OFISI YA rais, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI),
|
|
- Dulcie Jenkins
- 7 years ago
- Views:
Transcription
1 OFISI YA rais, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (TAMISEMI), Shule Sekondari ya Songea Boys S. L. P 02, SONGEA. MKOA WA RUVUMA Anwani ya simu: MKUU WA SHULE SONGEA Simu nambari: na Unapojibu tafadhali taja: Kumb.Na:SBSS/M.8/. Kwa /06/2016, YAH: KUTEULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA SONGEA. Natumia nafasi hii kukupongeza kwa kufanya vizuri mtihani wa Kidato cha nne. umeteuliwa kujiunga kidato cha Tano katika Sekondari ya Songea Boys Ninakujulisha kuwa Shule hii ya Sekondari ya Wavulana Songea ipo katika mji wa Songea, umbali wa kilomita tisa toka stendi kuu ya mabasi kuelekea barabara iendayo Tunduru. Ukifika stendi ya basi unaweza kuchukua TAX kwa gharama isiyozidi Tshs 10,000/= au DALADALA (HICE) kwa nauli ya Tshs.800/= tu. Utapanda daladala ziendazo Songea Boys na kushuka kituo cha mwisho. Sekondari ya Wavulana Songea ni shule ya bweni kwa wavulana tu. Itafunguliwa Tarehe 4/7/2016. mwisho wa kuripoti ni Tarehe 20/7/2016. Baada ya hapo hutakapokelewa. Pamoja na barua hii nimeambatanisha fomu zifuatazo:- 1. Fomu Na: 1 kupimwa hospitali na mganga mkuu wa Wilaya/Mkoa kuhusu Afya yako. (Requesting for medical Examination) 2. Fomu Na: 2 ya orodha ya mahitaji ya muhimu ya shule hii. 3. Fomu Na: 3 ya kukubali nafasi uliyochaguliwa katika shule hii. 4. Fomu Na: 4 ya sheria za shule. Tafadhari sana soma kwa makini kabla wewe na mzazi/mlezi wako hamjasaini fomu hiyo. Kumbuka kuwa kila mwanafunzi anapaswa kujaza fomu zote husika kwa ukamilifu na kuzirejesha hapa siku atakayo ripoti. Bila kukamilisha taratibu zote zilizoandikwa HATAPOKELEWA. Pia baada ya kupita siku 20 toka tarehe ya kufungua shule nafasi yako itachukuliwa na mwingine, na wewe hautapokelewa.mwisho ninakukaribisha na kukutakia mafanikio mema hapa shuleni ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA, NA ELIMU NI KAZI J.S. SWEKE MKUU WA SHULE 1
2 FOMU NO: 1 FORM FOR MEDICAL EXAMINATION To be completed by a Medical Officer in respect of all Form I and V entrants. Full Name:... Age:...Years Sex:... Blood count (Red and White) Stool Examination:... Urine Analysis... Syphilis Test... Eye Test:... T. B. Test:... Ears:... Chest:... Spleen:... Abdomen:... ADDITIONAL INFORMATION eg. Physical defects or important infections, chronic of family diseases, etc I certify that the above is fit to pursue as stated above. Signature:... Designation:... Date:... Station:... NOTE: Medical Officer: at the time of examination the individual for any ailment you note. Pupils: You must bring this completed form when you come to school, no Pupil may enroll without certificate of physical fitness. 2
3 FOMU NA: 2 Fomu ya Mahitaji ya Shule (Vitu vya Lazima) 1. Karo (Ada) Shilingi 70,000/= kwa mwaka. Inawezekana kutanguliza nusu, Shs. 35,000/= au zaidi lakini siyo chini ya kiasi hicho kwa muhula wa kwanza. Ada na michango yote iwekwe Akaunti No: NMB na Kijana alete Bank Pay Slip kwa Mkuu wa Shule. 2. Fedha za kinga au tahadhali (caution money) TShs. 5,000/=. (Haitarudishwa) 3. Fagio mgumu,fagio laini na draya 4. Ndoo moja mpya ya ujazo wa lita Vyombo vya kulia chakula (Kikombe 1, Sahani 1, Bakuli 1, na Kijiko 1) 6. Godoro ft. 2½, mto na foronya 7. Shuka Mbili na Blanketi 1 8. Aje na Chandarua kwa ajili ya kujikinga na mbu 9. Rim moja ya Karatasi A4 (Photocopier) 10. Kitambusho (Laminated) - TShs. 6,000/= 11. Mchango wa Mahafali - TShs. 5,000/= 12. Dawati na Kiti - TShs. 45,000/= 13. Fedha za matumizi mengine kama daftari za kutosha, kalamu,mkebe,calculators nk 14. Mchango wa Taaluma - TShs. 10,000/= 15. Photocopy ya Cheti cha Kuzaliwa (Siyo Affidavit) 16. Nembo ya Shule - TShs. 1,000/= 17. Fulana - TShs. 10,000/= 18. Ukarabati 15,000/= 19. Wapishi 10,000/= NB (kwa kujiepusha na usumbufu wa kusafiri na mizigo ; magodoro, rimu na vifaa vingine vya kutumia darasani vinapatikana kwenye duka la shule kwa bei nafuu hata hivyo hiyo ni hiari yako 14. SARE ZA SHULE. (a) Suruali mbili nyeusi (Tetron au polyster) siyo less zishonwe kwa unadhifu. (b) Shati nyeupe mbili za mikono mifupi. Mashati yatawekwa michoro ya utambulisho hapa shuleni. Mashati lazima yawe na kola shingoni. (c) Viatu vya ngozi, nyeusi, na soksi nyeusi jozi mbili. (d) Sweta rangi ya Bluu kwa vipindi vya baridi (e) Nguo za michezo bukta nyekundu, fulana ya bluu na raba nyekundu au nyeusi. (f) Nguo za kazi kaptura ya kaki na fulana ya bluu. Nguo hizi lazima zivaliwe wakati wa kazi Majaketi,makoti, marapurapu na kofia haviruhusiwi. 3
