIDS) TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA OKTOBA, 2007 ISBN 978-9987-519-18-7 i ii Yaliyomo Ufafanuzi wa Majedwali Vifupisho Shukrani Muhtasari

More information

815 SWA. Health undertaking Kuwajibika Kiafya. Tafadhali weka kurasa hii ya maelezo kama kumbukumbu yako

815 SWA. Health undertaking Kuwajibika Kiafya. Tafadhali weka kurasa hii ya maelezo kama kumbukumbu yako Health undertaking Kuwajibika Kiafya Form 815 SWA SWAHILI Muhimu Tafadhali soma maelezo haya kwa uangalifu kabla ya kukamilisha wajibu wako. Mara tu unapokamilisha wajibu wako tunashauri kwa nguvu kuwa

More information

CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION

CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION Curriculum Innovation in Teacher Education Exploring Conceptions among Tanzanian Teacher Educators Wilberforce E. Meena ÅBO 2009 ÅBO AKADEMIS FÖRLAG ÅBO AKADEMI

More information

Lesson 14a: Numbers and Counting

Lesson 14a: Numbers and Counting Lesson 14a: Numbers and Counting Numbers and Counting [nambari na hesabu] A). Numbers B). The order in which the numbers are stated C). How numbers and noun class [ngeli] go together D). Questions with

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL ON 2 1 ST JULY 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS SABOTI

More information

Language Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania

Language Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania US-China Foreign Language, ISSN 1539-8080 June 2013, Vol. 11, No. 6, 447-460 D DAVID PUBLISHING Language Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania Josephine Dzahene-Quarshie University of Ghana,

More information

DR. HAMISI O. BABUSA (PHD)

DR. HAMISI O. BABUSA (PHD) DR. HAMISI O. BABUSA (PHD) School of Education Department of Educational Communication and Technology Kenyatta University P.O. Box 43844 Nairobi 00100 Kenya Mobile: +254 700 754 080 Email: hobabusa@gmail.com

More information

ACADRI 2015 TRAINING PROGRAMMES

ACADRI 2015 TRAINING PROGRAMMES No. COURSE TITLE DATES VENUES SECRETARIAL AND GENERAL ADMINISTRATION 1. SKILLS ENHANCEMENT PROGRAMME FOR EXECUTIVE SECRETARIES AND ADMINISTRATIVE/ PERSONAL ASSISTANTS Jan 12 30, 2015 (3 wks) May 11 29,

More information

Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates

Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates Programu ya Teknolojia Inayofaa kwenye Afya (PATH) inatoa masuluhisho endelevu, yanayofaa kiutamaduni na ambayo inawezesha jamii

More information

TANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY

TANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY TANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY AUGUST 2010 1.0 INTRODUCTION This is a report on a Paralegal baseline survey conducted in all regions of Tanzania mainland. The baseline survey was commissioned to Tanganyika

More information

MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST SERIES 1 MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their

More information

ARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011

ARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011 ARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011 Editorial Welcome to the first Issue of the third volume of Arms Control: Africa, which is published by the Arms Management Programme (AMP) of the Institute for Security

More information

Ambassador s Community Grants Fund for HIV/AIDS Relief

Ambassador s Community Grants Fund for HIV/AIDS Relief Ambassador s Community Grants Fund for HIV/AIDS Relief Each year, the United States Ambassador s Community Grants Fund in Tanzania will award HIV/AIDS-focused grants, ranging from $5,000 to $30,000, to

More information

Integrated Logistics System (ILS) Procedures Manual

Integrated Logistics System (ILS) Procedures Manual THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE (ILS) Procedures Manual Roll-Out Version September 2008 ACRONYMS Term English Swahili ARV Anti-Retroviral (drug) Dawa ya kupunguza

More information

Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua

Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua Orodha ya kukagua matayarisho: Soma hadithi yote mapema pamoja na maelezo ya hadithi na maswali ya kukukumbusha. Tayarisha

