JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Size: px
Start display at page:

Download "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA"

Transcription

1 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/E/26 27 Novemba, 2013 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu la kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Waajiri (Taasisi za Umma). Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 2748 za kazi kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo,Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kiteto, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mlele, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kalambo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mpanda, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nkasi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Sumbawanga na Mkurugenzi Manispaa ya Kinondoni. Nafasi nyingine ni kwa ajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kyerwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chato, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Misenyi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ngara, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Muleba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya 1

2 Bukoba, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Handeni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkinga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilindi, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Korogwe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Pangani, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Handeni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Korogwe na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Muheza. Nafasi hizo pia ni kwa ajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ulyankulu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Sikonge, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Uyui, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nzega, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Nzega, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Igunga, Mkurugenzi Manispaa ya Tabora, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ikungi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkalama, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Iramba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Manyoni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Singida, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Itilima na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ushetu. Waajiri wengine ni Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Msalala, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kishapu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bukombe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Meatu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Shinyanga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Maswa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kahama, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bariadi, Mkurugenzi Manispaa ya Shinyanga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nyasa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Namtumbo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbinga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tunduru, Mkurugenzi Manispaa ya Songea, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nyang`wale, Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Misungwi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ukerewe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Geita na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Magu. 2

3 Nafasi hizo za kazi pia ni kwa aajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tandahimba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Newala, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Masasi, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Masasi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Gairo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mvomero, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilombero, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ulanga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Morogoro, Mkurugenzi Manispaa ya Morogoro, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Tunduma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Momba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbarali, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ileje, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kyela, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chunya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbozi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbeya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rorya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Serengeti, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bunda, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tarime, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Butiama, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya Musoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ruangwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nachingwea, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Lindi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mwanga na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Hai. Katika nafasi hizo waajiri weengine ni Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rombo, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya Moshi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kahama, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Uviza, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Monduli, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Babati, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Hanang, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Simanjiro, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bagamoyo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kisarawe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rufiji, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mafia, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkuranga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Iringa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mufindi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Makete, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Karatu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chamwino, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mpwapwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kondoa, Mkurugenzi 3

4 Halmashauri Wilaya ya Kongwa na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bahi, Waajiri wengine katika nafasi hizo za kazi ni Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chemba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Njombe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kongwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilolo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Makambako, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ludewa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Wanging`ombe, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya Kigoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kigoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kasulu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kakonko, Katibu Tawala Mkoa Arusha, Katibu Tawala Mkoa Pwani, Katibu Tawala Mkoa Dodoma, Katibu Tawala Mkoa Iringa, Katibu Tawala Mkoa Kilimanjaro, Katibu Tawala Mkoa Mtwara, Katibu Tawala Mkoa Mwanza, Katibu Tawala Mkoa Ruvuma, Katibu Tawala Mkoa Tabora, Katibu Tawala Mkoa Kagera, Katibu Tawala Mkoa Dar es salaam, Katibu Tawala Mkoa Rukwa, Katibu Tawala Mkoa Katavi, Katibu Tawala Mkoa Njombe, Katibu Tawala Mkoa Njombe, Katibu Tawala Mkoa Simiyu na Katibu Tawala Mkoa Geita. MASHARITI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE. i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania. ii. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa. iii. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo. iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe katika kichwa cha habari cha barua na juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili. v. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika. vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka kupotea. - Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates. - Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI - Computer Certificate - Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards) 4

5 - Picha moja Passport size ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma. vii. Transcripts, Testmonials, Provisional Results, Statement of results, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA. viii. Waombaji wawe na umri usiozidi miaka 45. ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi. x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba xi. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria. xii. WAAJIRI WOTE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM WANAOMBWA KUSAMBAZA MATANGAZO HAYA KWENYE MBAO ZA MATANGAZO NA MAENEO MENGINE. xiii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 10 Desemba, 2013 xiv. Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira HAURUHUSIWI. xv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo. xvi. Kila mwombaji kazi atapangwa katika kituo chochote cha kazi bila kujali eneo/mahali alipoomba kutokana na mahitaji ya mwajiri pamoja na idadi ya waombaji katika eneo husika. Katibu, AU Secretary, Sekretariati ya Ajira katika Public Service Recruitment Utumishi wa Umma, Secretariat, SLP.63100, P.O.Box Dar es Salaam. Dar es Salaam. 1.0 AFISA UVUVI DARAJA LA II (FISHERIES OFFICER GRADE II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutekeleza Sera ya Uvuvi. Uhifadhi wa samaki na viumbe wengine wa majini na mazingira yao. Kuratibu na kusimamia uhifadhi wa mazingira. Kuendeleza uvunaji endelevu wa samaki na viumbe wengine wa baharini, maziwa, mito, mabwawa na malambo. 5

6 Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu Uvuvi bora, utengenezaji na udhifadhi bora wa Samaki na mazao ya uvuvi, Biashara na Masoko ya Samaki pamoja na Ufugaji wa Samaki na viumbe wengine wa majini. Kutoa leseni za uvuvi. Kuendesha mafunzo ya taaluma ya uvuvi. Kusimamia na kutekeleza Sheria za Uvuvi (k.m. kuzuia uvuvi haramu). Kusimamia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi pamoja na maduhuli. Kuratibu shughuli za utafiti wa uvuvi. Kutoa ushauri na Mafunzo kwa wananchi juu ya uendelezaji na matumizi endelevu ya rasilimali ya uvuvi. Kukagua ubora wa Samaki na mazao ya uvuvi na kuweka viwango vya Kitaifa. 1.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (Bachelor Degree) katika fani za Sayansi ya Uvuvi (Fisheries Science/Management, Zoology, Microbiology, Marine Biology, Food Science and Aquaculture). 1.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D kwa mwezi. 2.0 MVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II (FISHERIES ASSISTANT II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutengeneza, Kushona, Kutunza na Kukarabati zana za uvuvi. Kutunza na kuangalia mabwawa ya samaki. Kutega mitego Ziwani au Baharini. Kutengeneza nyavu ndogo ndogo. Kuwapa chakula samaki katika mabwawa. Kuvua samaki katika mabwawa. Kutoa ushauri kwa wavuvi kuhusu mbinu mbalimbali za uvuvi. Kukusanya takwimu za uvuvi kutoka kwenye vituo vya kupokelea samaki. Kutoa ushauri juu ya uhifadhi wa samaki na mbinu za usambazaji na uuzaji wa mazao yatokanayo na samaki. Kuwaelimisha wananchi juu ya ufugaji wa samaki na mambo muhimu ya kuzingatia. 2.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au cha sita wenye stashahada (Diploma) ya Uvuvi au Uhifadhi wa Samaki na Masoko (Fish Processing & Marketing) kutoka vyuo vya uvuvi vya Mbegani, Kunduchi au vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali. 6

7 2.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi 3.0 AFISA MIFUGO MSAIDIZI DARAJA LA II (LIVESTOCK FIELD OFFICER II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo kwa wafugaji wa eneo lake. Kwa kushirikiana na wakaguzi wa afya, atakagua nyama na usafi wa machinjio mara kwa mara. Atakusanya takwimu za nyama na mazao yatokanayo na mifugo k.m ngozi na kuandika ripoti. Atatibui magonjwa ya mifigo chini ya usimamizi wa Daktari wa mifugo na kushauri wafugaji jinsi ya kukinga mifugo dhidi ya magonjwa. Atatembelea wafugaji mara Kwa mara na kuwapa ushauri fasaha wa kitaalam katika eneo Lake Kazi. Atakusanya takwimu zote za maendeleo ya mifugo katika eneo lake. Atashauri na kusimamia ujenzi wa majosho, machinjio, vibanio na miundo mbinu inayohusiana na ufugaji bora. Atahusika na uhamilishaji (Artificail Insemination) na uzalishaji (breeding) wa mifugo kwa ujumla. Atashauri wafugaji kuhusu mbinu bora za kuzalisha maziwa na utunzaji wa ndama. Atafanya kazi nyingine za fani yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi. 3.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha VI waliofuzu mafunzo ya Stashahada (Diploma) ya mifugo kutoka chuo cha Kilimo na Mifugo (MATI au LITI) au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali. 3.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi 4.0 AFISA MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK OFFICER II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Atabuni mipango ya uzalishaji mifugo wilayani. Ataratibu uzalishaji wa mifugo katika mashamba makubwa ya mifugo. 7