4 FOMU NA: Tarehe:... Mkuu wa Shule Shule ya Sekondari ya Wavulana Songea S. L. P. 02, SONGEA. Yah: KUKUBALI KUKATAA NAFASI YA KIDATO CHA...MWAKA... Mimi...ninakujulisha kuwa NIMEKUBALI/NINAKATAA KWA ALIYEKUBALI NAFASI: Baada ya majadiliano na Mzazi/Mlezi wangu, tumekubaliana na tunaahidi kuwa hatutaomba uhamisho kwenda shule nyingine kwa sababu ya kushindwa kumudu gharama za masomo kwa kipindi chote au kubadilisha subject combination kwa kidato cha tano. KWA ALIYEKATAA NAFASI: Baada ya majadiliano na Mzazi/Mlezi wangu tumekubaliana kuwa nafasi hiyo hatuitaki na kwamba itolewe kwa mwanafunzi mwingine wa AKIBA. KWA ALIYEKUBALI/KATAA: JINA LA MWANAFUNZI:... SAINI YA MWANAFUNZI... JINA LA MZAZI/MLEZI:... SAINI YA MZAZI/MLEZI:... TAREHE:... 4
5 FOMU NA: 4 SHERIA ZA SHULE Shule ni mahali ambapo kijana wa kike au kiume hujipatia elimu kwa mategemeo ya kujitayarisha kwa maisha yake ya baadaye. Anategemea kutumia uwezo wake wote kujiendeleza kielimu (maarifa ya kukabiliana na mazingira yake) kinidhamu, utii n vile vile kuisha vizuri katika jumuiya ya shule ndani na nje ya shule. Ili kuhakikisha kuwa lengo hilo linafikiwa, SHERIA ZA SHULE zimewekwa. Sheria hizi ni muhimu kwa sababu zina jukumu kubwa la kulinda haki, utu, wa kila mwanafunzi na sifa nzuri ya shule. Walimu na wafanyakazi wasio walimu wote ni viongozi na walezi wa wanafunzi shuleni. Kila mmoja anawajibu wa kuhakikisha kuwa maisha ya kila mwanafunzi yanakuwa mazuri shuleni na baadae. Nia ya shule ni kujenga katika kila mwanafunzi busara ya kushika madaraka, kutii sheria na kutovunja ahadi, ushirikiano na hisani, lisha ya kumuendeleza kitaaluma darasani. Shule itamlea kila mwanafunzi na kumkuza katika misingi ya jamii katika hali yake ya Uhuru, utu usawa na kuthamini wengine katika jamii yake ndani na nje ya shule. Hivyo utamthamini mtu baadae siyo kwa sababu ya Elimu yake tu, bali kwa matendo yake mazuri na Imani yake. Ili kumpatia mwanafunzi misingi hiyo inayofaa katika maisha yake ya baadae, anapaswa kuzingatia sheria za shule kama ifuatavyo:- 1. Kila mwanafunzi anapaswa kutumia akilizake za asili na busara katika kufanya uamuzi wa vitendo mbalimbali shuleni na nje ya shule, k.m kutohudhuria darasani au kuongea lugha ya matusi ni makosa makubwa. 2. KUWAHI: (a) Kila mwanafunzi anapaswa kuwahi kuamka asubuhi na kufanya usafi wa mazingira na kuwahi kwenye paredi saa 1.00 asubuhi. Kuchelewa ni kosa. (b) Kila mwanafunzi anapaswa kuwahi kwenye eneo la paredi Assembly ground kila inapogongwa kengele. (c) Kila mwanafunzi lazima awahi (kukimbia) anapoitwa na kiongozi (Mwalimu, Mfanyakazi au Kiranja) 3. HESHIMA: Wanafunzi wanapaswa kuheshimiana wenyewe na kumheshimu mtu aliyewazidi makamo. Kwa hiyo ni lazima kwa mwanafunzi kusalimiana na watu wazima kwa kutoa Shikamo au kusalimiana kwa kiingereza anapokutana na mwalimu wake. 4. SARE: Ni kosa kwa mwanafunzi kutoroka shule/ darasani wakati wowote ule anaopaswa kuwa shuleni/darasani. Kwa hiyo usitoke nje ya shule bila kibali (ruhusa) cha mwalimu wa zamu. 5. UTORO: Ni kosa kwa mwanafunzi kutoroka shule/darasani wakati wowote ule anaopaswa kuwa shuleni/darasani kwa hiyo usitoke nje ya shule bila ruhusa (kibali ) cha mwalimu wa zamu 6. UTUNZAJI WA VIFAA VYA SHULE Ni kosa kwa mwanafunzi yeyote kuharibu mali ya shule kama vile; vitabu,viti, madawati n.k. ikibainika itabidi ufidie gharama za matengenezo au ununuzi wa kifaa kipya 5