More information

The United Republic of Tanzania

The United Republic of Tanzania The United Republic of Tanzania Health Services Inspectorate Unit Ministry of Health and Social Welfare Implementation Guideline for 5S-CQI-TQM Approaches in Tanzania Foundation of all Quality Improvement

More information

LUGHA YA MITAANI IN TANZANIA THE POETICS AND SOCIOLOGY OF A YOUNG URBAN STYLE OF SPEAKING

LUGHA YA MITAANI IN TANZANIA THE POETICS AND SOCIOLOGY OF A YOUNG URBAN STYLE OF SPEAKING SWAHILI FORUM 13 Edited by: Rose Marie Beck, Lutz Diegner, Clarissa Dittemer, Thomas Geider, Uta Reuster-Jahn SPECIAL ISSUE LUGHA YA MITAANI IN TANZANIA THE POETICS AND SOCIOLOGY OF A YOUNG URBAN STYLE

More information

TEGENI MASIKIO: COMPOSING EAST AFRICAN REALITIES THROUGH YOUNG EYES

TEGENI MASIKIO: COMPOSING EAST AFRICAN REALITIES THROUGH YOUNG EYES SWAHILI FORUM 19 (2012): 45-59 TEGENI MASIKIO: COMPOSING EAST AFRICAN REALITIES THROUGH YOUNG EYES AARON LOUIS ROSENBERG At times creative writing has been employed by Tanzanians in order to demonstrate

More information

KISWAHILI Pam Inoti - pamby22@gmail.com

KISWAHILI Pam Inoti - pamby22@gmail.com KISWAHILI Pam Inoti - pamby22@gmail.com Kiswahili is a national and official language in Kenya, Tanzania and Uganda. It is also spoken in Rwanda, Burundi, Congo (DRC), Somalia, Comoros Islands (including

More information

]\ 1 PUBLIC NOTICE. (Issued under section 7 of the EWURA Act, Cap. 414 and Section 7 of the Petroleum Act, No 4 of 2008)

]\ 1 PUBLIC NOTICE. (Issued under section 7 of the EWURA Act, Cap. 414 and Section 7 of the Petroleum Act, No 4 of 2008) ]\ 1 PUBLIC NOTICE (Issued under section 7 of the EWURA Act, Cap. 414 and Section 7 of the Petroleum Act, No 4 of 2008) The Energy and Water Utilities Regulatory Authority wishes to notify Petroleum Retail

More information

Ni Wakati Wa Kuamka! Ellis P. Forsman. Ni Wakati Wa Kuamka (It's Time To Wake Up) 1

Ni Wakati Wa Kuamka! Ellis P. Forsman. Ni Wakati Wa Kuamka (It's Time To Wake Up) 1 Ni Wakati Wa Kuamka! na Ellis P. Forsman Ni Wakati Wa Kuamka (It's Time To Wake Up) 1 Ni Wakati Wa Kuamka! na Ellis P. Forsman Oktoba 12, 2011 Ni Wakati Wa Kuamka (It's Time To Wake Up) 2 Ni Wakati Wa

More information

KANISA LINAHITAJI KUJUA

KANISA LINAHITAJI KUJUA Miki Hardy KANISA LINAHITAJI KUJUA Umefika wakati tuyazungumzie mambo kadhaa ya msingi waziwazi ili Wakristo watambue ya kwamba Bwana ana mambo mazuri zaidi kwa ajili yao! Hakimiliki 2013 na Church Team

More information

Ndugu na dada zangu. Mbio za Maisha

Ndugu na dada zangu. Mbio za Maisha UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Mbio za Maisha Sisi tulitoka wapi? Kwa nini tuko hapa? Tutaenda wapi baada ya maisha haya? Haya maswali ya kawaida hayafai kubaki bila kujibiwa.

More information

A SHABA SWAHILI LIFE HISTORY: TEXT AND TRANSLATION

A SHABA SWAHILI LIFE HISTORY: TEXT AND TRANSLATION AAP 42 (1995). 73-103 A SHABA SWAHILI LIFE HISTORY: TEXT AND TRANSLATION JAN BLOMMAERT Intruduction This paper presents an edited version of a handwritten text in Shaba Swahili and French, accompanied

More information

Je! Mungu Habadilisha Nia Yake Kuhusu Neno Lake?