8 Atasaidia kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na uzalishaji wa mifugo wilayani. Ataratibu na kuendesha mafunzo ya ufugaji bora, usindikaji wa mazao ya mifugo kwa wataam wa mifugo na wafugaji. Atafanya mapitio na marekebisho ya miundo ya masoko ya mifugo wilayani kwake na mkoani. Atabuni, kuanzisha na kutekeleza miradi ya maendeleo ya mifugo wilayani. Atafanya soroveya ya rasilimali (resource survey) kama vile mifugo, vyakula vya mifugo, malisho n.k. katika eneo lake la kazi. Ataendesha mafunzo kwa Mawakala, wauzaji na wataalam juu ya njia salama katika kuweka na kusambaza pembejeo za mifugo. Atatafiti maeneo mapya yanayofaa kwa ufugaji wa mifugo mbalimbali Atafanya utafiti juu ya uharibifu wa mazingira katika wilaya. Atashiriki katika shughuli za kudhibiti milipuko ya wanyama/viumbe waharibifu wa malisho. Ataandaa taarifa ya jumla juu ya maendeleo ya mifugo. Atafuatilia, kuweka, kuchambua na kutafsiri takwimu za uzalishaji wa mifugo. Atafanya kazi nyingine zinazohusiana na fani yake kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi. 4.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya sayansi ya Mifugo (Animal Science) kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali au sifa inayolingana nayo. 4.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi 5.0 MTEKNOLIJIA WA SAMAKI DARAJA LA II (FISH TECHNOLOGISTS II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutoa ushauri juu ya utayarishaji, utengenezaji, ukaushaji na uhifadhi wa samaki na mazao yatokanayo na uvuvi. Kusimamia kushauri juu ya kanuni za uthibiti ubora wa Samaki na mazao yake Kutoa ushauri juu ya matumizi mbalimbali ya samaki kama chakula bora katika Viwanda na maeneo mengine. Kudhibiti ubora wa samaki katika mialo. Kudhibiti usafi katika maeneo ya kupokelea samaki. Kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kutunzwa melini na viwandani. 5.2 SIFA ZA MWOMBAJI 8

9 Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Chakula (Food Science and Nutrition, Food Technology, Microbiology) kutoka vyuo vikuu vinavyotambuliwa na Serikali. 5.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi 6.0 DAKTARI WA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY OFFICERS) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutoa huduma za afya ya mifugo Kufanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo katika eneo au sehemu alipo. Kutayarisha na kusimamia mipango ya kuzuia, kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya mifugo katika eneo lake. Kushiriki katika uchunguzi wa magonjwa ya wanyama pori katika eneo lake. 6.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali na wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo nchini. 6.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi 7.0 AFISA UTAFITI MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK RESEARCH OFFICER II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kujifunza kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa mifugo/ndorobo Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Afisa Utafiti Mwandamizi. Kuandika na Kuweka kumbukumbu za utafiti. Kusaidia kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora. Kuandaa mapendekezo ya utafiti (Research Proposals) kwa kushirikiana na Afisa Utafiti Mifugo anayesimamia. Kufanya kazi zozote kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi. 7.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. 7.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi 9

10 8.0 DAKTARI UTAFITI MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY RESEARCH OFFICER II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kujifunza na kumudu mbinu na taratibu za utafiti wa afya na maradhi ya mifugo Kuweka kumbukumbu za utafiti Kusaidia kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora. Kuandaa mapendekezo ya utafiti ( research proposal ) kwa kushirikiana na Daktari Utafiti Mifugo anayemsimamia. Kufanya utafiti chini ya usimamizi wa Daktari Utafiti Mwandamizi Kukusanya na kuchambua takwimu za utafiti unaoendelea. Kuchapisha taarifa na makala za utafiti Kuendesha semina na maonyesho ya ufugaji bora. 8.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza (bachelor degree) katika fani ya Sayansi ya Tiba ya Mifugo ( Veterinary Science) kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo nchini. 8.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi 9.0 FUNDI SANIFU MAABARA MIFUGO DARAJA LA II (VETERINARY LABORATORY TECHNICIAN II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kwa kushirikiana na Afisa Mifugo Msaidizi, atafanya uchunguzi wa magonjwa ya mifugo katika eneo lake. Atakusanya sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa maabara. Kuwasaidia wataalam kuanda vifaa vya uchunguzi Kutunza Usafi wa Maabara na vyombo vilivyomo. Kutunza takwimu za uchunguzi Atafanya kazi zingine zozote kama atavyopangiwa na mkubwa wake wa kazi 9.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya miaka miwili (2) ya Stashahada katika fani ya Fundi Sanifu Maabara (Mifugo) kutoka Chuo cha Mifugo (LITI), au chuo kingine kinachotambiliwa na serikali. 9.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi 10

11 10.0 MKUFUNZI MIFUGO DARAJA II (LIVESTOCK TUTOR II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo. Kuandaa mtiririko wa kila somo (Lesson Plan) kwa upande wa nadharia na vitendo. Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo. Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza. Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao. Kupima maendelo ya wanachuo kwa kushirikiana na maofisa mifugo wa wilaya, viwandani wakati wa mafunzo kwa vitendo. Kufanya kazinyingine zozote za fani yake atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Sayansi ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS D kwa mwezi 11.0 MKUFUNZI WA MIFUGO MSAIDIZI (ASSISTANT LIVESTOCK TUTOR) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kuandaa mtiririko (Lesson Plan) wa masomo Kufundisha kozi ya astashahada ya mifugo na wafugaji. Kusimamia masomo ya vitendo chini ya usimamizi wa Mkufunzi Mkuu wa somo Kuandaa na kupanga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Kitengo (dairy, poultry, maabara, museum, nk). Kufanya kazi nyingine kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha sita (VI) waliofuzu mafunzo ya Stashahada ya mifugo kutoka MATI/LITI au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA 11

12 Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi 12.0 DAKTARU MIFUGO MKUFUNZI DARAJA LA II (VETERINARY TUTOR II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutafsiri mihutasari ya mafunzo kwenye masomo Kuandaa mtiririko wa kila somo (lesson plan) kwa upande wa nadharia na vitendo Kufundisha kozi za stashahada na astashahada kwa upande wa nadharia na vitendo. Kuandaa na kupanga somo la vitendo na kusimamia wanachuo wakati wa kujifunza Kupima maendeleo ya wanachuo kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao. Kupima maendeleo ya wanachuo kwa kushirikiana na madaktari /maofisa mifugo wa wilaya, wakati wa mafunzo kwa vitendo (Field Practicals). Kufanya kazi nyingine zozote kadri atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Sayansi ya Tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Wawe wamesajiliwa na Bodi ya Madaktari Tanzania MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS E kwa mwezi 13.0 MTEKINOLOJIA WA SAMAKI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT FISH TECHNOLOGIST II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutengeneza na kuhifadhi samaki 13.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita waliofuzu mafunzo ya miaka miwili ya uhifadhi na biashara ya samaki (Fish Processing and Marketing) kutoka chuo cha maendeleo ya uvuvi Mbegani au chuo chochote kinachotambuliwa na serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS B kwa mwezi 14.0 MUUNDA BOTI DARAJA II (BOAT BUILDER II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kusaidia kuunda boti za uvuvi Kuwashauri wavuvi juu ya utunzaji na matumizi ya boti 12

13 Kufanya matengenezo ya boti. Kusaidia kutafsiri/kusoma michoro ya kiufundi ya boti. Kuandaa vifaa kwa ajili ya ujenzi wa boti SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye stashahada ya Uundaji boti kutoka chuo cha Mbegani au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS C kwa mwezi 15.0 DEREVA WA VIVUKO DARAJA LA II (FERRY / BOAT OPERATOR) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kufunga na kufungua kamba za kivuko. Kuchunga usalama wa abiria na magari yaliyomo ndani ya kivuko. Kupanga abiria au magari kwenye kivuko. Kuendesha na kuongoza kivuko. Kutunza daftari za safari ya kivuko. Kuhakikisha kwamba injini za kivuko zipo katika hali nzuri ya kufanya kazi. Kuangalia mafuta na vyombo vingine vya kufanyia kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa waliohitimu Mtihani wa Kidato cha IV, wenye Ujuzi wa kuendesha na kutunza Mashua/Kivuko uliothibitishwa na Chuo cha Dar es Salaam Marine Institute au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali kwa muda usiopungua miaka miwili; na waliofuzu mafunzo ya miezi sita ya uokoaji wa maisha majini, kuogelea na kupanga watu na magari kwenye mashua/vivuko MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi MSAIDIZI MIFUGO (LIVESTOCK FIELD ASSISTANTS) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kutoa huduma za ugani katika uendelezaji mifugo na mazao yake, Kutibu mifugo na kutoa taarifa za magonjwa, tiba na chakula, Kusimamia utendaji kazi wa wahudumu mifugo, Kutunza takwimu na taarifa mbalimbali za mifugo, 13