6 7. WIZI: Ni kosa kwa mwanafunzi (hata mtu yeyote) kuiba au kushiriki katika kitendo cha wizi hata kikiwa kidogo. 8. UTULIVU NA AMANI: (a) Ni kosa kwa mwanafunzi kupiga KELELE akiwa darasani au hata nje ya darasa katika mazingira ya shule. (b) Ni kosa kwa wanafunzi kugombana au kuchochea ili wengine wagombane (c) Ni kosa kwa wanafunzi kufanya mgomo au kushiriki katika aina yoyote ya mgomo. 9. KAZI: Kazi ni wajibu wa kila mwanafunzi, kwa hiyo ni kosa kwa mwanafunzi kutofanya au kutegea kazi za mikono ambazo zitakuwa zimepangwa na viongozi wako. 10. TAALUMA: Ni kosa kubwa kwa mwanafunzi kutofanya mitihani ya ndani (Terminal Tests) na Mazoezi yoyote yatolewayo na walimu wa masomo darasani. 11. ULEVI NA UVUTAJI: (a) Ni kosa kubwa kwa mwanafunzi kuvuta/kuuza sigara, bangi na kunywa aina yoyote ya pombe. (b) Ni kosa kwa mwanafunzi kuonekana akizurula kwenye maeneo ya nyumba za wageni (Guest Houses) na mabaa ya pombe. 12. Ni kosa mwanafunzi kujihusisha na vitendo vya uasherati na iwapo mwanafunzi (Mvulana) Atasababisha mwanafunzi mwenzake (Msichana) kupata mimba, atakuwa amejifukuza shule mwenyewe. 13. Ni kosa kwa mwanafunzi kuonekana kwenye nyumba za walimu au wafanyakazi wasio walimu bila ruhusa ya Mkuu wa Shule. 14. Ni kosa na marufuku kwa kila mwanafunzi kufanya vitendo viovu vinavyoweza kudhalilisha na kushusha heshima na kuleta sifa mbaya kwa shule. N.B: Makosa yanayoweza kusababisha mwanafunzi kufukuzwa shule ni: 1. Wizi 2. Uasherati, Ubakaji na ushoga 3. Ulevi na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya 4. Uvutaji wa Bangi 5. Makosa ya jinai 6. Kupiga au kupigana 7. Kuharibu kwa makusudi mali ya Umma/Shule 8. Kudharau Bendera ya Taifa 9. Kuoa au kuolewa 10. Kupata mimba au kusababisha mimba ndani na nje ya shule. 11. Kutoa mimba 12. Kugoma, kuchochea mgomo au kuvuruga Amani na Usalama wa watu shuleni. 13. Kukataa adhabu kwa makusudi 14. Kukutwa na simu ya mkononi. John.S. Sweke MKUU WA SHULE SHULE YA SEKONDARI YA SONGEA BOYS 6
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT
ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 6 20 th February, 2015 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No.8 Vol.96 dated 20 th February, 2015 Printed by the Government
More informationLinking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled
Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled Mohamed Salum Msoroka Faculty of Education School of Educational Leadership & Policy The University of Waikato Contact Address:
More informationTHE OIL AND GAS REVENUES MANAGEMENT ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS PART II ADMINISTRATIVE PROVISIONS
ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 10 29 th May, 2015 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No. 22 Vol. 96 dated 29 th May, 2015 Printed by the Government Printer,
More informationTANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT
TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT Tanzania Coffee Board is a government body established by the Tanzania Coffee Industry Act No. 23 of 2001. Its main function is to regulate the coffee industry
More informationContents Page. 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement
Contents Page 01 HIGHLIGHTS 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement 02 BUSINESS REVIEW 14. The Value We Have Created 15-16. What We Do 17. How We Are Managed 20-21. Who
More informationAnnual Report and Financial Statements
2013 Annual Report and Financial Statements 2 2013 Annual Report and Financial Statements Our Vision To be a dynamic company committed to exceeding customer expectation and increasing our market share
More informationOPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region
1 OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region A MANUAL FOR PRACTITIONERS Second edition January 2006 Contacts The Regional CHF Competence Center (RCCC),
More informationDAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION. A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY
DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY JANUARY 2015 TABLE OF CONTENTS 1 BACKGROUND... 1 2 THE ROLE OF THE EMPLOYER...
More informationToleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari, 2015
HABARI Habari ZA za NISHATI nishati &MADINI &madini Bulletin Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari, 2015 Toleo No. 78 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM
More informationCentum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14
Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14 Africa s Foremost Investment Channel At Centum, we focus on sustainable wealth creation, leveraging on teamwork and the expertise
More informationLesson 14a: Numbers and Counting
Lesson 14a: Numbers and Counting Numbers and Counting [nambari na hesabu] A). Numbers B). The order in which the numbers are stated C). How numbers and noun class [ngeli] go together D). Questions with
More informationAnnual Report Report and and Financial Statements
Annual Report Report and and Financial Statements For For the the Year Year ended ended 31 31 March March 2014 2014 Dreams into into reality KQ Annual Report & Financial Statements 2014 1 Performance Highlights
More informationLesson 56: Business: [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] Business: Shopping, Buying and Selling. A). Business Vocabulary.
Lesson 56: Business: Shopping, Buying and Selling Business: Shopping, Buying and Selling [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] A). Business Vocabulary akaunti akiba bei ghali rahisi bei ghali bei
More informationLEARNING HOW TO TEACH
Education International Internationale de l Education Internacional de la Educación Bildungsinternationale LEARNING HOW TO TEACH The upgrading of unqualified primary teachers in sub-saharan Africa Lessons
More informationMheshimiwa Mwenyekiti na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba,
HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, MHE. JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA, AKIWASILISHA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA, MACHI 2014 UTANGULIZI
More informationTUNGO ZA KUJIBIZANA: "KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANA"t
AAP 47 (1996) 1-10 TUNGO ZA KUJIBIZANA: "KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANA"t RIDDER SAMSOM Different labels have been used for marking the reciprocity in Swahili dialogue poetry, varying between the more
More informationContents. CORE VALUES Integrity Professionalism Team Spirit Safety Culture. Company Information 2 Message from the Chairman 4
A N N U A L R E P O RT & F I N A N C I A L S TAT E M E N T S Financial year ended 30 June 2010 Contents Company Information 2 Message from the Chairman 4 VISION To be the market leader in the provision
More informationYaliyomo. II. Dodoso la Kilimo... 62
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU Mwongozo wa Mdadisi Utafiti wa Kufuatilia Kaya Tanzania (NPS 2010-11) 2010-2011 0 [JAMHURI YA MUUNGA N O W A TANZA N I A] Yaliyomo Comment [SP1]: Be sure to update the table of
More informationTHE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006
THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006 ARRANGEMENT OF SECTIONS Section Title PART I PRELIMINARY PROVISIONS 1. Short title and Commencement 2. Application. 3. Interpretation. PART II THE FINANCIAL INTELLIGENCE
More information815 SWA. Health undertaking Kuwajibika Kiafya. Tafadhali weka kurasa hii ya maelezo kama kumbukumbu yako
Health undertaking Kuwajibika Kiafya Form 815 SWA SWAHILI Muhimu Tafadhali soma maelezo haya kwa uangalifu kabla ya kukamilisha wajibu wako. Mara tu unapokamilisha wajibu wako tunashauri kwa nguvu kuwa
More informationTANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI
TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI This booklet, which summarizes key findings on HIV/AIDS, is based on surveys and other studies conducted over the past decade in Tanzania. Major data sources include
More informationCUF. Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi
CUF Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) Yaliyomo 1. Utangulizi wa Prof Ibrahim Lipumba... 7 2. Misingi mikuu ya uongozi wa nchi...
More informationCONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL ON 2 1 ST JULY 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS SABOTI
More informationKitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates
Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates Programu ya Teknolojia Inayofaa kwenye Afya (PATH) inatoa masuluhisho endelevu, yanayofaa kiutamaduni na ambayo inawezesha jamii
More informationUundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania
Nordic Journal of African Studies 16(3): 333 344 (2007) Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT The promotion of terminology
More informationTuko Pamoja. Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum
Tuko Pamoja Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Tuko Pamoja Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Acknowledgements This second edition of the Kenya Adolescent
More informationMARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS*
AAP 47 (1996). 139-148 MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS* ELENA BER TONCINI-ZUBKOV A La seule piece theiitrale de Kezilahabi, "Les shorts de Marx",
More informationCreation of a Speech to Text System for Kiswahili
Creation of a Speech to Text System for Kiswahili Dr. Katherine Getao and Evans Miriti University of Nairobi Abstract The creation of a speech to text system for any language is an onerous task. This is
More informationKUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII
SWAHILI FORUM 18 (2011): 198-210 KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII ALDIN MUTEMBEI Utangulizi Mojawapo ya matokeo ya utandawazi ni kuwapo kwa simu za kiganjani
More informationCONTENTS. Financial Section. Sehemu ya Kiswahili. Statutory Information
CONTENTS Financial Highlights 3 Chairman s Statement 4-5 Production 6-8 Brands 10-12 Human Resource 13 Enriching Communities 14-15 Sehemu ya Kiswahili Taarifa ya Mwenyekiti 16-17 Utaoji 18-20 Aina za Bidhaa
More informationANNUAL REPORT 2015 THE TASKS OF TBL INTRODUCING
THE HOME OF FINE BEERS ANNUAL REPORT 2015 INTRODUCING THE TASKS OF TBL PROUDLY TANZANIAN SINCE 1933 A subsidiary of SABMiller plc To Be a Good Corporate Citizen To Invest in Our Country To Invest in Our
More informationTAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA
TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA (TACAIDS) TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA OKTOBA, 2007 ISBN 978-9987-519-18-7 i ii Yaliyomo Ufafanuzi wa Majedwali Vifupisho Shukrani Muhtasari
More informationMAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO
NEW LIFE IN CHRIST SERIES 1 MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their
More informationLanguage Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania
US-China Foreign Language, ISSN 1539-8080 June 2013, Vol. 11, No. 6, 447-460 D DAVID PUBLISHING Language Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania Josephine Dzahene-Quarshie University of Ghana,
More informationMWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK
Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI
More informationTunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua
Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua Orodha ya kukagua matayarisho: Soma hadithi yote mapema pamoja na maelezo ya hadithi na maswali ya kukukumbusha. Tayarisha
More informationROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85
AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85 ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER Summary This study elaborates how Kezilahabi depicts elements of Roman Catholic faith in his
More informationEXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI
SWAHILI FORUM 15 (2008): 51-61 EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI TIINA SAKKOS Makala hii inachambua riwaya ya pili ya mwandishi maarufu wa Kiswahili, Euphrase Kezilahabi (*1944)
More informationNi Wakati Wa Kuamka! Ellis P. Forsman. Ni Wakati Wa Kuamka (It's Time To Wake Up) 1
Ni Wakati Wa Kuamka! na Ellis P. Forsman Ni Wakati Wa Kuamka (It's Time To Wake Up) 1 Ni Wakati Wa Kuamka! na Ellis P. Forsman Oktoba 12, 2011 Ni Wakati Wa Kuamka (It's Time To Wake Up) 2 Ni Wakati Wa
More informationKISWAHILI Pam Inoti - pamby22@gmail.com
KISWAHILI Pam Inoti - pamby22@gmail.com Kiswahili is a national and official language in Kenya, Tanzania and Uganda. It is also spoken in Rwanda, Burundi, Congo (DRC), Somalia, Comoros Islands (including
More informationCURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION
CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION Curriculum Innovation in Teacher Education Exploring Conceptions among Tanzanian Teacher Educators Wilberforce E. Meena ÅBO 2009 ÅBO AKADEMIS FÖRLAG ÅBO AKADEMI
More informationThe Usage of Kiswahili in Blog Discourse and the Effect on Its Development
International Journal of Humanities and Social Science Vol. 3 No. 14 [Special Issue - July 2013] The Usage of Kiswahili in Blog Discourse and the Effect on Its Development Juliet Akinyi Jagero Jaramogi
More informationNdugu na dada zangu. Mbio za Maisha
UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Mbio za Maisha Sisi tulitoka wapi? Kwa nini tuko hapa? Tutaenda wapi baada ya maisha haya? Haya maswali ya kawaida hayafai kubaki bila kujibiwa.
More informationHALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA Kimetayarishwa kwa Ushirikiano Kati ya: TUME YA MIPANGO DAR ES SALAAM na OFISI YA MKUU WA MKOA DODOMA YALIYOMO Ukurasa
More informationA SHABA SWAHILI LIFE HISTORY: TEXT AND TRANSLATION
AAP 42 (1995). 73-103 A SHABA SWAHILI LIFE HISTORY: TEXT AND TRANSLATION JAN BLOMMAERT Intruduction This paper presents an edited version of a handwritten text in Shaba Swahili and French, accompanied
More informationDR. HAMISI O. BABUSA (PHD)
DR. HAMISI O. BABUSA (PHD) School of Education Department of Educational Communication and Technology Kenyatta University P.O. Box 43844 Nairobi 00100 Kenya Mobile: +254 700 754 080 Email: hobabusa@gmail.com
More informationTRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI
TANZANIA COUNTRY OFFICE TRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI August 2009 University of Dar es Salaam Entrepreneurship Centre (UDEC) P. O. Box 110099,
More informationJe! Mungu Habadilisha Nia Yake Kuhusu Neno Lake?