Je! Mungu Habadilisha Nia Yake Kuhusu Neno Lake? JE! MUNGU HABADILISHA NIA YAKE KUHUSU NENO LAKE? 1 Je! Mungu Habadilisha Nia Yake Kuhusu Neno Lake? ` Na tuinamishe vichwa vyetu. Bwana Yesu mpenzi, tumekusanyika tena katika Jina Lako, tukiwa na matumaini

More information

Establishment of REA/REF and Available Financing Opportunities for Rural Energy Projects Paper Presented on:

Establishment of REA/REF and Available Financing Opportunities for Rural Energy Projects Paper Presented on: RURAL ENERGY AGENCY (REA) Establishment of REA/REF and Available Financing Opportunities for Rural Energy Projects Paper Presented on: Workshop on Sustainable Access to Sustainable Energy Uhuru Hostel,

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, NAMBALE CONSTITUENCY, HELD AT MATAYOS LWANYA GIRLS SEC. SCHOOL ON 29 TH JULY 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,

More information

Vidunda (G38) as an Endangered Language?

Vidunda (G38) as an Endangered Language? Vidunda (G38) as an Endangered Language? Karsten Legère University of Gothenburg 1. The position of Swahili and other Tanzanian languages Tanzania is a multi-ethnic and, as a consequence, multi-lingual

More information

P.O. Box 4374 DAR ES SALAAM TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 E-mail:itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com

P.O. Box 4374 DAR ES SALAAM TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 E-mail:itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com S/N NAME OF LICENSEE ADDRESS 1. Radio One P.O. Box 4374 TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com AUTHORIZED SERVICE AREA AND LOCATION OF BASE STATION ( Dar es AUTHORIZED

More information

ORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI

ORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI ORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI S/N0. JINA /TAASISI/KAMPUNI SIMU 1. Director General +255 22 2123583-4 TASAF 2. Director General, +255 22 2126516 WAMA 3. The Chairman, +255 22 2122651 TACAIDS 4. Executive

More information

Tuko Pamoja. Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum

Tuko Pamoja. Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Tuko Pamoja Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Tuko Pamoja Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Acknowledgements This second edition of the Kenya Adolescent

More information

Tanzanian Oil & Gas Sector: Risks Beyond 2014

Tanzanian Oil & Gas Sector: Risks Beyond 2014 Tanzanian Oil & Gas Sector: Risks Beyond 2014 The Tanzanian government hopes the oil and gas sector will spur foreign direct investment and strengthen economic growth. The World Bank estimates total investments

More information

The mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania

The mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania The mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania Eli Fjeld Falnes Dissertation for the degree philosophiae doctor

More information

MORE SWAHILI PROVERBS FROM EAST AFRICA METHALI ZAIDI ZA KISWAHILI TOKA AFRIKA MASHARIKI. L. Kalugila. A. Y. Lodhi

MORE SWAHILI PROVERBS FROM EAST AFRICA METHALI ZAIDI ZA KISWAHILI TOKA AFRIKA MASHARIKI. L. Kalugila. A. Y. Lodhi MORE SWAHILI PROVERBS FROM EAST AFRICA METHALI ZAIDI ZA KISWAHILI TOKA AFRIKA MASHARIKI L. Kalugila A. Y. Lodhi Scandinavian Institute of African Studies, Uppsala 1980 MORE SWAHILI PROVERBS FROM EAST AFRICA

More information

MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture

MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture PROSPECTUS 0 ABBREVIATIONS AND ACRONYMS ACC ADB ADCA ADCM AMU BA-AF BA-BEC

More information

Lesson 24: Adjectives

Lesson 24: Adjectives Lesson 24: Adjectives Adjectives [vivumishi vya sifa] Adjectives are formed by attaching the noun class marker to an adjectival stem. Adjectives have various properties: Word origin (e.g. Bantu, Arabic)

More information

Aga Khan University College Tanzania. Catholic University of Health and AlliedSciences (Bugando) Dar es Salaam Institute of Technology