14 Kukaguo ubora wa mazao ya mifugo, Kusimamia ustawi wa wanyama, Kufanya kaza nyingine atakazo pangiwa na msimamizi wake wa kazi zinazohusiana na fani yake SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV ambao wamepata mafunzo ya mifugo ya muda wa miaka miwili na kutunukiwa Astashahada (certificate) ya uzalishaji na afya ya mifugo kutoka vyuo vya mafunzo ya mifugo. (Livestock Training Institute LITI) au chuo chochote kinachotambuliwa na serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B Kwa mwezi AFISA KILIMO DARAJA LA II (AGRO OFFICERS) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kuthibiti visumbufu vya mazao na mimea, Kukusanya takwimu za bei za mazao kila wiki na kila mwezi, Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko kila wiki/kila mwezi, Kuendesha mafunzo ya wataalam wa kilimo, Kufanya ukaguzi wa ubora na matumizi ya pembejeo na zana, Ufuatiliaji wa mwenendo wa soko la mazao ya biashara, Kuendesha mafunzo juu ya hifadhi bora ya udongo na maji, Kutoa habari juu ya teknolojia mpya kwa wadau, Kuandaa/kuandika taarifa za utekelezaji kwa sekta ndogo ya mazao, Kusimamia/kuendeleza taaluma ya uzalishaji mboga, matunda, maua na mazao mengine, Kusimamia/kuendeleza uzalishaji wa mbegu bora, Kuandaa, kutayarisha kufunga na kusambaza mbegu bora, Kufanya majaribio ya magonjwa kwenye mbegu, Kufanya ukaguzi wa mbegu mpya kwa kushirikiana na watafiti wa mbegu kabla ya kupitishwa, Kuendesha mafunzo ya kuzalisha mboga, matunda, maua na viungo, Kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya bustani, Kufanya utafiti mdogo mdogo wa mazao yanayofaa kulimwa katika sehemu ya kilimo cha umwagiliaji, Kufanya utafiti wa udongo, Kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vya wakulima/wamwagiliaji, Kuzalisha mbegu za msingi baada ya kuzalishwa na watafiti, Kuendesha/kusimamaia vishamba vya majaribio vya mbegu na uchunguzi maabara ili kuondoa utata juu ya mbegu. 14

15 17.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya kilimo au shahada ya sayansi waliojiimarisha katika mchepuo wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Vyuo vingine vinavyotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D Kwa mwezi AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA II (AGRICULTURAL FIELD OFFICERS) NAFASI (1098) 18.1 MAJUKUMU YA KAZI Kushirikiana na watafiti kuendesha vishamba vya majaribio, Kukusanya/kuhifadhi takwimu za majaribio, Kuwafundisha wakulima mbinu za kilimo bora, Kuwafikishia wakulima matokeo ya utafiti, Kuwafundisha wakulima mbinu bora za kilimo, matumizi ya mbolea na madawa, pembejeo za kilimo, Kukusanya na kutunza takwimu za mazao na bei kwa wiki mwezi, robo na mwaka ngazi ya halmashauri, Kukusanya takwimu za mvua, Kushiriki katika savei za kilimo, Kushirikiana na vikundi vya wakulima kuhusu matatizo na teknolojia sahihi za kutumia, Kupanga mipango ya uzalishaji, Kupima uotaji wa mbegu na kusimamia taratibu za ukaguzi, Kutathmini na kusavei maeneo ya vyanzo vya maji kwa ajili ya kuhifadhi, Kutunza miti mizazi, Kuwatambua wasambazaji wa pembejeo, Kutoa mafunzo ya lishe kwa wakulima, Kufanya vipimo vya ubora, unyevunyevu na uotaji wa mbegu, Kusimamia taratibu za ukaguzi, Kudhibiti visumbufu vya mazao na mimea, Kusimamia shughuli za kila siku za majaribio ya kilimo, Kuwaelimisha wakulima juu ya matumizi bora ya udongo na maji, Kutoa ushauri wa kilimo mseto, Kuandaa sheria ndogo za hifadhi ya mazingira na Kutoa taaluma ya uzalishaji wa mboga, matunda, maua na viungo SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Sita (VI) wenye stashahada (Diploma) ya kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali. 15

16 18.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B Kwa mwezi MHANDISI KILIMO DARAJA LA II (AGRO ENGINEERS) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kuandaa program za mafunzo kwa wakulima kutumia zana za kilimo, Kushiriki katika kufundisha wakulima na matumizi bora ya zana, Kushiriki kutengeneza michoro/ramani za umwagiliaji, Kushiriki katika ujenzi wa miradi ya umwagiliaji, Kushirikiana na mafundi sanifu kuwafunindisha wakulima uendeshaji wa skimu za umwagiliaji, Kukusanya takwimu za miradi ya umwagiliaji, Kushiriki kuratibu na kutoa huduma za umwagiliaji kwa vikundi vya umwagiliaji pamoja na matumizi ya maji, Kuandaa mafunzo/maonyesho ya matumizi ya za za kilimo, Kufuatilia program za mafunzo ya wanyama kazi, mafundi wa matrekta na wakulima jinsi ya matumizi ya wanyama na matrekta, Kuwafundisha wakulima ujenzi wa vihengo bora na Kushughulikia ubora wa zana na kuwashauri waagizaji na watengenezaji ipasavyo SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (Bachelor Degree) ya uhandisi yenye mwelekeo mkubwa katika fani ya Kilimo cha umwagiliaji na cha zana kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS E Kwa mwezi FUNDI SANIFU DARAJA LA II NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Fani ya Kilimo Kutoa ushauri kwa wakulima kuhusu matumizi bora ya zana za kilimo kwa vitendo, Kuwafundisha wakulima kutengeneza na kufanya matengenezo ya zana za kilimo, Kuendeleza kilimo cha zana, Kukusanya na kutunza takwimu za zana za kilimo, Kukusanya na kutunza takwimu za kilimo cha umwagiliaji, Kusaidia katika ujenzi wa mifereji ya umwagiliaji, Kushiriki katika savei kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji, Kushiriki katika ujenzi wa malambo madogo. Fani ya Maabara 16

17 Kufanya mchanganuo (analysis) kikemikali ili kuthibitisha/kutathmini udongo, mimea na mbolea na vielelezo (samples) vinavyohusika kwenye maabara. Kutunza vyombo vya maabara, Kutunza kumbukumbu za maabara, Kutambua, kuthibitisha na kuweka kumbukumbu za takwimu za vidudu mbalimbali vinavyosababisha magonjwa ya mimea, Kusaidia kaza za watafiti, Kwenda mashambani kuchukua sampuli zinazohitajika kwa uchunguzi katika maabara SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Sita (VI) waliofuzu mojawapo ya mafunzo yafuatayo: Mafunzo ya miaka miwili (2) ya stashahada (Diploma) ya ufundi sanifu wa vyombo vya kilimo (agro-mechanics), au ufundi sanifu Umwagiliaji maji, na `Agricultural land use technician` Mafunzo ya miaka miwili (2) ya stashahada (Diploma) ya ufundi sanifu wa Maabara, Mafunzo ya Taasisi za ufundi (VETA) Au sifa zinazolingana na hizo kutoka kaitka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS C Kwa mwezi AFISA UTAFITI KILIMO DARAJA LA II (AGRICULTURAL RESEARCH OFFICER II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kusaidia kuandika na kukusanya ripoti za utafiti wa kilimo/uchumi kilimo chini ya maelekezo ya afisa utafiti mwandamizi, Kukusanya, kurekodi na kuchanganua takwimu za kazi za utafiti zinazoendelea, Kuhudhuria mikutano ya Kanda ya kuhuisha programu za utafiti, Kusaidia katika kuendesha semina na kuwaelekeza wakulima jinsi ya kutumia teknolojia mpya kwa kuzingatia hali ya uchumi na mazingira yao, Kutoa ripoti ya maendeleo ya utafiti na mapendekezo ya utafiti katika mikutano ya kanda ya kuhuisha program za utafiti, Kufanya shughuli za utafiti chini ya maelekezo na uangalizi wa afisa utafiti mwandamizi, Kuandika mapendekezo ya utafiti chini ya uongozi wa afisa utafiti mwandamizi, Kuandika ripoti za miradi ya utafiti kwa ajili ya kupitishwa na afisa utafiti mwandamizi, Kufanya majaribio ya husishi ya kilimo ma mifugo katika mashamba ya wakulima kwa kushirikiana na Maafisa Ugani na wakulima wenyewe na Kufanya kazi zozote kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi. 17