JE! MUNGU HABADILISHA NIA YAKE KUHUSU NENO LAKE? 1 Je! Mungu Habadilisha Nia Yake Kuhusu Neno Lake? ` Na tuinamishe vichwa vyetu. Bwana Yesu mpenzi, tumekusanyika tena katika Jina Lako, tukiwa na matumaini
More informationKANISA LINAHITAJI KUJUA
Miki Hardy KANISA LINAHITAJI KUJUA Umefika wakati tuyazungumzie mambo kadhaa ya msingi waziwazi ili Wakristo watambue ya kwamba Bwana ana mambo mazuri zaidi kwa ajili yao! Hakimiliki 2013 na Church Team
More informationLesson 24: Adjectives
Lesson 24: Adjectives Adjectives [vivumishi vya sifa] Adjectives are formed by attaching the noun class marker to an adjectival stem. Adjectives have various properties: Word origin (e.g. Bantu, Arabic)
More informationSda Church Nyimbo Za Kristo
Sda Nyimbo Za Kristo Free PDF ebook Download: Sda Nyimbo Za Kristo Download or Read Online ebook sda church nyimbo za kristo in PDF Format From The Best User Guide Database Apr 27, 2011 - Saturday. EAT
More informationIntegrated Logistics System (ILS) Procedures Manual
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE (ILS) Procedures Manual Roll-Out Version September 2008 ACRONYMS Term English Swahili ARV Anti-Retroviral (drug) Dawa ya kupunguza
More informationPromoting Regional Trade to Enhance Food Security
SLE Publication Series S239 Centre for Advanced Training in Rural Development (SLE) International Institute of Tropical Agriculture (IITA) on behalf of Deutsche Gesellschaft für Technische Zusammenarbeit
More informationCelebration of the French «Bastille Day» Remarks by Ambassador Elisabeth Barbier 14th July 2010
Celebration of the French «Bastille Day» Remarks by Ambassador Elisabeth Barbier 14th July 2010 Honorable Ministers, Dear colleagues, compatriots and friends, Mabibi na Mabwana, First of all, let me, together
More informationCONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, NAMBALE CONSTITUENCY, HELD AT MATAYOS LWANYA GIRLS SEC. SCHOOL ON 29 TH JULY 2002 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,
More informationMORE SWAHILI PROVERBS FROM EAST AFRICA METHALI ZAIDI ZA KISWAHILI TOKA AFRIKA MASHARIKI. L. Kalugila. A. Y. Lodhi
MORE SWAHILI PROVERBS FROM EAST AFRICA METHALI ZAIDI ZA KISWAHILI TOKA AFRIKA MASHARIKI L. Kalugila A. Y. Lodhi Scandinavian Institute of African Studies, Uppsala 1980 MORE SWAHILI PROVERBS FROM EAST AFRICA
More informationAmbassador s Community Grants Fund for HIV/AIDS Relief
Ambassador s Community Grants Fund for HIV/AIDS Relief Each year, the United States Ambassador s Community Grants Fund in Tanzania will award HIV/AIDS-focused grants, ranging from $5,000 to $30,000, to
More informationLUGHA YA MITAANI IN TANZANIA THE POETICS AND SOCIOLOGY OF A YOUNG URBAN STYLE OF SPEAKING
SWAHILI FORUM 13 Edited by: Rose Marie Beck, Lutz Diegner, Clarissa Dittemer, Thomas Geider, Uta Reuster-Jahn SPECIAL ISSUE LUGHA YA MITAANI IN TANZANIA THE POETICS AND SOCIOLOGY OF A YOUNG URBAN STYLE
More informationGirls Getting to Secondary School Safely: Combating Gender-based Violence in the Transportation Sector in Tanzania
Girls Getting to Secondary School Safely: Combating Gender-based Violence in the Transportation Sector in Tanzania Laura Mack Center for Gender Equity 2009 In July 2011, FHI 360 acquired the programs,
More informationMEANING AS USE: A FUNCTIONAL VIEW OF SEMANTICS AND PRAGMATICS
SWAHILI FORUM 11 (2004): 127-139 MEANING AS USE: A FUNCTIONAL VIEW OF SEMANTICS AND PRAGMATICS ALICE MWIHAKI This article addresses the notion of linguistic meaning with reference to Kiswahili. It focuses
More informationTeach Yourself Swahili
Teach Yourself Swahili Hassan O. Ali & Ali M. Mazrui August 3, 2004 Contents ABOUT THIS COURSE... 1 ABOUT SWAHILI... 1 LESSON 1: ALPHABET... 3 LESSON 2: PRONUNCIATION GUIDE... 3 VOWELS... 3 SYLLABLES...