Aga Khan University College Tanzania. Catholic University of Health and AlliedSciences (Bugando) Dar es Salaam Institute of Technology WAOMBAJI WALIOTEULIWA KUPATIWA MIKOPO KUPITIA BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU ZANZIBAR NGAZI YA SHAHADA YA UZAMILI (MASTER DEGREE) KWA MWAKA WA MASOMO 2014-2015 s/n Name Gender Zan ID Index No Course Applied

More information

MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING

MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION CURRICULUM FOR CERTIFICATE IN TEACHER EDUCATION PROGRAMMES IN TANZANIA MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING TANZANIA

More information

Celebration of the French «Bastille Day» Remarks by Ambassador Elisabeth Barbier 14th July 2010

Celebration of the French «Bastille Day» Remarks by Ambassador Elisabeth Barbier 14th July 2010 Celebration of the French «Bastille Day» Remarks by Ambassador Elisabeth Barbier 14th July 2010 Honorable Ministers, Dear colleagues, compatriots and friends, Mabibi na Mabwana, First of all, let me, together

More information

TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED. [Insert Lo

TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED. [Insert Lo [Insert Lo EXPRESSION OF INTEREST UNDER TENDER NO. PA/001/14/HQ/C/001 FOR PROVISIONOF CONSULTANCY SERVICES FOR CONCEPTUAL DESIGN, SELECTION OF CONTRACTOR AND SUPERVISION ON CONSTRUCTION OF REGIONAL OFFICE

More information

What Children & Young People are Saying about Poverty in Tanzania 0

What Children & Young People are Saying about Poverty in Tanzania 0 CHILDREN & POVERTY What Children & Young People are Saying about Poverty in Tanzania An Overview Report on issues in Tanzania June 2004 Secretariat Tanzania Movement for and with Children P. O. Box 21159,

More information

Ministry of Agriculture Food Security and Cooperatives

Ministry of Agriculture Food Security and Cooperatives Ministry of Agriculture Food Security and Cooperatives FAO-University of Nairobi -Regional Workshop on an Integrated Policy Approach to Commercializing Smallholder Maiza Production at Norfolk Hotel in

More information

TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA. Kitabu Namba 5

TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA. Kitabu Namba 5 1 TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA Kitabu Namba 5 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania W izara ya Kilimo na Chakula 1 2 Mfululizo wa vitabu hivi:

More information

THE OIL & GAS YEAR. The Who s Who of the Global Energy Industry. Great expectations Sospeter MUHONGO Minister of Energy and Minerals

THE OIL & GAS YEAR. The Who s Who of the Global Energy Industry. Great expectations Sospeter MUHONGO Minister of Energy and Minerals THE OIL & GAS YEAR The Who s Who of the Global Energy Industry ARTICLES INTERVIEWS VIEWPOINTS MARKET ANALYSIS RESOURCES PROJECTS MAPS INVESTOR SPOTLIGHTS TANZANIA 2014 www.theoilandgasyear.com Great expectations

More information

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA THE NATIONAL NATURAL GAS POLICY OF TANZANIA - 2013

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA THE NATIONAL NATURAL GAS POLICY OF TANZANIA - 2013 UNITED REPUBLIC OF TANZANIA THE NATIONAL NATURAL GAS POLICY OF TANZANIA - 2013 Dar es Salaam October, 2013 TABLE OF CONTENTS TABLE OF CONTENTS... I ABBREVIATIONS AND ACRONOMS...III DEFINITIONS OF TERMS...