18 21.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Kilimo/Uchumi Kilimo/Uhandisi Kilimo, au sifa inayolingana na hizo kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS D Kwa mwezi MKUFUNZI WA KILIMO MSAIDIZI (AGRICULTURAL TUTOR) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kuandaa mtiririko wa mpangilio wa masomo (lesson sequences and plans), Kuandaa na kufundisha masomo ya kozi za astashahada, Kusimamia masomo ya vitendo vya kozi za stashahada chini ya usimamizi wa mkufunzi mkuu wa somo, Kuandaa na kupanga vifaa kwa ajili ya somo la vitendo kwa kozi stashahada, Kuwapima wanachuo wakati wa mazoezi ya somo la vitendo kwa kozi za astashahada, Kupima maendeleo ya wanachuo wa astashahada kwenye mitihani kwa kipindi chote kinachohusika na kutunza alama zao na Kutekeleza shughuli nyingine za kikazi kadri atakavyopangiwa na Mkuu wake wa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha sita waliofuzu mafunzo ya Stashahada (Diploma) ya Kilimo kutoka MATI au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS C Kwa mwezi AFISA KILIMO MSAIDIZI DARAJA LA III (AGRICULTURAL FIELD OFFICERS) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kushirikiana na wakulima kuendesha mashamba ya majaribio na mashamba darasa, Kutembelea wakulima/vikundi vya wakulima katika mashamba yao na kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya mbinu bora na za kisasa za kilimo cha kibiashara, Kufundisha na kuelekeza wakulima juu ya matumizi bora ya mbolea, madawa na zana za kilimo, Kukusanya na kutunza takwimu za hali ya kilimo katika kijiji, Kubuni na kuandaa vihenge vya kisasa vya hifadhi ya mazao na kutoa elimu ya matumizi sahihi ya mazao, Kutoa taarifa juu ya dalili za kuwepo visumbufu vya mimea na mazao, 18

19 Kuandaa na kutumia daftari la kilimo katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku, Kushiriki katika mchakato wa kuibua fursa na vikwazo vya maendeleo (Opportunities and Obstacles for Development (O & OD) na kuandaa mpango wa maendeleo ya kilimo wa kijiji (Village Agricultural Development Plan (VADP), na Kuandaa taarifa ya utekelezaji ya kila mwezi kuiwasilisha kwa Afisa Ugani wa Kata na nakala kuiwasilisha kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa waliohitimu kidato cha nne wenye stashahada (Diploma) ya Kilimo kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali yaani ngazi ya Mshahara TGS B Kwa mwezi DEREVA DARAJA LA II (DRIVER II) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kuendesha magari ya abiria, magari madogo na malori Kuhakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote, na kufanya uchunguzi wa gari kabla na baada ya safari ili kugundua ubovu unaohitaji matengenezo, Kufanya matengenezo madogo madogo katika gari, Kutunza na kuandika daftari la safari Log-book kwa safari zote SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Cheti cha Mtihani wa Kidato cha IV, Wenye Leseni daraja la C ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali na wenye Cheti cha Majaribio ya ufundi Daraja la II (Trade test II) MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya Mshahara TGOS.A kwa mwezi MLINZI (SECURITY GUARD) NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kuhakikisha kwamba mali yoyote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati ya idhini. Kuhahikisha kuwa mali yote inayoingizwa langoni inazo hati za uhalali wake. Kulinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku. Kuhakikisha kwamba milango na madirisha yote yamefungwa ipasavyo mwisho wa saa za kazi. 19

20 Kuhakikisha kwamba wageni wote wanaoingia katika eneo la ofisi wana idhini ya kufanya hivyo. Kupambana na majanga yoyote yatakayotokea katika sehemu ya kazi kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika kama vile, moto, mafuriko n.k na kutoa taarifa katika vyombo vinavyohusika. Kutoa ushauri wa jinsi ya kuboresha huduma ya ulinzi mahali pa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa Kidato cha Nne waliofuzu mafunzo ya mgambo/polisi/jkt au Mafunzo ya Zimamoto kutoka katika chuo kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara TGOS.A kwa mwezi. 2.0 BARAZA LA KISWAHILI LA TAIFA (BAKITA) Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Bunge Na 27 ya mwaka MHASIBU MKUU DARAJA II - NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kuratibu kazi ya kujibu hoja za ukaguzi. Kuandaa hesabu za mwisho wa mwaka wa fedha. Kuandaa na kuoanisha taarifa za mwezi za Benki. Kuandaa taarifa za ukaguzi wa fedha za mwaka. Kusimamia, kuthibitisha na kuidhinisha malipo. Kufanya kazi zingine kama atakavyoagizwa na msimamizi wake wa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili ya Uhasibu/ Biashara yenye mwelekeo wa Uhasibu kutoka Chuo/Taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali. Awe na CPA (T). Mwenye uwezo wa kutumia mifumo ya kompyuta ya kiuhasibu. Awe na uzoefu wa kazi usiopungua miaka nane (8) mfululizo katika fani ya uhasibu MSHAHARA: PGSS MSANIFU LUGHA MKUU III - NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kufanya utafiti kuhusu istilahi za masomo na kukusanya mapendekezo ya istilahi za Nyanja nyinginezo. Kusimamia mawasiliano baina ya Taasisi na wadau wanaohitaji huduma za kusanifu Istilahi au msamiati. Kusimamia kazi za utayarishaji wa tafsiri sanifu. Kuratibu Warsha, Semina na Mikutano ya Kamati ya Usanifishaji. 20

21 Kusimamia sehemu ya Kamusi. Kusimamia kazi ya kukusanya na kuchambua istihali mbalimbali kwa ajili ya usanifishaji. Kuratibu shughuli za Usanifishaji Lugha. Anaweza kuteuliwa kuwa Mkuu wa Idara. Kufanya kazi nyingine atakayopangiwa na mkuu wake wa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa mwenye Shahada ya Uzamili/Uzamivu katika masomo ya Fasihi, Lugha au Isimu ya Kiswahili Awe na uzoefu wa kazi katika fani hiyo usiopungua miaka minane (8). Awe na uwezo wa kutumia kompyuta Awe ameandika makala au kitabu kinachohusu fasihi au isimu ya lugha ya Kiswahili MSHAHARA: PTSS WAKALA WA VIPIMO Wakala wa Vipimo ni Taasisi (Wakala) ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Taasisi hii iliundwa kwa mujibu wa Sheria za Serikali Sura Na. 245, mapitio ya mwaka Wakala wa Vipimo ilianzishwa rasmi tarehe 13 Mei, 2002 kwa amri ya Seriakali Na. 194 (Government Order No. 194) na kutangazwa tarehe 17 Mei, Chini ya sheria hiyo, Wakala wa Vipimo ina jukumu la kumlinda malaji Kwa kuhakiki vipimo vyote vinavyotumika katika sekta za Biashara, Afya, Usalama na Mazingira 3.1 AFISA VIPIMO II NAFASI MAJUKUMU YA KAZI Kukagua, kuhakiki na kuvirekebisha vipimo vya wafanyabiashara; Kutunza, kuhifadhi vifaa vya kitaalam vitumikavyo katika utendaji wa kazi; Kutoa ushauri kuhusu masuala ya uhakiki na matumizi ya vipimo; Kufanya upelelezi kuhusu ukiukwaji wa Sheria ya Vipimo Kupokea na kufanyia kazi malalamiko ya wadau na waateja; Kufanya kazi nyingine kama atakavyopangiwa na kiongozi wake zinazohusiana na elimu na ujuzi wa kazi SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza katika fani ya Legal Metrology au Legal and Industrial Metrology toka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali. Au Kuajiriwa wenye Shahada ya kwanza ya Uhandisi/Sayansi ambao wamepata Crash programme ya Legal and Industrial Metrology isiyopungua miezi minne (4) toka Chuo kinachotambuliwa na Serikali. Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza ya Uhandisi/Sayansi ambao wamehitimu Stashahada ya Uzamili (Postgraduate Diploma) katika fani ya vipimo katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali. 21

22 Kuajiriwa wenye Stashahada ya juu katika fani ya Legal Metrology /Legal and Industrial Metrology toka Chuo kinachotambuliwa na Serikali MSHAHARA Kwa kuzingatia viwango vya Serikali ngazi ya mshahara (WMAS 3) kwa mwezi. X. M. DAUDI KATIBU- SEKRETARIETI YA AJIRA 22

TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT

TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT TANZANIA COFFEE BOARD VACANCIES ANNOUNCEMENT Tanzania Coffee Board is a government body established by the Tanzania Coffee Industry Act No. 23 of 2001. Its main function is to regulate the coffee industry

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 6 20 th February, 2015 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No.8 Vol.96 dated 20 th February, 2015 Printed by the Government

More information

THE OIL AND GAS REVENUES MANAGEMENT ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS PART II ADMINISTRATIVE PROVISIONS

THE OIL AND GAS REVENUES MANAGEMENT ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS PART II ADMINISTRATIVE PROVISIONS ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 10 29 th May, 2015 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No. 22 Vol. 96 dated 29 th May, 2015 Printed by the Government Printer,