More informationThe mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania
The mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania Eli Fjeld Falnes Dissertation for the degree philosophiae doctor
More informationTEGENI MASIKIO: COMPOSING EAST AFRICAN REALITIES THROUGH YOUNG EYES
SWAHILI FORUM 19 (2012): 45-59 TEGENI MASIKIO: COMPOSING EAST AFRICAN REALITIES THROUGH YOUNG EYES AARON LOUIS ROSENBERG At times creative writing has been employed by Tanzanians in order to demonstrate
More informationTEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA. Kitabu Namba 5
1 TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA Kitabu Namba 5 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania W izara ya Kilimo na Chakula 1 2 Mfululizo wa vitabu hivi:
More informationThe Mosaic Project Theme Song 2001 The Mosaic Project Music by Brett Dennen, Lyrics by Brett Dennen and Lara Mendel
The Mosaic Project Theme Song 2001 The Mosaic Project M is for MUTUAL RESPECT Don't put me down and don't hurt me. O is for OPEN MINDEDNESS See me for who I am and don't judge me. S is for SELF RESPECT
More informationMINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING
MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION CURRICULUM FOR CERTIFICATE IN TEACHER EDUCATION PROGRAMMES IN TANZANIA MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING TANZANIA
More informationSwahili. Information provided by: National African Language Resource Center (NALRC)
Swahili Information provided by: National African Language Resource Center (NALRC) A). Why study Swahili? Swahili (or Kiswahili as it is called when one is speaking the language) is the most important
More informationARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011
ARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011 Editorial Welcome to the first Issue of the third volume of Arms Control: Africa, which is published by the Arms Management Programme (AMP) of the Institute for Security
More informationTANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY
TANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY AUGUST 2010 1.0 INTRODUCTION This is a report on a Paralegal baseline survey conducted in all regions of Tanzania mainland. The baseline survey was commissioned to Tanganyika
More information23 280 ก ก 2558. ก ก Hydrologic Cycle
ก 23 28 ก ก 2558 ก ก Hydrologic Cycle ก. ก ก ก ก. ก... ก 65-5533-46-5533-47 ก - ก - 8 ก ก ก ก ก 12-46 ก 17 1 ก ก ก ก ก ก ก 1. ก ก 25 2. ก ก ก ก ก 3. ก ก ก ก ก ก 4. ก ก ก ก 5. 1 31 - 1. ก. ก 2 2. P.7A..
More informationMBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY Telephone: 2503016/7 or 2502861. Fax: +2552522502302 E-mail: vc@mist.ac.tz mist@mist.ac.tz Website: www.mist.ac.tz P.O. Box 131, Mbeya, Tanzania. In reply please
More informationDar es Salaam Institute of Technology
Dar es Salaam Institute of Technology FORM NO. DIT/JI 4P P. O. Box 2958, Dar Es Salaam. Tel: (022) 2150174 / (022) 2153511. Email: registrar@dit.ac.tz Website: http://www.dit.ac.tz Reference No:... Date:
More informationMwalimu Nyerere Engages His People: Scripture Translation in Swahili Verse
Journal of Translation, Volume 3, Number 1 (2007) 41 Mwalimu Nyerere Engages His People: Scripture Translation in Swahili Verse Phil Noss and Peter Renju 1 Phil Noss was the UBS Translation Services Coordinator
More informationMBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY Telephone: 2503016/7 or 2502861. Fax: +2552522502302 E-mail: vc@mist.ac.tz mist@mist.ac.tz Website: www.mist.ac.tz P.O. Box 131, Mbeya, Tanzania. In reply please
More informationPrimary Care Plus Enrollment Booklet
Primary Care Plus Enrollment Booklet 1 Table of Contents Welcome to Primary Care Plus (PC Plus)!... 3 What is PC Plus?... 3 Medicaid or Dr. Dynasaur Managed Care... 3 Important:... 3 How to join PC Plus...
More informationThe United Republic of Tanzania
The United Republic of Tanzania Health Services Inspectorate Unit Ministry of Health and Social Welfare Implementation Guideline for 5S-CQI-TQM Approaches in Tanzania Foundation of all Quality Improvement
More informationMother Tongue Theological Education in Africa: A Response to Jim Harries The Prospects for Mother Tongue Theological Education in Western Kenya
Wildsmith Mother Tongue Theological Education in Africa 17 Mother Tongue Theological Education in Africa: A Response to Jim Harries The Prospects for Mother Tongue Theological Education in Western Kenya
More informationAPPLICATION FOR IMMIGRANT VISA
FOREIGN SERVICE OF THE PHILIPPINES PHILIPPINE CONSULATE GENERAL CHICAGO, IL U.S.A. FA FORM NO. 3 REVISED 23 JANUARY 2008 (USA) APPLICATION FOR IMMIGRANT VISA 122 S. MICHIGAN AVE. SUITE 1600, CHICAGO, IL
More informationVidunda (G38) as an Endangered Language?