More information

TANZANIA. Transport Sector Review

TANZANIA. Transport Sector Review TANZANIA Transport Sector Review Acknowledgement This Review was undertaken by the African Development Bank (AfDB) as part of its economic and sector work program in Tanzania. The country s needs for transport

More information

1. TASAF operations steadily approaching set targets

1. TASAF operations steadily approaching set targets 1. TASAF operations steadily approaching set targets The implementation support mission by the World Bank team to TASAF which took place from March 23 rd to April 04 th concluded that TASAF II implementation

More information

Sda Church Nyimbo Za Kristo

Sda Church Nyimbo Za Kristo Sda Nyimbo Za Kristo Free PDF ebook Download: Sda Nyimbo Za Kristo Download or Read Online ebook sda church nyimbo za kristo in PDF Format From The Best User Guide Database Apr 27, 2011 - Saturday. EAT

More information

Proposed Acquisition of Licence Interests in Tanzania - Heads of Terms Signed. Kiliwani North Development Licence and Ruvuma PSA, Tanzania

Proposed Acquisition of Licence Interests in Tanzania - Heads of Terms Signed. Kiliwani North Development Licence and Ruvuma PSA, Tanzania 19 November 2015 Bowleven plc ( Bowleven or the Company ) Proposed Acquisition of Licence Interests in Tanzania - Heads of Terms Signed Kiliwani North Development Licence and Ruvuma PSA, Tanzania Bowleven,

More information

Tanzania. Rex Attorneys. Introduction

Tanzania. Rex Attorneys. Introduction Rex Attorneys Introduction Key legislation and regulatory structure s upstream oil and gas sector is currently enjoying a boom experienced elsewhere in East Africa following major discoveries of natural

More information

Teach Yourself Swahili

Teach Yourself Swahili Teach Yourself Swahili Hassan O. Ali & Ali M. Mazrui August 3, 2004 Contents ABOUT THIS COURSE... 1 ABOUT SWAHILI... 1 LESSON 1: ALPHABET... 3 LESSON 2: PRONUNCIATION GUIDE... 3 VOWELS... 3 SYLLABLES...

More information

FINANCIAL AND OPERATING HIGHLIGHTS

FINANCIAL AND OPERATING HIGHLIGHTS Orca Exploration Group Inc. PO Box 3152 Road Town Tortola British Virgin Islands FOR IMMEDIATE RELEASE 30 April 2007 Orca Exploration (formerly EastCoast Energy Corporation) announces its results for the

More information

Mwalimu Nyerere Engages His People: Scripture Translation in Swahili Verse

Mwalimu Nyerere Engages His People: Scripture Translation in Swahili Verse Journal of Translation, Volume 3, Number 1 (2007) 41 Mwalimu Nyerere Engages His People: Scripture Translation in Swahili Verse Phil Noss and Peter Renju 1 Phil Noss was the UBS Translation Services Coordinator

More information

Ministry of Health and Social Welfare Health Quality Assurance Division. Implementation Guidelines for 5S-KAIZEN-TQM Approaches in Tanzania

Ministry of Health and Social Welfare Health Quality Assurance Division. Implementation Guidelines for 5S-KAIZEN-TQM Approaches in Tanzania The United Republic of Tanzania Ministry of Health and Social Welfare Health Quality Assurance Division Implementation Guidelines for 5S-KAIZEN-TQM Approaches in Tanzania Foundation of all Quality Improvement

More information

The linguistic situation in Tanzania

The linguistic situation in Tanzania The linguistic situation in Tanzania MALIN PETZELL University of Gothenburg 1. Introduction This paper describes the linguistic situation in Tanzania. The country is characterized by triglossia, where

More information

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE) NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE) REGISTERED TECHNICAL INSTITUTIONS BY OWNERSHIP PER SUBJECT BOARD AS AT JANUARY 2012 Agriculture, Natural Resources and Environment (ANE) Board S/N Institution

More information

Strengthening data management and use in decision making to improve health care services: Lessons learnt

Strengthening data management and use in decision making to improve health care services: Lessons learnt DISSEMINATION WORKSHOP REPORT Strengthening data management and use in decision making to improve health care services: Lessons learnt SEPTEMBER 2014 This technical report was prepared by University Research

More information

TANZANIA LINKING SAVINGS GROUPS TO MOBILE BANKING

TANZANIA LINKING SAVINGS GROUPS TO MOBILE BANKING TANZANIA LINKING SAVINGS GROUPS TO MOBILE BANKING September 211 I Access Africa Technical Learning Series : No. 2 Tanzania Bukoba Musoma Tarime Buhemba Mwanza Kibondo Geita Nzega Ngudu Shinyanga Mbulu