More information

Annual Report and Financial Statements

Annual Report and Financial Statements 2013 Annual Report and Financial Statements 2 2013 Annual Report and Financial Statements Our Vision To be a dynamic company committed to exceeding customer expectation and increasing our market share

More information

Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari, 2015

Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari, 2015 HABARI Habari ZA za NISHATI nishati &MADINI &madini Bulletin Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari, 2015 Toleo No. 78 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM

More information

OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region

OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region 1 OPERATIONS MANUAL FOR IMPLEMENTATION AND MANAGEMENT OF A COMMUNITY HEALTH FUND in Tanga Region A MANUAL FOR PRACTITIONERS Second edition January 2006 Contacts The Regional CHF Competence Center (RCCC),

More information

Contents Page. 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement

Contents Page. 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement Contents Page 01 HIGHLIGHTS 3. Financial Highlights 4-8. Chairman s Statement 9-12. CEO s Statement 02 BUSINESS REVIEW 14. The Value We Have Created 15-16. What We Do 17. How We Are Managed 20-21. Who

More information

Changes to Associate Provider List between 1st February 2012 to 1st March 2012

Changes to Associate Provider List between 1st February 2012 to 1st March 2012 Changes to Associate Provider List between 1st February 2012 to 1st March 2012 ARUSHA MONDULI Monduli District Hospital Credit Wef 01.02.2012 ARUSHA SIMANJIRO KKKT OCDH Orkesumet Hospital Credit Wef 01.02.2012

More information

Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled

Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled Linking Adult Education with Formal Schooling in Tanzania: Mission Unfulfilled Mohamed Salum Msoroka Faculty of Education School of Educational Leadership & Policy The University of Waikato Contact Address:

More information

Contents. CORE VALUES Integrity Professionalism Team Spirit Safety Culture. Company Information 2 Message from the Chairman 4

Contents. CORE VALUES Integrity Professionalism Team Spirit Safety Culture. Company Information 2 Message from the Chairman 4 A N N U A L R E P O RT & F I N A N C I A L S TAT E M E N T S Financial year ended 30 June 2010 Contents Company Information 2 Message from the Chairman 4 VISION To be the market leader in the provision

More information

TANZANIA PROVIDER PANEL. Country Town Type Name Tel Address

TANZANIA PROVIDER PANEL. Country Town Type Name Tel Address TANZANIA DAR ES SALAAM ARAFA SES CHARITABLE DISPENSARY TANZANIA IRINGA NAZARETH PHARMACY - MAFINGA TANZANIA MTWARA ST. MARIS DISPENSARY TANZANIA ARUSHA SELIAN LUTHERAN HOSPITAL AND TOWN CLINIC TANZANIA

More information

DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION. A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY

DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION. A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION A Constituent College of the University of Dar Es Salaam STAFF FUNERAL POLICY JANUARY 2015 TABLE OF CONTENTS 1 BACKGROUND... 1 2 THE ROLE OF THE EMPLOYER...

More information

Mheshimiwa Mwenyekiti na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba,

Mheshimiwa Mwenyekiti na Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, HOTUBA YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, MHE. JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA, AKIWASILISHA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA, MACHI 2014 UTANGULIZI

More information

THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006

THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006 THE ANTI-MONEY LAUNDERING ACT,2006 ARRANGEMENT OF SECTIONS Section Title PART I PRELIMINARY PROVISIONS 1. Short title and Commencement 2. Application. 3. Interpretation. PART II THE FINANCIAL INTELLIGENCE

More information

HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA

HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HALI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA DODOMA Kimetayarishwa kwa Ushirikiano Kati ya: TUME YA MIPANGO DAR ES SALAAM na OFISI YA MKUU WA MKOA DODOMA YALIYOMO Ukurasa

More information

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)

NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE) NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE) REGISTERED TECHNICAL INSTITUTIONS BY OWNERSHIP PER SUBJECT BOARD AS AT JANUARY 2012 Agriculture, Natural Resources and Environment (ANE) Board S/N Institution

More information

Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania

Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania Nordic Journal of African Studies 16(3): 333 344 (2007) Uundaji wa Istilahi za Kiswahili Kileksikografia na Athari zake S.S. SEWANGI University of Dar-es-Salaam, Tanzania ABSTRACT The promotion of terminology

More information

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK

MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI KATIKA KUPANGA MATUMIZI YA ARDHI WORLD BANK Kudumisha uhusiano kati ya jamii, ufugaji na wanyamapori MWONGOZO WA USHIRIKISHWAJI

More information

CUF. Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi

CUF. Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi CUF Rais makini, Serikali makini Uchumi Imara, Mabadiliko Sahihi The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) Yaliyomo 1. Utangulizi wa Prof Ibrahim Lipumba... 7 2. Misingi mikuu ya uongozi wa nchi...

More information

Annual Report Report and and Financial Statements

Annual Report Report and and Financial Statements Annual Report Report and and Financial Statements For For the the Year Year ended ended 31 31 March March 2014 2014 Dreams into into reality KQ Annual Report & Financial Statements 2014 1 Performance Highlights

More information

]\ 1 PUBLIC NOTICE. (Issued under section 7 of the EWURA Act, Cap. 414 and Section 7 of the Petroleum Act, No 4 of 2008)

]\ 1 PUBLIC NOTICE. (Issued under section 7 of the EWURA Act, Cap. 414 and Section 7 of the Petroleum Act, No 4 of 2008) ]\ 1 PUBLIC NOTICE (Issued under section 7 of the EWURA Act, Cap. 414 and Section 7 of the Petroleum Act, No 4 of 2008) The Energy and Water Utilities Regulatory Authority wishes to notify Petroleum Retail

More information

Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14

Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14 Centum Investment Company Limited Annual Report & Financial Statements fy 13/14 Africa s Foremost Investment Channel At Centum, we focus on sustainable wealth creation, leveraging on teamwork and the expertise

More information

Yaliyomo. II. Dodoso la Kilimo... 62

Yaliyomo. II. Dodoso la Kilimo... 62 OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU Mwongozo wa Mdadisi Utafiti wa Kufuatilia Kaya Tanzania (NPS 2010-11) 2010-2011 0 [JAMHURI YA MUUNGA N O W A TANZA N I A] Yaliyomo Comment [SP1]: Be sure to update the table of

More information

CONTENTS. Financial Section. Sehemu ya Kiswahili. Statutory Information

CONTENTS. Financial Section. Sehemu ya Kiswahili. Statutory Information CONTENTS Financial Highlights 3 Chairman s Statement 4-5 Production 6-8 Brands 10-12 Human Resource 13 Enriching Communities 14-15 Sehemu ya Kiswahili Taarifa ya Mwenyekiti 16-17 Utaoji 18-20 Aina za Bidhaa

More information

TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI

TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI TANZANIA AND HIV/AIDS TANZANIA NA UKIMWI This booklet, which summarizes key findings on HIV/AIDS, is based on surveys and other studies conducted over the past decade in Tanzania. Major data sources include

More information

815 SWA. Health undertaking Kuwajibika Kiafya. Tafadhali weka kurasa hii ya maelezo kama kumbukumbu yako

815 SWA. Health undertaking Kuwajibika Kiafya. Tafadhali weka kurasa hii ya maelezo kama kumbukumbu yako Health undertaking Kuwajibika Kiafya Form 815 SWA SWAHILI Muhimu Tafadhali soma maelezo haya kwa uangalifu kabla ya kukamilisha wajibu wako. Mara tu unapokamilisha wajibu wako tunashauri kwa nguvu kuwa

More information

TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA

TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA TUME YA KUDHIBITI UKIMWI TANZANIA (TACAIDS) TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA KIGOMA OKTOBA, 2007 ISBN 978-9987-519-18-7 i ii Yaliyomo Ufafanuzi wa Majedwali Vifupisho Shukrani Muhtasari

More information

ANNUAL REPORT 2015 THE TASKS OF TBL INTRODUCING

ANNUAL REPORT 2015 THE TASKS OF TBL INTRODUCING THE HOME OF FINE BEERS ANNUAL REPORT 2015 INTRODUCING THE TASKS OF TBL PROUDLY TANZANIAN SINCE 1933 A subsidiary of SABMiller plc To Be a Good Corporate Citizen To Invest in Our Country To Invest in Our

More information

TANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY

TANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY TANZANIA PARALEGAL BASELINE SURVEY AUGUST 2010 1.0 INTRODUCTION This is a report on a Paralegal baseline survey conducted in all regions of Tanzania mainland. The baseline survey was commissioned to Tanganyika

More information

Master s degree thesis

Master s degree thesis Master s degree thesis LOG950 Logistics Title: Analysis of Value Chain for Pigeonpea in Tanzania Author. Herieth Rogath Number of pages including this page: 118 Molde, Date: 25 MAY 2010 Publication agreement

More information

TUNGO ZA KUJIBIZANA: "KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANA"t

TUNGO ZA KUJIBIZANA: KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANAt AAP 47 (1996) 1-10 TUNGO ZA KUJIBIZANA: "KUAMBIZANA NI SIFA YA KUPENDANA"t RIDDER SAMSOM Different labels have been used for marking the reciprocity in Swahili dialogue poetry, varying between the more

More information

P.O. Box 4374 DAR ES SALAAM TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 E-mail:itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com

P.O. Box 4374 DAR ES SALAAM TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 E-mail:itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com S/N NAME OF LICENSEE ADDRESS 1. Radio One P.O. Box 4374 TEL:+255 22 2775915/6 FAX: +255 22 2775915 itv@ipp.co.tz www.ippmedia.com AUTHORIZED SERVICE AREA AND LOCATION OF BASE STATION ( Dar es AUTHORIZED

More information

NURSING SCHOOLS NURSING SCHOOL ADVANCED PUBLIC HEALTH NURSING SCHOOL P.O. BOX 1060, MOROGORO.