Vidunda (G38) as an Endangered Language? Karsten Legère University of Gothenburg 1. The position of Swahili and other Tanzanian languages Tanzania is a multi-ethnic and, as a consequence, multi-lingual
More informationEMBASSY OF THE REPUBLIC OF THE PHILIPPINES OSLO, NORWAY
FA Form. 3 EMBASSY OF THE REPUBLIC OF THE PHILIPPINES OSLO, NORWAY APPLICATION FOR IMMIGRANT VISA QUOTA / NON-QUOTA (Applicant s Signed Photograph) Surname First Name Middle Name Sex Date of Birth Place
More informationORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI
ORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI S/N0. JINA /TAASISI/KAMPUNI SIMU 1. Director General +255 22 2123583-4 TASAF 2. Director General, +255 22 2126516 WAMA 3. The Chairman, +255 22 2122651 TACAIDS 4. Executive
More informationThe Nguzo Saba of the seven days of Kwanzaa:
The 7 principles of Kwanzaa Theme 1 Umoja (oo-mo-jah) Unity stresses the importance of togetherness for the family and the community, which is reflected in the African saying, "I am We," or "I am because
More informationNEGOTIATING THE NEW TUKI ENGLISH-SW AHILI DICTIONARY A CRITIQUE FROM A PEDAGOGICAL AND SCHOLARLY PERSPECTIVE'
AAP 51 (1997) 181-218 NEGOTIATING THE NEW TUKI ENGLISH-SW AHILI DICTIONARY A CRITIQUE FROM A PEDAGOGICAL AND SCHOLARLY PERSPECTIVE' THOMAS J.. HINNEBUSCH Intmduction This paper is intended to give a somewhat
More informationEmergency Medical Technician
Emergency Medical Technician Admission Requirements EMERGENCY MEDICAL TECHNICAL IMPORTANT: PLEASE READ CAREFULLY Classes are held on Tuesday and Thursday nights from 5:00 p.m. until 9:00 p.m. All classes
More informationMOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture
MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture PROSPECTUS 0 ABBREVIATIONS AND ACRONYMS ACC ADB ADCA ADCM AMU BA-AF BA-BEC
More informationLesson 43: Commands. D). Commands may take object markers to indicate the recipient of a command
Lesson 43: Commands Commands [amri] A). Commands using regular verbs (which generally end in A) when indicating a single recipient will take the normal verb form, but commands indicating multiple recipients
More informationACADRI 2015 TRAINING PROGRAMMES
No. COURSE TITLE DATES VENUES SECRETARIAL AND GENERAL ADMINISTRATION 1. SKILLS ENHANCEMENT PROGRAMME FOR EXECUTIVE SECRETARIES AND ADMINISTRATIVE/ PERSONAL ASSISTANTS Jan 12 30, 2015 (3 wks) May 11 29,
More informationIf you were out of work due to an illness or accident, how long
Short Term Disability Insurance If you were out of work due to an illness or accident, how long in addition to XXX 60 XXX 1st 4th Summer
More informationLEHMAN COLLEGE DEPARTMENT OF NURSING ANNUAL HEALTH CLEARANCE REQUIREMENTS
ANNUAL HEALTH CLEARANCE REQUIREMENTS Each student in the Department of Nursing must have current health clearance prior to each clinical nursing course (NUR 301, 303, 304, 400, 405, 409). Health clearance
More informationCURRICULUM VITAE. 1. SUMMARY OF EXPERIENCE Special Needs Education Lecturer Psycho-educational Assessment Professional
CURRICULUM VITAE NAME CURRENT POSITION UNIVERSITY ACADEMIC POSITION INSTITUTION PHYSICAL ADDRESS WANYERA SAMUEL Coordinator Special Needs Education Research Laboratory Project Lecturer Special Needs Education
More informationP.O. Box 4374 DAR ES SALAAM TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 E-mail:itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com
S/N NAME OF LICENSEE ADDRESS 1. Radio One P.O. Box 4374 TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com AUTHORIZED SERVICE AREA AND LOCATION OF BASE STATION ( Dar es AUTHORIZED
More informationTUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA
Attach one (1) recent color Passport size photo For official use only: DR. E.C. S. D.E TUMAINI UNIVERSITY MAKUMIRA Application for Admission for Academic Year 2014-2015 programmes. I. PERSONAL INFORMATION
More informationEducator s Guide to Sickle Cell Disease
Educator s Guide to Sickle Cell Disease Educator s Guide to Sickle Cell Disease Sickle cell disease is an inherited blood disorder affecting about one out of every 350 African Americans. Most children
More informationLife Insurance Application Form
Life Insurance Application Form INSTRUCTION To be completed by all applicants PERSONAL DETAILS Surname First name Middle name Sex Female Male Marital status (please tick) Single Married Other Current residential
More informationCURRICULUM VITAE PERSONAL DETAILS. Prof. Wanyama Mellitus Nyongesa. Age: 47. Associate Professor of Musicology at Moi University, Eldoret, Kenya
CURRICULUM VITAE PERSONAL DETAILS Name: Sex: Prof. Wanyama Mellitus Nyongesa Male Age: 47 Place of Birth: Nationality: Occupation: Bungoma County, Kenya Kenyan Associate Professor of Musicology at Moi
More informationVOCATIONAL EDUCATION & TRAINING CENTERS
VOCATIONAL EDUCATION & TRAINING CENTERS CENTERS CONTACTS COURSES 1 Alberta Menegozo Vocation Matembwe Mission 2 Air Wing Vocation Training School 3 Alberta Menegozo Vocation 4 Amani Vocational Training
More informationAPPLICATION FOR THE RN to BSN PROGRAM NAME: ADDRESS:
APPLICATION FOR THE RN to BSN PROGRAM PLEASE PRINT CLEARLY NAME: ADDRESS: Please check Campus you wish to attend: Rutgers Camden: Atlantic Cape Community College: Camden County College at Blackwood: Home
More information