More information

INITIAL BEHAVIOR CHANGE COMMUNICATION (BCC) INTERVENTIONS EFFECTIVENESS EVALUATION REPORT

INITIAL BEHAVIOR CHANGE COMMUNICATION (BCC) INTERVENTIONS EFFECTIVENESS EVALUATION REPORT INITIAL BEHAVIOR CHANGE COMMUNICATION (BCC) INTERVENTIONS EFFECTIVENESS EVALUATION REPORT NAFAKA PROJECT November 5, 2013 This publication was produced for review by the United States Agency for International

More information

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DRAFT ONE LOCAL CONTENT POLICY OF TANZANIA FOR OIL AND GAS INDUSTRY - 2014

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DRAFT ONE LOCAL CONTENT POLICY OF TANZANIA FOR OIL AND GAS INDUSTRY - 2014 UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DRAFT ONE LOCAL CONTENT POLICY OF TANZANIA FOR OIL AND GAS INDUSTRY - 2014 Dar es Salaam April, 2014 ABBREVIATIONS and ACRONYMS AIDS Acquired Immune Deficiency Syndrome BCF

More information

Annual Report 2015 Exploration, Development and Gas Monetisation in East Africa

Annual Report 2015 Exploration, Development and Gas Monetisation in East Africa Annual Report 2015 Exploration, Development and Gas Monetisation in East Africa Wentworth Resources Limited is an independent energy company with gas production and exploration acerage in the Rovuma Basin

More information

Investor Presentation. November 2015

Investor Presentation. November 2015 Investor Presentation November 2015 1 Disclaimer This presentation may contain forward-looking statements. Forward-looking statements refer to events and conditions which are not historical facts and include,

More information

Winners, cheats and witches: East African soccer cartoons Beez, Jigal

Winners, cheats and witches: East African soccer cartoons Beez, Jigal www.ssoar.info Winners, cheats and witches: East African soccer cartoons Beez, Jigal Veröffentlichungsversion / Published Version Zeitschriftenartikel / journal article Empfohlene Zitierung / Suggested

More information

National Baseline Assessment for the 3Rs (Reading, Writing, and Arithmetic) Using EGRA, EGMA, and SSME in Tanzania Study Report

National Baseline Assessment for the 3Rs (Reading, Writing, and Arithmetic) Using EGRA, EGMA, and SSME in Tanzania Study Report EdData II National Baseline Assessment for the 3Rs (Reading, Writing, and Arithmetic) Using EGRA, EGMA, and SSME in Tanzania Study Report EdData II Technical and Managerial Assistance, Task Number 24 Contract

More information

Wentworth Resources Limited Condensed Consolidated Interim Financial Statements For the three months ended March 31, 2016 Unaudited

Wentworth Resources Limited Condensed Consolidated Interim Financial Statements For the three months ended March 31, 2016 Unaudited Wentworth Resources Limited Condensed Consolidated Interim Financial Statements For the three months ended March 31, 2016 Unaudited Unaudited Condensed Consolidated Interim Statement of Financial Position

More information

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA. MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING (MoEVT)

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA. MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING (MoEVT) UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING (MoEVT) INFORMATION & COMMUNICATION TECHNOLOGY (ICT) POLICY FOR BASIC EDUCATION Dar es Salaam July 2007 ICT for Improved Education

More information

Mobile Money in Tanzania. Use, Barriers and

Mobile Money in Tanzania. Use, Barriers and Mobile Money in Tanzania Use, Barriers and Opportunities The Financial Inclusion Tracker Surveys Project, February 2013 Table of Contents Executive Summary.... 3 Glossary.... 5 Methodology...........................................................................6

More information

LAND USE PLANNING AND LAND TENURE IN TANZANIA

LAND USE PLANNING AND LAND TENURE IN TANZANIA LAND USE PLANNING AND LAND TENURE IN US G UR TANZANIA LEVELS OF LAND USE PLANNING National level; Zonal and regional level; District level; Village level; 30 32 34 36 38 40 Uganda Bukoba Lak e Vic tor

More information