NURSING SCHOOLS NURSING SCHOOL ADVANCED PUBLIC HEALTH NURSING SCHOOL P.O. BOX 1060, MOROGORO. NURSING SCHOOLS NURSING SCHOOL ADVANCED PUBLIC HEALTH NURSING SCHOOL P.O. BOX 1060, MOROGORO. AMO-ANAESTHETIC SCHOOL, P.O. BOX 6441, MOSHI. ASSISTANT MEDICAL OFFICERS TRAINING SCHOOL, P.O. BOX 1142 MBEYA.

More information

Are Our Children Learning? Literacy and Numeracy Across East Africa 2013

Are Our Children Learning? Literacy and Numeracy Across East Africa 2013 Are Our Children Learning? Literacy and Numeracy Across East Africa 2013 Copyright: Hivos/Twaweza, 2014 Any part of this publication may be produced for nonprofit purposes. Please cite the source and send

More information

LEARNING HOW TO TEACH

LEARNING HOW TO TEACH Education International Internationale de l Education Internacional de la Educación Bildungsinternationale LEARNING HOW TO TEACH The upgrading of unqualified primary teachers in sub-saharan Africa Lessons

More information

Language Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania

Language Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania US-China Foreign Language, ISSN 1539-8080 June 2013, Vol. 11, No. 6, 447-460 D DAVID PUBLISHING Language Choice in Swahili Newspaper Advertising in Tanzania Josephine Dzahene-Quarshie University of Ghana,

More information

KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII

KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII SWAHILI FORUM 18 (2011): 198-210 KUKITANDAWAZISHA KISWAHILI KUPITIA SIMU ZA KIGANJANI: TAFAKARI KUHUSU ISIMUJAMII ALDIN MUTEMBEI Utangulizi Mojawapo ya matokeo ya utandawazi ni kuwapo kwa simu za kiganjani

More information

Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua

Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua Tunza Jamii Yako, Tunza Mazingira Yako kwa Maisha Bora. Jihusishe. Jipangie. Amua Orodha ya kukagua matayarisho: Soma hadithi yote mapema pamoja na maelezo ya hadithi na maswali ya kukukumbusha. Tayarisha

More information

The United Republic of Tanzania

The United Republic of Tanzania The United Republic of Tanzania Health Services Inspectorate Unit Ministry of Health and Social Welfare Implementation Guideline for 5S-CQI-TQM Approaches in Tanzania Foundation of all Quality Improvement

More information

Promoting Regional Trade to Enhance Food Security

Promoting Regional Trade to Enhance Food Security SLE Publication Series S239 Centre for Advanced Training in Rural Development (SLE) International Institute of Tropical Agriculture (IITA) on behalf of Deutsche Gesellschaft für Technische Zusammenarbeit

More information

Lesson 56: Business: [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] Business: Shopping, Buying and Selling. A). Business Vocabulary.

Lesson 56: Business: [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] Business: Shopping, Buying and Selling. A). Business Vocabulary. Lesson 56: Business: Shopping, Buying and Selling Business: Shopping, Buying and Selling [biashara: ununuzi, upigaji bei na uuzaji] A). Business Vocabulary akaunti akiba bei ghali rahisi bei ghali bei

More information

DR. HAMISI O. BABUSA (PHD)

DR. HAMISI O. BABUSA (PHD) DR. HAMISI O. BABUSA (PHD) School of Education Department of Educational Communication and Technology Kenyatta University P.O. Box 43844 Nairobi 00100 Kenya Mobile: +254 700 754 080 Email: hobabusa@gmail.com

More information

TANZANIA LINKING SAVINGS GROUPS TO MOBILE BANKING

TANZANIA LINKING SAVINGS GROUPS TO MOBILE BANKING TANZANIA LINKING SAVINGS GROUPS TO MOBILE BANKING September 211 I Access Africa Technical Learning Series : No. 2 Tanzania Bukoba Musoma Tarime Buhemba Mwanza Kibondo Geita Nzega Ngudu Shinyanga Mbulu

More information

LAND USE PLANNING AND LAND TENURE IN TANZANIA

LAND USE PLANNING AND LAND TENURE IN TANZANIA LAND USE PLANNING AND LAND TENURE IN US G UR TANZANIA LEVELS OF LAND USE PLANNING National level; Zonal and regional level; District level; Village level; 30 32 34 36 38 40 Uganda Bukoba Lak e Vic tor

More information

CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION

CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION CURRICULUM INNOVATION IN TEACHER EDUCATION Curriculum Innovation in Teacher Education Exploring Conceptions among Tanzanian Teacher Educators Wilberforce E. Meena ÅBO 2009 ÅBO AKADEMIS FÖRLAG ÅBO AKADEMI

More information

TRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI

TRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI TANZANIA COUNTRY OFFICE TRAINING ON ENTREPRENEURSHIP AND BUSINESS MANAGEMENT SKILLS FOR SELECTED VILLAGERS IN RUFIJI August 2009 University of Dar es Salaam Entrepreneurship Centre (UDEC) P. O. Box 110099,

More information

Strengthening data management and use in decision making to improve health care services: Lessons learnt

Strengthening data management and use in decision making to improve health care services: Lessons learnt DISSEMINATION WORKSHOP REPORT Strengthening data management and use in decision making to improve health care services: Lessons learnt SEPTEMBER 2014 This technical report was prepared by University Research

More information

DHL SERVICE POINTS - REST OF TANZANIA: Tanga Opposite Food Palace Restuarant P.O. Box 5086, Tanga Tel: +255 27 264 2897 Mobile: +255 741 660 051

DHL SERVICE POINTS - REST OF TANZANIA: Tanga Opposite Food Palace Restuarant P.O. Box 5086, Tanga Tel: +255 27 264 2897 Mobile: +255 741 660 051 DHL (T) Limited Plot D, Nyerere Road P.O. Box 0 Dar-es-Salaam Tanzania www.dhl.co.tz NATIONAL CUSTOMER SERVICES: Tel: +--8000- Fax: +--870 Email: Enquiries@dhl.com DHL SERVICES POINTS- DAR ES SALAAM: National

More information

Creation of a Speech to Text System for Kiswahili

Creation of a Speech to Text System for Kiswahili Creation of a Speech to Text System for Kiswahili Dr. Katherine Getao and Evans Miriti University of Nairobi Abstract The creation of a speech to text system for any language is an onerous task. This is

More information

How To Manage Education In Kanzib

How To Manage Education In Kanzib CHAPTER 7 PRIMARY AND SECONDARY EDUCATION MANAGEMENT ISSUES Whereas policy defines the structural allocation of resources to each education level, management determines how these decisions are actually

More information

ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85

ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85 AAP 72 (2002) SWAHILI FORUM IX 75-85 ROMAN CATHOLIC FAITH REPRESENTED IN KEZILAHABI'S MZINGILE SONJA MEZGER Summary This study elaborates how Kezilahabi depicts elements of Roman Catholic faith in his

More information

Lesson 14a: Numbers and Counting

Lesson 14a: Numbers and Counting Lesson 14a: Numbers and Counting Numbers and Counting [nambari na hesabu] A). Numbers B). The order in which the numbers are stated C). How numbers and noun class [ngeli] go together D). Questions with

More information

Ministry of Health and Social Welfare Health Quality Assurance Division. Implementation Guidelines for 5S-KAIZEN-TQM Approaches in Tanzania

Ministry of Health and Social Welfare Health Quality Assurance Division. Implementation Guidelines for 5S-KAIZEN-TQM Approaches in Tanzania The United Republic of Tanzania Ministry of Health and Social Welfare Health Quality Assurance Division Implementation Guidelines for 5S-KAIZEN-TQM Approaches in Tanzania Foundation of all Quality Improvement

More information

MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture

MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF CO-OPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS) A Constituent College of Sokoine University of Agriculture PROSPECTUS 0 ABBREVIATIONS AND ACRONYMS ACC ADB ADCA ADCM AMU BA-AF BA-BEC

More information

ORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI

ORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI ORODHA YA TAASISI/MAKAMPUNI S/N0. JINA /TAASISI/KAMPUNI SIMU 1. Director General +255 22 2123583-4 TASAF 2. Director General, +255 22 2126516 WAMA 3. The Chairman, +255 22 2122651 TACAIDS 4. Executive

More information

TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA. Kitabu Namba 5

TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA. Kitabu Namba 5 1 TEKNOLOJIA ZA UTAYARISHAJI, USINDIKAJI NA HIFADHI YA MAZAO YA MBEGU ZA MAFUTA BAADA YA KUVUNA Kitabu Namba 5 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania W izara ya Kilimo na Chakula 1 2 Mfululizo wa vitabu hivi:

More information

TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LTD (TANESCO) PRESENTATION ON THE TANZANIAN SOLAR PV-HYBRID WORKSHOP HELD IN BERLIN, GERMANY

TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LTD (TANESCO) PRESENTATION ON THE TANZANIAN SOLAR PV-HYBRID WORKSHOP HELD IN BERLIN, GERMANY TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LTD (TANESCO) PRESENTATION ON THE TANZANIAN SOLAR PV-HYBRID WORKSHOP HELD IN BERLIN, GERMANY 16 TH MARCH 2015 by Eng. Patrice Tsakhara Principal Engineer Small Power Projects

More information

REPORT ON THE LEGAL REFORM PROCESSES FOR THE RECOGNITION OF PARALEGALS IN TANZANIA

REPORT ON THE LEGAL REFORM PROCESSES FOR THE RECOGNITION OF PARALEGALS IN TANZANIA REPORT ON THE LEGAL REFORM PROCESSES FOR THE RECOGNITION OF PARALEGALS IN TANZANIA By: Ms. Angela K. Ishengoma and Comments of an Experts Meeting on the Paper Published by: Friedrich-Ebert-Stiftung Dar

More information

MALARIA STATUS IN TANZANIA MAINLAND: AN OVERVIEW NATIONAL MALARIA FORUM- 25 TH APRIL 2014.

MALARIA STATUS IN TANZANIA MAINLAND: AN OVERVIEW NATIONAL MALARIA FORUM- 25 TH APRIL 2014. MALARIA STATUS IN TANZANIA MAINLAND: AN OVERVIEW NATIONAL MALARIA FORUM- 25 TH APRIL 2014. 1 Presentation Outline: Overview Intervention scale up/achievements Current malaria epidemiologic profile and

More information

VOCATIONAL EDUCATION & TRAINING CENTERS

VOCATIONAL EDUCATION & TRAINING CENTERS VOCATIONAL EDUCATION & TRAINING CENTERS CENTERS CONTACTS COURSES 1 Alberta Menegozo Vocation Matembwe Mission 2 Air Wing Vocation Training School 3 Alberta Menegozo Vocation 4 Amani Vocational Training

More information

Establishment of REA/REF and Available Financing Opportunities for Rural Energy Projects Paper Presented on:

Establishment of REA/REF and Available Financing Opportunities for Rural Energy Projects Paper Presented on: RURAL ENERGY AGENCY (REA) Establishment of REA/REF and Available Financing Opportunities for Rural Energy Projects Paper Presented on: Workshop on Sustainable Access to Sustainable Energy Uhuru Hostel,

More information

MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS*

MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS* AAP 47 (1996). 139-148 MARX'S SHORTS AND ANCESTORS' CAVES: TRACING CRITICAL MOTIFS IN KEZILAHABI'S PLAY AND POEMS* ELENA BER TONCINI-ZUBKOV A La seule piece theiitrale de Kezilahabi, "Les shorts de Marx",

More information

Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates

Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates Kitabu hiki kimefanikishwa kwa msaada wa Taasisi ya Bill na Melinda Gates Programu ya Teknolojia Inayofaa kwenye Afya (PATH) inatoa masuluhisho endelevu, yanayofaa kiutamaduni na ambayo inawezesha jamii

More information

EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI

EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI SWAHILI FORUM 15 (2008): 51-61 EXISTENTIALISM AND FEMINISM IN KEZILAHABI S NOVEL KICHWAMAJI TIINA SAKKOS Makala hii inachambua riwaya ya pili ya mwandishi maarufu wa Kiswahili, Euphrase Kezilahabi (*1944)

More information

CURRICULUM VITAE. 1975 - Dares Salaam Teachers College (Chang ombe). Certificate in Education

CURRICULUM VITAE. 1975 - Dares Salaam Teachers College (Chang ombe). Certificate in Education CURRICULUM VITAE Name: Sola Nazar Joseph Date of Birth: July 28, 1954 Nationality: Tanzanian Name of Organization Mzumbe University Years with the Organization Full time with Mzumbe University since July

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SABOTI CONSTITUENCY, HELD AT KITALE TOWN MUSEUM HALL ON 2 1 ST JULY 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS SABOTI

More information

ACADRI 2015 TRAINING PROGRAMMES

ACADRI 2015 TRAINING PROGRAMMES No. COURSE TITLE DATES VENUES SECRETARIAL AND GENERAL ADMINISTRATION 1. SKILLS ENHANCEMENT PROGRAMME FOR EXECUTIVE SECRETARIES AND ADMINISTRATIVE/ PERSONAL ASSISTANTS Jan 12 30, 2015 (3 wks) May 11 29,

More information

National Key Result Area (NKRA) Agriculture Lab

National Key Result Area (NKRA) Agriculture Lab National Key Result Area (NKRA) Agriculture Lab Commercial farming 1 25 Commercial farming deals for paddy and sugarcane Smallholder aggregation 2 3 78 Professionally managed collective rice irrigation

More information

MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING

MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION CURRICULUM FOR CERTIFICATE IN TEACHER EDUCATION PROGRAMMES IN TANZANIA MINISTRY OF EDUCATION AND VOCATIONAL TRAINING TANZANIA

More information

Integrated Logistics System (ILS) Procedures Manual

Integrated Logistics System (ILS) Procedures Manual THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE (ILS) Procedures Manual Roll-Out Version September 2008 ACRONYMS Term English Swahili ARV Anti-Retroviral (drug) Dawa ya kupunguza

More information

NAFAKA STAPLES VALUE CHAIN ACTIVITY

NAFAKA STAPLES VALUE CHAIN ACTIVITY NAFAKA STAPLES VALUE CHAIN ACTIVITY TASK ORDER NO. AID 621-TO-1I-05000 ICT Capacity Assessment Report for MVIWATA December, 2014 This publication was produced for review by the United States Agency for

More information

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/E/16 02 SEPTEMBA, 2013 KUITWA KWENYE USAILI Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi

More information

CHAPTER 5. Tanzania Education Sector Analysis 203

CHAPTER 5. Tanzania Education Sector Analysis 203 CHAPTER 5 EQUITY IN SCHOOLING In order to achieve long-term sustainability, the development of education systems must integrate the important equity dimension. Indeed, equity becomes a pillar of the analysis

More information

INITIAL BEHAVIOR CHANGE COMMUNICATION (BCC) INTERVENTIONS EFFECTIVENESS EVALUATION REPORT

INITIAL BEHAVIOR CHANGE COMMUNICATION (BCC) INTERVENTIONS EFFECTIVENESS EVALUATION REPORT INITIAL BEHAVIOR CHANGE COMMUNICATION (BCC) INTERVENTIONS EFFECTIVENESS EVALUATION REPORT NAFAKA PROJECT November 5, 2013 This publication was produced for review by the United States Agency for International

More information

Aga Khan University College Tanzania. Catholic University of Health and AlliedSciences (Bugando) Dar es Salaam Institute of Technology

Aga Khan University College Tanzania. Catholic University of Health and AlliedSciences (Bugando) Dar es Salaam Institute of Technology WAOMBAJI WALIOTEULIWA KUPATIWA MIKOPO KUPITIA BODI YA MIKOPO ELIMU YA JUU ZANZIBAR NGAZI YA SHAHADA YA UZAMILI (MASTER DEGREE) KWA MWAKA WA MASOMO 2014-2015 s/n Name Gender Zan ID Index No Course Applied

More information

ARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011

ARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011 ARMS CONTROL Volume 3 Issue 1 May 2011 Editorial Welcome to the first Issue of the third volume of Arms Control: Africa, which is published by the Arms Management Programme (AMP) of the Institute for Security

More information

THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA EVALUATION OF THE CONDUCT OF PRIMARY SCHOOL LEAVING EXAMINATION (PSLE) IN TANZANIA MAINLAND

THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA EVALUATION OF THE CONDUCT OF PRIMARY SCHOOL LEAVING EXAMINATION (PSLE) IN TANZANIA MAINLAND THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA EVALUATION OF THE CONDUCT OF PRIMARY SCHOOL LEAVING EXAMINATION (PSLE) IN TANZANIA MAINLAND MARCH 2009 EXCUTIVE SECRETARY THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL

More information

OFFICE OF THE ACADEMIC REGISTRAR DIPLOMA HOLDERS AVENUE ADMISSION REQUIREMENTS, 2011/2012 ACADEMIC YEAR

OFFICE OF THE ACADEMIC REGISTRAR DIPLOMA HOLDERS AVENUE ADMISSION REQUIREMENTS, 2011/2012 ACADEMIC YEAR MAKERERE UNIVERSITY P.O.Box 7062 Kampala-Uganda Tel: +256-41-532752/530231/5302232 Cables: MAKUNIKA Fax: +256-41 533640/541068 Email: ar@acadreg.mak.ac.ug OFFICE OF THE ACADEMIC REGISTRAR DIPLOMA HOLDERS

More information

ANNEX 3 MEDIA PROFILE - TANZANIA

ANNEX 3 MEDIA PROFILE - TANZANIA ANNEX 3 MEDIA PROFILE - TANZANIA Interim Document for "Community Television a scoping Study" This document is an output from a project funded by the UK Department for international development (DFID) for

More information

Ndugu na dada zangu. Mbio za Maisha

Ndugu na dada zangu. Mbio za Maisha UJUMBE WA URAIS WA KWANZA, MEI 2012 Na Rais Thomas S. Monson Mbio za Maisha Sisi tulitoka wapi? Kwa nini tuko hapa? Tutaenda wapi baada ya maisha haya? Haya maswali ya kawaida hayafai kubaki bila kujibiwa.

More information

8 Networking for agricultural innovation. The MVIWATA national network of farmers groups in Tanzania

8 Networking for agricultural innovation. The MVIWATA national network of farmers groups in Tanzania Bull374 17-05-2006 10:30 Pagina 79 8 Networking for agricultural innovation. The MVIWATA national network of farmers groups in Tanzania Laurent Kaburire 43 and Stephen Ruvuga 44 8.1 Introduction The previous

More information

1. TASAF operations steadily approaching set targets

1. TASAF operations steadily approaching set targets 1. TASAF operations steadily approaching set targets The implementation support mission by the World Bank team to TASAF which took place from March 23 rd to April 04 th concluded that TASAF II implementation

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF FINANCE AND ECONOMIC AFFAIRS. VACANCIES

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF FINANCE AND ECONOMIC AFFAIRS. VACANCIES THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF FINANCE AND ECONOMIC AFFAIRS. VACANCIES Applications are hereby invited from suitably qualified persons to fill various posts 1.0 JOB TITLE: FINANCE MANAGEMENT

More information

Country Strategy Paper 2011-2015 Summary

Country Strategy Paper 2011-2015 Summary Country Strategy Paper 2011-2015 Summary UGANDA RWANDA BURUNDI Kagera Geita Mwanza Mara Simiyu Arusha KENYA Shinyanga CRATIC LIC OF ONGO Kigoma Katavi Rukwa Tabora TANZANIA Mbeya Singida Iringa Dodoma

More information

ANALYSIS OF PERFORMANCE AND UTILIZATION OF KANGAROO MOTHER CARE FOR PRE-TERM AND LOW BIRTH WEIGHT BABIES

ANALYSIS OF PERFORMANCE AND UTILIZATION OF KANGAROO MOTHER CARE FOR PRE-TERM AND LOW BIRTH WEIGHT BABIES ANALYSIS OF PERFORMANCE AND UTILIZATION OF KANGAROO MOTHER CARE FOR PRE-TERM AND LOW BIRTH WEIGHT BABIES DECEMBER 2013 PREPARED FOR MAISHA PROGRAMME BY: NYINISAELI K. PALLANGYO FINAL REPORT ACRONYMS AND

More information

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION A Constituent College of the University of Dar Es Salaam Gen: 022-2850993 Tel: 022 2850072 Fax 022-2850072 E-mail: principal@duce.ac.tz P.O. Box 2329 Dar es

More information

KANISA LINAHITAJI KUJUA

KANISA LINAHITAJI KUJUA Miki Hardy KANISA LINAHITAJI KUJUA Umefika wakati tuyazungumzie mambo kadhaa ya msingi waziwazi ili Wakristo watambue ya kwamba Bwana ana mambo mazuri zaidi kwa ajili yao! Hakimiliki 2013 na Church Team

More information

MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO

MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO NEW LIFE IN CHRIST SERIES 1 MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO FISHERS OF MEN MINISTRIES CHURCH NAME 2 Fishers of Men Ministries uses a Christ centered approach to transform one life at a time by feeding their

More information

HUMAN RESOURCE FOR HEALTH COUNTRY PROFILE 2012/2013

HUMAN RESOURCE FOR HEALTH COUNTRY PROFILE 2012/2013 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HEALTH AND SOCIAL WELFARE HUMAN RESOURCE FOR HEALTH COUNTRY PROFILE 2012/2013 July 2013 Ministry of Health and Social Welfare Human Resources Directorate P.O.

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Ministry of Industry and Trade. Investment Guide to the Textile and Garment Sub-sector

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Ministry of Industry and Trade. Investment Guide to the Textile and Garment Sub-sector THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Ministry of Industry and Trade E VELOPME DE N T IT UN TEX TI L Investment Guide to the Textile and Garment Sub-sector TANZANIA MINISTERIAL FOREWORD Dr. Abdallah Omari Kigoda,

More information

Developing the rice industry in Africa. Tanzania assessment July 2012

Developing the rice industry in Africa. Tanzania assessment July 2012 Developing the rice industry in Africa Tanzania assessment July 2012 Agenda A. Executive summary B. Tanzanian rice market C. Investment case for Mbeya region D. Mbeya partner analysis: Mtenda Kyela Rice

More information

What Children & Young People are Saying about Poverty in Tanzania 0

What Children & Young People are Saying about Poverty in Tanzania 0 CHILDREN & POVERTY What Children & Young People are Saying about Poverty in Tanzania An Overview Report on issues in Tanzania June 2004 Secretariat Tanzania Movement for and with Children P. O. Box 21159,

More information

The mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania

The mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania The mother, her confidants and the prevention of mother-to-child transmission of HIV (PMTCT) services in the Kilimanjaro region, Tanzania Eli Fjeld Falnes Dissertation for the degree philosophiae doctor

More information

The importance of paralegal work in rural Tanzania: volunteer assessors share their experiences and views

The importance of paralegal work in rural Tanzania: volunteer assessors share their experiences and views The Legal Services Facility is a basket fund that is created to channel funding to legal aid providers in Tanzania Mainland and Zanzibar ISSUE NO: NA:3 OCTOBER, 2013 The importance of paralegal work in

More information

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM

UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM OFFICE OF THE DEPUTY VICE CHANCELLOR - ACADEMIC DIRECTORATE OF POSTGRADUATE STUDIES ADMISSION INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR 2015/2016 ACADEMIC YEAR The University of Dar

More information

Team Leader: Ibrahim Kisungwe

Team Leader: Ibrahim Kisungwe RLDC POULTRY SECTOR COMMERCIALIZATION OF PRODUCTION AND MARKETING CENTRAL CORRIDOR CHICKEN IN THE Team Leader: Ibrahim Kisungwe Advisor: Dr Ralph Engelmann Team Members:Braison Salisali and Ajuaye Sigalla

More information

ST. AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA

ST. AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA Affix 2 stamp size photos with names FOR OFFICIAL USE ONLY written at the back ST. AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA P.O Box 307 Mwanza, Tanzania Tel: 255-028-2550560, 2550090 Fax: 255-028-2550167, 2500575

More information

Community Health Funds (CHFs) in Tanzania: Innovations Study Draft Report

Community Health Funds (CHFs) in Tanzania: Innovations Study Draft Report Swiss Centre for International Health GIZ SWKSJH-KSPJH 21 04-SW Community Health Funds (CHFs) in Tanzania: Innovations Study Draft Report Manfred Stoermer Patrick Hanlon Meramba Tawa Jane Macha Deogratius

More information

Tuko Pamoja. Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum

Tuko Pamoja. Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Tuko Pamoja Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Tuko Pamoja Adolescent Reproductive Health and Life Skills Curriculum Acknowledgements This second edition of the Kenya Adolescent

More information